Wamarekani weupe wameamua kutumia utaalamu wa kisayansi kumaliza weusi

Wamarekani weupe wameamua kutumia utaalamu wa kisayansi kumaliza weusi

Afrika Leo Hii. Na hasa Tanzania inaishi ktk karne ya 18 na 19. Mambo mengi yanayofanyika bongo Leo kiuchumi, kisiasa, kielimu, nk ndiyo jinsi Wazungu walivyoishii miaka hiyo. Naongea kwa sababu Niko ughaibun na naweza kupima mambo ya kwetu Bongo Na hapa... Bongo bado Sanaaaaa..
Na ndio maana hasa nchi masikini huitwa developing countries/ less developed States ( LDC's) siyo Tanzania pekee kama unavyodai, VP kuhusu Caribbean islands, Latino America, and eastern Asia?

Lengo la hawa mashetani ni kupunguza idadi ya watu, na kujipatia fedha nyingi kupitia makampuni ya kutengeneza madawa ( poisoned) na utoaji chanjo ambazo ndio husababisha magonjwa husika Mf. Cancer, Ebola, small pox n.k

Its a planned mission which can be traced back to the era of slave trade which mostly affected the black race, leaders of the world especially developed States are the planners of this devilish mission to reduce the human races including black race which seems to multiply in number from decade to decade.

The world is in the hands of the single eye named " illuminant" which watches and control each and everything in the world, wars, diseases, massive poverty isn't existing just by coincidence but through plans planned long time back, to finish up any controversial processes towards them!

Finally, Africa is the laboratory of any biological test, some diseases are being created and named then transported from their States and then poured into Africa to kill the innocent farmers and primitive societies of the sub Saharan belt.

Reducing the rate of consumption of the laboratory prepared medicines and vaccination may reduce the risk of exposure to these lab.diseases.
 
Na ndio maana hasa nchi masikini huitwa developing countries/ less developed States ( LDC's) siyo Tanzania pekee kama unavyodai, VP kuhusu Caribbean islands, Latino America, and eastern Asia?

Lengo la hawa mashetani ni kupunguza idadi ya watu, na kujipatia fedha nyingi kupitia makampuni ya kutengeneza madawa ( poisoned) na utoaji chanjo ambazo ndio husababisha magonjwa husika Mf. Cancer, Ebola, small pox n.k

Its a planned mission which can be traced back to the era of slave trade which mostly affected the black race, leaders of the world especially developed States are the planners of this devilish mission to reduce the human races including black race which seems to multiply in number from decade to decade.

The world is in the hands of the single eye named " illuminant" which watches and control each and everything in the world, wars, diseases, massive poverty isn't existing just by coincidence but through plans planned long time back, to finish up any controversial processes towards them!

Finally, Africa is the laboratory of any biological test, some diseases are being created and named then transported from their States and then poured into Africa to kill the innocent farmers and primitive societies of the sub Saharan belt.

Reducing the rate of consumption of the laboratory prepared medicines and vaccination may reduce the risk of exposure to these lab.diseases.
Mjomba! Kwanza naomba uandike kwa kiswahili.. Ni lugha yetu iliyo kamili tu pili hilo swala la nchi kuwa nimeliekezea ktk moja ya majibu Yangu ktk Hii Mada. Nikatolea mifano kwa nchi Za Asia, ameika ya Kati na kusini... Siyo Tanzania Pekee Bali nchi zote Za mizengwe
 
Mjomba! Kwanza naomba uandike kwa kiswahili.. Ni lugha yetu iliyo kamili tu pili hilo swala la nchi kuwa nimeliekezea ktk moja ya majibu Yangu ktk Hii Mada. Nikatolea mifano kwa nchi Za Asia, ameika ya Kati na kusini... Siyo Tanzania Pekee Bali nchi zote Za mizengwe
Sijapishana na wewe Bali nilitaka, tu kufafanua ya kwamba si Tanzania tu iliyonyuma katika nyanja ulizotaja
 
waafrica wapumbavu, wazungu utasikia hata nyanya au kitunguu wanataka ambacho hakijapandwa kwa mbolea kwa sababu huu mchezo wanaujua. Sisi badala ya kusomesha vijana tuwe na labs za utafiti za kufa MTU tunaenda kununua ndege. huu mchezo hauhitaji hasira, tutakufa hadi tuishe.

Africa inabidi ubadilike, itegemee technology yake , itegemee watu wake, itegemee maarifa take , iwekeze kwenye raslimali watu na kutengeneza miundombinu itakayo saidia kuleta mazingira rahisi kwa vijana wa kiafrica kuleta mapinduzi ya viwanda.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji120] [emoji106] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
waafrica wapumbavu, wazungu utasikia hata nyanya au kitunguu wanataka ambacho hakijapandwa kwa mbolea kwa sababu huu mchezo wanaujua. Sisi badala ya kusomesha vijana tuwe na labs za utafiti za kufa MTU tunaenda kununua ndege. huu mchezo hauhitaji hasira, tutakufa hadi tuishe.

Africa inabidi ubadilike, itegemee technology yake , itegemee watu wake, itegemee maarifa take , iwekeze kwenye raslimali watu na kutengeneza miundombinu itakayo saidia kuleta mazingira rahisi kwa vijana wa kiafrica kuleta mapinduzi ya viwanda.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji120] [emoji106] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
waafrica wapumbavu, wazungu utasikia hata nyanya au kitunguu wanataka ambacho hakijapandwa kwa mbolea kwa sababu huu mchezo wanaujua. Sisi badala ya kusomesha vijana tuwe na labs za utafiti za kufa MTU tunaenda kununua ndege. huu mchezo hauhitaji hasira, tutakufa hadi tuishe.

Africa inabidi ubadilike, itegemee technology yake , itegemee watu wake, itegemee maarifa take , iwekeze kwenye raslimali watu na kutengeneza miundombinu itakayo saidia kuleta mazingira rahisi kwa vijana wa kiafrica kuleta mapinduzi ya viwanda.
Wewe ni mzungu nini?mimi ni mwafrica lakini sikubali kuitwa mpumbavu kwa sababu siyo mpumbavu.sio vizuri kuwaongelea watu vibaya kwa maneno ambayo uwezi kudhibitisha.
 
Yani inatakiwa tufike wakati dawa tusitegemee kutoka huko.. Hasa chanjo.. Hapa ndipo tunapoona umuhimu wa kuwekeza kwenye elimu.. Cause hivihivi hatuwezi..


Inategemea sana utashi wa waliopo juu maana wao wakishaamini kuwa wazungu na wachina ni rafiki basi hawanusi harufu, wala hawaambiliki wakasikia, wanashindwa kujiuliza maswali mepesi kabisa yatakayowafungua ufahamu kuwa urafiki huo ni wa mashaka na hauna faida kwetu zaidi ya wao kutupunguza kwa idadi kijanja kabisa. Tujiulize, mara ngapi tumeletewa madawa, vyakula kama mchele, visiyokidhi viwango na je tunachukua hatua stahiki?
 
The white supremacy, Freemason and illuminati are at work to ensure whites dominate every sphere of life and maintain world low population. The aim of doing that is to fast one world under one order (Satan is around the corner)
 
Hii ndio sababu nilitaka kusoma biotechnology.. But nilishindwa.. Ni kweli hili Mimi niliwahi pia kulifatilia linaukweli ndani yake.. Na huu mchezo haujaanza Leo wala Jana.. Ni kuanzia miaka ya 1950 ambapo ndio waliweza kutengeneza enzyme kupitia bacteria.. Ndio technology nzima ya biotechnology ilipoanza kukua kwa kasi. Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini HIV ilianza miaka ya 80 and not before that.. For sure this is the new inslavement technique.. Jiulize MTU aliegundua dawa ya dharura kuzuia virusi vya UKIMWI alikua umbali gani kugundua dawa ya ukimwi kabisa. So inaonesha dhahiri kuwa kunakundi halitaki dawa ipatikane cause linafaida.. Hivyohivyo kwa kansa.. GMOs (genetic modified organisms) ni aina ya vyakula ambavyo kwa sasa wengi wanapenda kuvitumia.. Kama vile kuku wa kisasa.. Ng'ombe wa kisasa.. Mayai ya kisasa.. Hizi Mbegu za muda mfupi.. Kama mahindi.. Matikiti nk.. Uwezekano wa wao kutufanyia hicho kilichoelezewa hapo juu.. Yani kutufanya tuumwe ili tuwe Wateja wa kudumu kununua dawa zao ni rahisi sana kutendeka kwa hali hii.. Yani inatakiwa tufike wakati dawa tusitegemee kutoka huko.. Hasa chanjo.. Hapa ndipo tunapoona umuhimu wa kuwekeza kwenye elimu.. Cause hivihivi hatuwezi.. Sema ikumbukwe sio wazungu wote wanatabia hiyo.. But ndo madhara yenyewe ya Capitalism.. Monopolism.

Mzungu siku zote ni mtu mbaya sana. Kuna wakati tunasahau historia. Ukisoma historia, Amerika ya Kusini na Kaskazini, pamoja na Australia na Caribbean wazungu siyo asili yao huko. Lakini leo kote huko wao ndiyo wengi kuliko watu wa asili ya huko. Na idadi ya wazawa inazidi kupungua huku ile ya wazungu ikiongezeka katika maeneo hayo. Sababu ni kwamba kuna mikakati ya muda mrefu ya kuwaua wazawa ili wazungu wawe ndiyo wamiliki wa ardhi na maliasili katika maeneo hayo. Mfano, serikali ya Australia miaka michache iliyopita ilikiri na kuomba radhi kwa kuendesha kampeni ya kuwafutilia mbali aborigines ambao ndiyo wazawa wa Australia. Marekani leo inaonekana wazungu akina Bush na akina Clinton na wengineo kuwa ndiyo wazawa wakati ukweli siyo. Wazawa wameuliwa kwa miaka mingi na uzao wao umepungua sana.

Suala la chanjo, madawa, vyakula na hata kampeni za makusudi kama zinazoelezwa katika hiyo video vyote vimefanywa, vinaendelea kufanywa na vitaendelea kufanywa ili mwafrika na wengine ambao siyo Caucasians wasiongezeke kuwazidi wazungu.

Lakini haya yote yataendelea kufanikiwa kwa sababu serikali zetu Afrika haziwekezi katika utafiti tofauti na wenzetu. Wasomi wetu wanafanya tafiti zao hasa kupitia ufadhili wa hao hao wazungu. Na kwa sababu hiyo tusitarajie kubadili mwelekeo kwa sasa, labda miaka mingi sana ijayo. Jambo lingine litakaloendelea kusaidia hili ni upande wa uchumi. Kwa sasa tunaendelea kutegemea zaidi wazungu katika uchumi wetu. Tunaona ndiyo mwarobaini wa uchumi wetu.

Na kibaya zaidi, wanazidi kuteka utamaduni wetu. Mtu akiongea lugha yao ndiyo anaheshimika katika jamii na anaonekana msomi na aliyestaarabika. Vijana wetu wakivaa kama wazungu wanaonekana ndiyo wako kisasa zaidi. Binti wa kiafrika akipata mpenz wa kizungu anaonekana ndiyo katoboa na maisha yatamwendea poa. Kijana wa kiafrika akipata mpenz wa kizungu bas anatambia wenzake. Kimsingi, haya yote yanathibitisha kwamba kwa sasa hatuna cha kufanya ila kusubiri kudra za mwenyezi mungu lbd, ingawa ni mawazo ya kukata tamaa
 
Upo mkakati wa miaka mingi kuelekea new order kuhakikisha watu duni na masikini wanapunguzwa duniani kupitia magonjwa,vita,njaa,nk wanasema hawana faida duniani sababu mchango wao ni mdogo japo wanamiliki 80% ya malighafi za dunia,
 
Mwenyezi mungu ndio aliyeumba mwana wa adamu na atawachukua yeye mwenyewe kurudi mavumbini.
Na kila nafsi itaonja mauti.

Acheni kuwa na fikra potofu.
 
@maeskron

Ahsante sana kwa kuanzisha mada hii.

Hata HIV waliitengeneza maabara ili watumalize tu, jisomee zaidi:

More Evidence HIV Was Made At Ft. Detrick
HIV haikutengenezwa maabara kwasababu hakuna HIV,kuna hadithi inayohusu kirusi kisichokuwepo kilichopachikwa jina la HIV....

Kirusi specific aina ya HIV hakijawahi kugunduliwa duniani achilia mbali kuonekana kwenye mwili wa binadamu....

Kwa kukusadia ni kwamba walitengeneza hadithi inayomhusu kirusi anayefanya A,B,C kwenye mwili wa binadamu,hizo A,B,C zilikuwepo tu kwenye maisha ya watu wenye maradhi kama TB n.k halafu hizo A,B,C wakampachika huyo kirusi asiyekuwepo....

Baada ya muda wakaja na hadithi nyingine kuwa kirusi huyo anabadilika badilika na wakatengeneza dawa zinazomsababishia mwanadamu A,B,C,D,E,F,G na kumdanganya huyo mwanadamu kuwa hizo dawa zinapunguza matatizo A,B,C yaliyodaiwa hapo mwanzo kuwa yanaletwa na huyo kirusi hivyo watu wakaanza kufakamia hizo dawa na walipokuja kupata madhara A,B,C,D,E,F,G wakaambiwa ni matokeo ya HIV kumbe ni matokeo ya madhara ya hayo madawa...

Muulize MD yoyote dalili za HIV ni nini kama hajakuambia daliliza TB n.k dalili ambazo sio mpya kabisa lakini zikapachikwa jina la dalili za HIV....



[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDena[/HASHTAG]
 
Na ndio maana hasa nchi masikini huitwa developing countries/ less developed States ( LDC's) siyo Tanzania pekee kama unavyodai, VP kuhusu Caribbean islands, Latino America, and eastern Asia?

Lengo la hawa mashetani ni kupunguza idadi ya watu, na kujipatia fedha nyingi kupitia makampuni ya kutengeneza madawa ( poisoned) na utoaji chanjo ambazo ndio husababisha magonjwa husika Mf. Cancer, Ebola, small pox n.k

Its a planned mission which can be traced back to the era of slave trade which mostly affected the black race, leaders of the world especially developed States are the planners of this devilish mission to reduce the human races including black race which seems to multiply in number from decade to decade.

The world is in the hands of the single eye named " illuminant" which watches and control each and everything in the world, wars, diseases, massive poverty isn't existing just by coincidence but through plans planned long time back, to finish up any controversial processes towards them!

Finally, Africa is the laboratory of any biological test, some diseases are being created and named then transported from their States and then poured into Africa to kill the innocent farmers and primitive societies of the sub Saharan belt.

Reducing the rate of consumption of the laboratory prepared medicines and vaccination may reduce the risk of exposure to these lab.diseases.
Inawezekana kuna maradhi yanatengenezwa huko kwenye ma lab yao lakini Ebola,HIV na Zika siyo magonjwa halisi kabisa bali ni magonjwa yalitobuniwa tu ili kuogopesha watu ili wanunue madawa na baadaye wapate maradhi yanayofanana na yaliyosemwa....

Hilo ni moja,lakini la pili ni kwamba,hivi ni kwanini hawa watu wawafanyie hivi watu weusi tu? Mambo kama haya sijasikia yakifanyika Asia au Latin America ambako nako kuna masikini na wajinga wengi tu,why black only?

La tatu,ni kwanini wewe na watu wengine mnadhani kwamba watu weusi wanazaliana kuliko race nyingine yoyote hapa duniani? Watu wesi hawazidi bil 1,Wahindi na Wachina pekee ni zaidi ya nusu ya watu wote duniani,hawa wanaongezekaje bila kuzaliana? Kwanini tunapenda sana kuamini uongo wa namna hii?

Utasikia jitu huko linasema 'weusi wanapenda sana ngono" hivi tunapendaje ngono wakati hata hatufikii raia wa nchi moja tu iliyoko hapa hapa duniani? Yaani ukichukua Waafrika wote hawawafikii Wahindi kwa wingi halafu sisi weusi ndiyo tunaonekana tunapenda ngono....

Ujinga mkubwa huu...



[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDena[/HASHTAG]
 
Upo mkakati wa miaka mingi kuelekea new order kuhakikisha watu duni na masikini wanapunguzwa duniani kupitia magonjwa,vita,njaa,nk wanasema hawana faida duniani sababu mchango wao ni mdogo japo wanamiliki 80% ya malighafi za dunia,
Watu masikini wapo Afrika pekee?

Latin Amerika huko mbona wamejazana?

Kuna Wahindi ni masikini hadi wanaamua kuuza figo zao ili wapate pesa za kujikimu halafu bado tunaona Waafrika ndiyo masikini pekee,kwanini?

Sidhani kama ishu hapa ni umasikini bali kuna kingine kabisa ambacho hatukioni....

Kwanini watu wanapunguzwa huku ambako kuna raia wachache na kuna mahali nchi moja tu ina raia bil 1 na zaidi hawapunguzwi?



[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDena[/HASHTAG]
 
Hii ndio sababu nilitaka kusoma biotechnology.. But nilishindwa.. Ni kweli hili Mimi niliwahi pia kulifatilia linaukweli ndani yake.. Na huu mchezo haujaanza Leo wala Jana.. Ni kuanzia miaka ya 1950 ambapo ndio waliweza kutengeneza enzyme kupitia bacteria.. Ndio technology nzima ya biotechnology ilipoanza kukua kwa kasi. Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini HIV ilianza miaka ya 80 and not before that.. For sure this is the new inslavement technique.. Jiulize MTU aliegundua dawa ya dharura kuzuia virusi vya UKIMWI alikua umbali gani kugundua dawa ya ukimwi kabisa. So inaonesha dhahiri kuwa kunakundi halitaki dawa ipatikane cause linafaida.. Hivyohivyo kwa kansa.. GMOs (genetic modified organisms) ni aina ya vyakula ambavyo kwa sasa wengi wanapenda kuvitumia.. Kama vile kuku wa kisasa.. Ng'ombe wa kisasa.. Mayai ya kisasa.. Hizi Mbegu za muda mfupi.. Kama mahindi.. Matikiti nk.. Uwezekano wa wao kutufanyia hicho kilichoelezewa hapo juu.. Yani kutufanya tuumwe ili tuwe Wateja wa kudumu kununua dawa zao ni rahisi sana kutendeka kwa hali hii.. Yani inatakiwa tufike wakati dawa tusitegemee kutoka huko.. Hasa chanjo.. Hapa ndipo tunapoona umuhimu wa kuwekeza kwenye elimu.. Cause hivihivi hatuwezi.. Sema ikumbukwe sio wazungu wote wanatabia hiyo.. But ndo madhara yenyewe ya Capitalism.. Monopolism.

Mzungu siku zote ni mtu mbaya sana. Kuna wakati tunasahau historia. Ukisoma historia, Amerika ya Kusini na Kaskazini, pamoja na Australia na Caribbean wazungu siyo asili yao huko. Lakini leo kote huko wao ndiyo wengi kuliko watu wa asili ya huko. Na idadi ya wazawa inazidi kupungua huku ile ya wazungu ikiongezeka katika maeneo hayo. Sababu ni kwamba kuna mikakati ya muda mrefu ya kuwaua wazawa ili wazungu wawe ndiyo wamiliki wa ardhi na maliasili katika maeneo hayo. Mfano, serikali ya Australia miaka michache iliyopita ilikiri na kuomba radhi kwa kuendesha kampeni ya kuwafutilia mbali aborigines ambao ndiyo wazawa wa Australia. Marekani leo inaonekana wazungu akina Bush na akina Clinton na wengineo kuwa ndiyo wazawa wakati ukweli siyo. Wazawa wameuliwa kwa miaka mingi na uzao wao umepungua sana.

Suala la chanjo, madawa, vyakula na hata kampeni za makusudi kama zinazoelezwa katika hiyo video vyote vimefanywa, vinaendelea kufanywa na vitaendelea kufanywa ili mwafrika na wengine ambao siyo Caucasians wasiongezeke kuwazidi wazungu.

Lakini haya yote yataendelea kufanikiwa kwa sababu serikali zetu Afrika haziwekezi katika utafiti tofauti na wenzetu. Wasomi wetu wanafanya tafiti zao hasa kupitia ufadhili wa hao hao wazungu. Na kwa sababu hiyo tusitarajie kubadili mwelekeo kwa sasa, labda miaka mingi sana ijayo. Jambo lingine litakaloendelea kusaidia hili ni upande wa uchumi. Kwa sasa tunaendelea kutegemea zaidi wazungu katika uchumi wetu. Tunaona ndiyo mwarobaini wa uchumi wetu.

Na kibaya zaidi, wanazidi kuteka utamaduni wetu. Mtu akiongea lugha yao ndiyo anaheshimika katika jamii na anaonekana msomi na aliyestaarabika. Vijana wetu wakivaa kama wazungu wanaonekana ndiyo wako kisasa zaidi. Binti wa kiafrika akipata mpenz wa kizungu anaonekana ndiyo katoboa na maisha yatamwendea poa. Kijana wa kiafrika akipata mpenz wa kizungu bas anatambia wenzake. Kimsingi, haya yote yanathibitisha kwamba kwa sasa hatuna cha kufanya ila kusubiri kudra za mwenyezi mungu lbd, ingawa ni mawazo ya kukata tamaa
Kwanini hao Wazungu hawaendi Asia huko nako wakaendeshe hizi kampeni?

Kule Latin Amerika kuna wazungu gani?



[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDena[/HASHTAG]
 
The white supremacy, Freemason and illuminati are at work to ensure whites dominate every sphere of life and maintain world low population. The aim of doing that is to fast one world under one order (Satan is around the corner)
Hii ni vita ya weupe na weusi au?



[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDena[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom