Wamarekani weupe wameamua kutumia utaalamu wa kisayansi kumaliza weusi

Wamarekani weupe wameamua kutumia utaalamu wa kisayansi kumaliza weusi

Yaani FaizaFoxy huu ni zaidi ya unyama..... halafu wanajidai kutuletea misaada..... too sad

Hakuna msaada wa bure bila maslahi yao.

Huwa wanasema siku zote kuwa wana "interests" zao.

Ukitaka kuwajuwa hawa watu kuwa ni wanyama soma kitabu cha Richard Seymour Hall, uone Vasco Da Gama alifanya nini huku pwani ya kwetu.

Soma kuhusu Argentina, kwanini hakuna watu weusi huko.

Lakini ni sisi wenyewe tunawatukuza, towa "z" katika mzungu inabaki nini?
 
Hakuna msaada wa bure bila maslahi yao.

Huwa wanasema siku zote kuwa wana "interests" zao.

Ukitaka kuwajuwa hawa watu kuwa ni wanyama soma kitabu cha Richard Seymour Hall, uone Vasco Da Gama alifanya nini huku pwani ya kwetu.

Soma kuhusu Argentina, kwanini hakuna watu weusi huko.

Lakini ni sisi wenyewe tunawatukuza, towa "z" katika mzungu inabaki nini?
naomba unittumie hicho kitabu cha richard
 
Nani Humu ndani aliwahi kusoma kitu kinaitwa The Presidential Apology??? Aliitoa Mzee Clinton January sikumbuki Mwaka kuhusu Mkakati wa kutengeneza Kaswende na kuwapandikiza Weusi na hata pale ambapo Dawa ilipatikana bado Weusi walinyimwa? Ni issue ya 1940s sio mbali. Ngoja niitafute niiweke hapa muone

Elli wamerekani weusi walikuwa wanatolewa kafara Na serekali Yao Kwa kupandikizwa magonjwa ya ajabu.Walikuwa wanaitwa guiner pigs.Vile Vile walitengeneza sinema.
 
Unapokwenda hospitali haupimwi UKIMWI bali wanapima antibody ambazo mwili unakuwa unatoa ili kupambana na maradhi.Cha ajabu badala wakuone huumwi wanasema unaumwa,hili ni ajabu la kwanza...

Huyo aliyepimwa walipima nini? kwanini alikwenda hospital? Alikuwa anaumwa nini?

Kimsingi kilichomuua siyo kingine bali kuna maradhi specific alikuwa anaumwa,ARVs hazitibu ugonjwa wowote ndani ya mwili wa binadamu,yes hazitibu chochote na hizo ndiyo zilisababisha kifo cha huyo ndugu kwa kasi kubwa....

Sema alikuwa anaumwa nini achana na mambo ua UKIMWI kwasababu hilo ni tatizo linaloondolewa na chakula bora tu....

Sema historia ya maisha yake...

[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDena[/HASHTAG]
Nina imani huyu ni mkuu Deception amekuja na kivingine,ameingia ID tofauti
 
Ni kweli mkuu.. Wenzetu wanajua sana kutuchekea usoni.. Kumbe moyoni wanamipango negative tusio ijua.


Sana, Mungu atuhurumie, chukua mfano mdogo tu, miaka ya nyuma aina nyingi za matunda hapa nchini zilistawi bila kuharibiwa na wadudu, leo hii matunda mengi yanaharibiwa mno na wadudu hivyo kulazimu kupulizia sumu (ambayo imetengenezwa kwao hao wazungu) ya kuwaua hao wadudu, imagine athari tunazopata kwa kula hayo matunda yenye sumu
 
Nina imani huyu ni mkuu Deception amekuja na kivingine,ameingia ID tofauti
Unafikiria kirahisi sana......

Inaonekana wewe ni mgeni humu ndiyo maana unapata hitimisho rahisi rahisi namna hii...

Haya ni matokeo ya kudhani elimu haipatikani kwa watu wengine isipokuwa watu fulani tu,hasara kubwa sana hii....
 
naomba unittumie hicho kitabu cha richard
Dah! Mtihani mkubwa umenipa, sitoweza kukutumia kwa sasa lakini nimeshawahi kukiona copy yake kwa wale wanaotembeza vitabu Dar. Ukiwaona waulizie.
 
waafrica wapumbavu, wazungu utasikia hata nyanya au kitunguu wanataka ambacho hakijapandwa kwa mbolea kwa sababu huu mchezo wanaujua. Sisi badala ya kusomesha vijana tuwe na labs za utafiti za kufa MTU tunaenda kununua ndege. huu mchezo hauhitaji hasira, tutakufa hadi tuishe.

Africa inabidi ubadilike, itegemee technology yake , itegemee watu wake, itegemee maarifa take , iwekeze kwenye raslimali watu na kutengeneza miundombinu itakayo saidia kuleta mazingira rahisi kwa vijana wa kiafrica kuleta mapinduzi ya viwanda.

Ndugu....ni wazi kuwa uko mbali sana na namna ulimwengu...unavyoendeshwa....

Ni ukweli ambao utakuweka huru huku ukikuwacha na mshangao...wa kudumu.....

Kwa kifupi ulimwengu na mambo yake ni zaidi ya unavyoyaona kwa macho.....

Hadi hapa tulipofikia tumecheshachelewa sana kufanya hilo ambalo wewe unadhani kuwa linaweza kutuletea ukombozi......

Hata huo ukombozi unaoupigania elimu....huko ndio tulishazikwa mapema....kwani hata mitaala yetu ya elimu....kuanzia ngazi zote mpaka mwisho wako wa elimu...vipo kwenye control yao.......kwa kifupi kama unachimba vizuri hata maendeleo na uchumi wa taifa la China.....ni fake kwa undani kuna wazungu wameshikilia uchumi wa China......jiulize kwanini Marekani wanafanya sana biashara na China.....???

Think big.....take control of your destiny.....
 
Unafikiria kirahisi sana......

Inaonekana wewe ni mgeni humu ndiyo maana unapata hitimisho rahisi rahisi namna hii...

Haya ni matokeo ya kudhani elimu haipatikani kwa watu wengine isipokuwa watu fulani tu,hasara kubwa sana hii....

Heshima yako mkuu.....wewe ni miongoni mwa GREAT THINKER wachache waliobakia humu.....

Fikra za vijana wa sasa utadhani bongo zao....zimepigwa sindano ya ujinga na upumbavu.....

Hawa ndio tegemeo letu kama taifa....

Hakika ni hasara....
 
Hakuna msaada wa bure bila maslahi yao.

Huwa wanasema siku zote kuwa wana "interests" zao.

Ukitaka kuwajuwa hawa watu kuwa ni wanyama soma kitabu cha Richard Seymour Hall, uone Vasco Da Gama alifanya nini huku pwani ya kwetu.

Soma kuhusu Argentina, kwanini hakuna watu weusi huko.

Lakini ni sisi wenyewe tunawatukuza, towa "z" katika mzungu inabaki nini?

Heshima yako....mkuu.....
 
Heshima yako mkuu.....wewe ni miongoni mwa GREAT THINKER wachache waliobakia humu.....

Fikra za vijana wa sasa utadhani bongo zao....zimepigwa sindano ya ujinga na upumbavu.....

Hawa ndio tegemeo letu kama taifa....

Hakika ni hasara....
Mkuu tuna changamoto nyingi sana lakini changamoto kubwa ni mtindo wetu wa kufikiri uivyo,sijui tuna matatizo gani kwakweli....

Wakati mwingine unaweza hata kutamani upate uwezo wa ki-Mungu ufute upuuzi waliolishwa hawa vijana wa kileo ambao wengi ni kama bado hawajajielewa kabisa.....

Tuna safari ndefu sana mkuu...
 
waafrica wapumbavu, wazungu utasikia hata nyanya au kitunguu wanataka ambacho hakijapandwa kwa mbolea kwa sababu huu mchezo wanaujua. Sisi badala ya kusomesha vijana tuwe na labs za utafiti za kufa MTU tunaenda kununua ndege. huu mchezo hauhitaji hasira, tutakufa hadi tuishe.

Africa inabidi ubadilike, itegemee technology yake , itegemee watu wake, itegemee maarifa take , iwekeze kwenye raslimali watu na kutengeneza miundombinu itakayo saidia kuleta mazingira rahisi kwa vijana wa kiafrica kuleta mapinduzi ya viwanda.

Duh sasa mbona unatutisha aisee,ndege lazima tununue hata kama tutakula majani hakuna namna.
 
Ninachofahamu ni kuwa waafrika ndiyo watu wanaochukiwa sana duniani na kudharaulika sana kupita race nyingine zote.
Mwenye kujua sababu atueleze ila ya umaskini nitakataa.
 
Back
Top Bottom