Mkuu tuna changamoto nyingi sana lakini changamoto kubwa ni mtindo wetu wa kufikiri uivyo,sijui tuna matatizo gani kwakweli....
Wakati mwingine unaweza hata kutamani upate uwezo wa ki-Mungu ufute upuuzi waliolishwa hawa vijana wa kileo ambao wengi ni kama bado hawajajielewa kabisa.....
Tuna safari ndefu sana mkuu...