Wamarekani Weusi ndiyo sababu homicide na crime kuwa juu Chicago, Baltimore, Atlanta, Washington DC n.k

Wamarekani Weusi ndiyo sababu homicide na crime kuwa juu Chicago, Baltimore, Atlanta, Washington DC n.k

Ni jambo la kutengenezwa na watu kwa habari za kijamii.

Mfano, mtu aliyechanganya wazazi, Marekani anaitwa mweusi, South Africa anaitwa colored, Brazil watu wengi waliochangia wazazi wanaitwa weupe.

Siku ya kwanza nilivyomuona Merghan Markle sikujua kama ni mixed race.

Wasomi wameacha kutumia habari za Caucasians, Mongoloid, Negroid ku classify watu tofauti. Ukiongelea habari hizi miongoni mwa wasomi unaonekana uko nyuma, uko katikati ya karne iliyopita bado.

Kitabu cha kusoma ni cha Carleton Coon "The Origins of Race".

Kwenye internet Google "From Types to Populations: A Century of Race,
Physical Anthropology, and the American
Anthropological Association" utapata PDF linaelezea hizi habari kisomi zaidi kuliko mimi.
Ukiachilia mbali hicho kitabu (ambacho kimejaa nadharia za kisiasa), sayansi inasemaje kuhusu utofauti wa race za binadamu?
 
Mii ninachojua maeneo yenye dini nyingi ndiyo yenye uhalifu mkubwa.
 
Christian in a muslim country,kuna waarabu wakristo kule??
Wapo. Coptic orthodox na kusali nilikuwa nasali ijumaa kwa Anglican church, catholic yapo, na hata Pentecostal churches wameanza
 
Wazungu wanaoishi vizuri tu.


Waafrika tunafeli wapi??, jibu umeishajijibu mwenyewe hapo juu.

Swali la kujiuliza ni hili ni kwanini wazungu wakawa na maisha mazuri kuliko watu weusi katika hizo nchi???, wala usiulize tumefeli wapi bali uliza tumefelishwa wapi??,

Ungejua ni kwa namna gani na kwasababu gani Waafrika walifika katika hizo nchi wala usingeuliza hilo swali, pia ungejua baada ya kufika katika hizo nchi wakiwa "enslaved" maisha yao yalikuwa vipi??!!, je, hadi hii leo maisha yao ni sawa na Weupe waliowengi??, how are they treated??, Mauaji ya activists wao kama Martin luther king jr na wengine ni mambo hayo ndiyo in the first place yamekuwa chanzo cha watu wengi weusi kujiona bado wapo kwenye mapambano ya kudai haki zao kutokana na mfumo wa kibaguzi katika siasa, uchumi na kijamii, waswahili husema "ukiyazuia maji mkondoni yatapenya uani"--- kwahiyo sababu kuu ya uhalifu wa watu weusi ni sawa na maji yaliyozuiliwa mkondoni sasa yanapenya uani.
 
Hawana akili hao Africans Americans kwanza hawajiamini afu wengi wao bado wana struggle na identity kutafuta uhalali kiufupi wameishiwaa hawajielewii.
 
Ukiachilia mbali hicho kitabu (ambacho kimejaa nadharia za kisiasa), sayansi inasemaje kuhusu utofauti wa race za binadamu?
Race ni nini?

Na unajuaje kitabu kimejaa nadharia za kisiasa? Umekisoma?

Angalia wasomi wanasema "race is not a biologically meaningful concept".

Ni superficial, social construct.

Soma hapa wataalamu wamefafanua kwa kuangalia DNA.


Excerpts

Race is not a biologically meaningful category

As the statement discusses, one of the most important insights from studies of human DNA across the world has been that the concept of “race” is not a useful or accurate term to describe patterns of biological variation that exist. Biological variation—whether it be genetic or in our physical traits—may be used socially and politically for categorizing people (e.g. “white”, “black”, “Hispanic”) but does not actually align with “pure” or discrete groups.

The authors of the statement note:
“The groupings of people that exist in our species are socially-defined, dynamic, and continually evolving — amalgamations of socially- and biologically-interacting individuals with constantly-shifting boundaries, reflecting the myriad ways that individuals, families, and other clusters of people create ties, move, trade, mate, reproduce, and shift their social identities and affiliations through time.

Race does not capture these histories or the patterns of human biological variation that have emerged as a result. Nor does it provide a clear picture of genetic ancestry.”


So while people think they’re using biology to classify people into races, the traits that we typically consider are arbitrary and socially informed and the patterns in those traits don’t map onto racial groups the way people think they do.

Tina Lasisi, a Ph.D. student at Penn State University who helped write the statement, sums it up this way “We aren’t denying that patterns of genetic variation exist, in fact that’s precisely what most of us study. We are however saying that race is not a useful framework for discussing or investigating human biological variation and continuing to use it stalls science more than it advances it.”

Professor Ewan Birney, Director of EMBL’s European Bioinformatics Institute, who was not involved with writing this statement, commented to me that “It is sadly all too easy to think race is somehow the everyday manifestation of human genetics but the truth is far more complex and interesting. Our collective genetic history is messier, richer and more complex than concepts of race; race itself is more a cultural phenomenon and less genetics than most people realize.”

Race is real
Another important point that this statement raised is that “while human racial groups are not biological categories, ‘race’ as a social reality — as a way of structuring societies and experiencing the world — is very real. Dr. Adam Rutherford, another geneticist and author who was not involved in writing this statement, agrees with this point.
 
Yes bado wanaishi.

Unajimwambafy hapa wkt hata hio simu uliyotumia ku ingia hapa JF ni matunda ya mzungu,internet unayotumia ni kazi ya mzungu,nguo ulizovaa hapo bila mzungu ungekua unatembea matako wazi huku pumbu zikiruka ruka kama za mbuzi.
U2mwa ulishakwisha ila wa2mwa bado wanaishi aseee[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Kwenye epidemiolojia, inatakiwa kuchukua mazingira yafananayo ili kubainisha uhalisia wa tofauti. Hii inasaidia kudili na sababu bandia (confounding factors). Kwa mfano, utafiti fulani ulibaini kwamba wanywao kahawa wengi hupata saratani. Lakini kumbe, walipochanganua zaidi, wakagundua wanywao kahawa hao ni wavuta sigara au walionywea vibandani wanamovuta sigara.

Kwa hiyo, mtoa mada inabidi uajasti tarakimu zako kwa kuzingatia:

1. Viwango vya vipato.
2. Uwepo wa wazazi wote wawili kwenye kaya.
3. Mahali husika.
4. Elimu, n.k.

Vigezo hivyo na vinginewe vikilingana, hapo unaweza kuzungumzia utofauti baina ya makundi mbalimbali.
 
Ukiangalia miji yote yenye population kubwa ya African Americas ina uhalifu Mkubwa sana.

Mfano mji kama Washington DC ambao una federal security headquarters zote kwenye metropolitan yake, lakini bado uhalifu uko juu sababu ni kuwa na African America both in city and metropolitan.

Chicago hali ni mbaya sana na ndiyo mji mkubwa unaongoza kwa total number of homicide sababu ni kuwa na African American.

Ni new York City tu ambayo ina population kubwa ya African American na crime inashuka na iko chini sana.

Miji ambayo haina population kubwa ya Africa America crime iko chini sana mfano Seattle, San Fransisco, na hata kwenye suburbs kwa sababu wakazi wengi ni Wazungu na wachache African Americans.

Na siyo Marekani tu, hata London victim na wahusika wa knife crime, majority ni Black British. Hata Brazilian Blacks Brazilian /Mullatos ndiyo vinara wa uhalifu wa kuuza madawa ya kulevya na matukio mazima ya uhalifu.

South Africa hali ndiyo mbaya sana kwa black South Africans tofauti na Wazungu wanaoishi vizuri tu.

Waafrika tunafeli wapi?

Ishi marekani then uletee uzi hapa,
Naona unaongea bila kuwa na uelewa wowote.
 
Kabla ujibu kwa hoja umeanza matusi mkiambiwa watu weusi ni wehu na waharibifu wa amani na kila kitu wanzchogusa unabisha.
Weusi huko Marekani wanaongoza kupigana risasi,matusi,majigambo ni race yenye laana kubwa mno kama hutaki endelea kutukana mwehu mweusi wee.
Bila shaka wewe ni shoga
 
Hizo data kwamba weusi marekani wanaongoza kupigana Risasi umezitoa wapi?
Wewe ndio mana nakuita shoga sababu haujui kwamba hizo data unazolopoka zinatolewa na vyombo vya habari vinavyomilikiwa na wazungu.
Umewai ona data za wazungu wanavyoua watu wengine Iraq, Libya, Syria, Afghanistan n.k
Pia umewai jiuliza migogoro mingi inayotokea katika nchi za kiafrika kama Kongo, Somalia, Sudan hadi kupelekea mauaji makubwa kati ya mtu mweusi na mtu mweusi Chanzo chake nini?
Wewe ni shoga na haujui historia vizuri kuhusu fitina za mzungu kwa mtu mweusi.
Kabla ujibu kwa hoja umeanza matusi mkiambiwa watu weusi ni wehu na waharibifu wa amani na kila kitu wanzchogusa unabisha.
Weusi huko Marekani wanaongoza kupigana risasi,matusi,majigambo ni race yenye laana kubwa mno kama hutaki endelea kutukana mwehu mweusi wee.
 
Wewe ni shoga na familia yako ndio ina laana kubwa ndio maana unawatetea hao wazungu mashoga kama wewe.
Kama haujui historia vizuri kuhusu harakati za kumdhoofisha mtu mweusi kaa kimya.
Kabla ujibu kwa hoja umeanza matusi mkiambiwa watu weusi ni wehu na waharibifu wa amani na kila kitu wanzchogusa unabisha.
Weusi huko Marekani wanaongoza kupigana risasi,matusi,majigambo ni race yenye laana kubwa mno kama hutaki endelea kutukana mwehu mweusi wee.
 
Je unanijua jibu ni hapana, na unauhakika sijaishi marekani jibu ni hapana, usimhukumu MTU usiemjua

Naona ulivyoandka uzi wako inakutambulisha wewe ni mtu ambae huna uelewa na kile unachokiandika.nima kila sababu ya kukuambia hivyo
 
Back
Top Bottom