Wamarekani Weusi ndiyo sababu homicide na crime kuwa juu Chicago, Baltimore, Atlanta, Washington DC n.k

Wamarekani Weusi ndiyo sababu homicide na crime kuwa juu Chicago, Baltimore, Atlanta, Washington DC n.k

Ukiangalia miji yote yenye population kubwa ya African Americas ina uhalifu Mkubwa sana.

Mfano mji kama Washington DC ambao una federal security headquarters zote kwenye metropolitan yake, lakini bado uhalifu uko juu sababu ni kuwa na African America both in city and metropolitan.

Chicago hali ni mbaya sana na ndiyo mji mkubwa unaongoza kwa total number of homicide sababu ni kuwa na African American.

Ni new York City tu ambayo ina population kubwa ya African American na crime inashuka na iko chini sana.

Miji ambayo haina population kubwa ya Africa America crime iko chini sana mfano Seattle, San Fransisco, na hata kwenye suburbs kwa sababu wakazi wengi ni Wazungu na wachache African Americans.

Na siyo Marekani tu, hata London victim na wahusika wa knife crime, majority ni Black British. Hata Brazilian Blacks Brazilian /Mullatos ndiyo vinara wa uhalifu wa kuuza madawa ya kulevya na matukio mazima ya uhalifu.

South Africa hali ndiyo mbaya sana kwa black South Africans tofauti na Wazungu wanaoishi vizuri tu.

Waafrika tunafeli wapi?
Ubaguzi ndiyo umeleta hayo. Biblia inasema pombe apewe aliyekaribu na kupotea usimpe pombe mtawala. Tazama huko watawala ni kina nani na walevi ni kina nani

Ni ubaguzi wa wazi kabisa huo. Na ndicho wanachofanyiwa Waafrika wa huko na huku kwetu, hakuna tofauti.

Solution ya hayo matatizo ni Uislam tu.

Ushahidi...

Mithali 31:
Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?
5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.
 
wewe ndo tahira kweli,waarabu wote saizi wanakimbilia kwa makafiri wala nguruwe ulaya,wanakimbia vita vilivyosababishwa na uislamu,kwa nini wasikimbilie kwa waislamu wenzao???
Naam, hiyo ndiyo faraja kubwa kwa watu wote waliopo huko. Wanaenda na suluhisho la matatizo yaliyotajwa kwenye mada. Suluhisho wanaloenda nalo ni Uislam.
 
Ubaguzi ndiyo umeleta hayo. Biblia inasema pombe apewe aliyekaribu na kupotea usimpe pombe mtawala. Tazama huko watawala ni kina nani na walevi ni kina nani

Ni ubaguzi wa wazi kabisa huo. Na ndicho wanachofanyiwa Waafrika wa huko na huku kwetu, hakuna tofauti.

Solution ya hayo matatizo ni Uislam tu.

Ushahidi...

Mithali 31:
Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?
5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.
Kuna watu wanabagua waafrika kama warabu ambao majority ni waislamu
 
Yes bado wanaishi.

Unajimwambafy hapa wkt hata hio simu uliyotumia ku ingia hapa JF ni matunda ya mzungu,internet unayotumia ni kazi ya mzungu,nguo ulizovaa hapo bila mzungu ungekua unatembea matako wazi huku pumbu zikiruka ruka kama za mbuzi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]lunch time hii ujue
 
Kuna watu wanabagua waafrika kama warabu ambao majority ni waislamu
Unafahamu saa zingine inakuwa vigumu sana kumfahamisha mtu asiyeelewa anachokiandika.

Naomba kukuuliza maswali mawili...

Unaelewa kuwa Uarabu ni lugha na tamaduni?

Unaelewa kuwa Waarabu wengi ni Waafrika?

Kama unaelewa hayo sasa jiulize, kwanini "Waafrika" wabaguwe Waafrika wenzao?

Kama ulikuwa huelewi hayo. Leo umefaidika na darsa la FaizaFoxy.
 
we ndo mpumbavu kweli,kama uislamu ni suluhisho basi waarabu wangeishi kwa amani, wazungu sio waislamu ila wamestaraabika kuliko waarabu
Hahaha. Jisome

Sasa jiulize unafahamu maana ya "ustaarabu"?
 
After The Wire or Power you felt they made black on black crime seem ok, dont get brainwashed by another story here in JamiiForums, scratch deep you will know it is all propaganda . The recent one, likes of The Wire or Power trying to twist your mind is this :

Rapman - Shiro's story


Source: Link Up TV
 
kwa waarabu na waislamu kuuana wenyewe kwa wenyewe sunni na shia kisa uislamu ni ustaarabu, muislamu kuua kwa ajili ya mungu jiwe wa makka huo ni ustaarabu ndo maana hatuelewani

"Hatuelewani" kwa kuwa unajifanya huelewi unachokisoma au ni kweli huelewi?

Nimekuuliza, Sasa jiulize unafahamu maana ya "ustaarabu"?

Hilo la mashia na sunni kwanza subiri. Jibu swali langu hilo la kuhusu "ustaarabu" ulilolianzisha. Tukimaliza hilo nitakupa darsa la masunni na mashia na utaelewa tu hata kama u kichwa ngumu. Usichomekee lingine kabla hujamaliza hilo moja.

Kwa kusema kwako "Uislam ni ustaarabu", hapo juu, unazidi kujidhihirisha kuwa licha ya kuwa huelewi maana ya neno "ustaarabu" pia huelewi maana ya neno "Uislam".

Rudi juu, jisome halafu ueleze maana ya neno ustaarabu. Utaelewa tu ujinga (ignorance) wako uko wapi.
 
Kukana ukweli hakukuepushi na laana tuliyonayo waafrika we angalia hata viongozi wa Africa akili zao.MUAFRIKA AU BLACK UNA LIPI LA MSINGI UMEFANYA MPAKA DUNIA IKUAMINI SISI NI WEHU TULIOCHANGANYIKANA NA BIBADAMU(WHITE RACE)
Tume fanikiwa mengi sana, moja wapo ni kubadirisha matokeo ya chuguzi zetu
 
Ukiangalia miji yote yenye population kubwa ya African Americas ina uhalifu Mkubwa sana.

Mfano mji kama Washington DC ambao una federal security headquarters zote kwenye metropolitan yake, lakini bado uhalifu uko juu sababu ni kuwa na African America both in city and metropolitan.

Chicago hali ni mbaya sana na ndiyo mji mkubwa unaongoza kwa total number of homicide sababu ni kuwa na African American.

Ni new York City tu ambayo ina population kubwa ya African American na crime inashuka na iko chini sana.

Miji ambayo haina population kubwa ya Africa America crime iko chini sana mfano Seattle, San Fransisco, na hata kwenye suburbs kwa sababu wakazi wengi ni Wazungu na wachache African Americans.

Na siyo Marekani tu, hata London victim na wahusika wa knife crime, majority ni Black British. Hata Brazilian Blacks Brazilian /Mullatos ndiyo vinara wa uhalifu wa kuuza madawa ya kulevya na matukio mazima ya uhalifu.

South Africa hali ndiyo mbaya sana kwa black South Africans tofauti na Wazungu wanaoishi vizuri tu.

Waafrika tunafeli wapi?
MUULIZE YULE MTU WA HAPA ANA JIBU NADHANI, MAANA ANAFANYA HAYO HAYO KWA WAAFRIKA WENZAKE
 
Hapo juu umesema hujawahi kuwaona watu weupe hapa duniani, then hapa chini unasema waarabu wa Morocco ni weupe, nahisi unajicontradict sana kwenye hoja za kifalsafa.
Tofauti unaipimaje?

Kwa kuangalia ngozi?

Kuna Waarabu wa Morocco ni weupe kuliko baadhi ya mnaowaita wazungu wa Albania na Macedonia, Ugiriki na Italy.

Sasa hao waarabu ni wazungu?
 
Hapo juu umesema hujawahi kuwaona watu weupe hapa duniani, then hapa chini unasema waarabu wa Morocco ni weupe, nahisi unajicontradict sana kwenye hoja za kifalsafa.
Muktadha wa weupe wanaousema watu. Weupe wa kitafsida.

Katika weupe wa HTML code #FFFFFF hakuna mtu mweupe.

Bisha.
 
Tatizo la blacks lina historia ndefu sana. Haiwezekani watu muwe na resources zote ambazo hata wengine hawana kisha eti nyie ndio mnakuwa masikini na omba omba wa kutupwa..!!!

Tufikirie kiukweli nchi kama South Africa, wasingekuwa na the White Population leo hii hiyo nchi ingekuwaje.

Kuna tatizo kubwa sana kwa hii black race, angalia popote pale wanapoishi duniani hali yao ya maisha then jaribu kulinganisha na race zingine utapata jibu negative, why???

Definitely, kuna tatizo lilitokea huko nyuma tuka-mess up sio bure na ndio maana hata watawala wanao-run haya mataifa yetu nao ni the replica of us hence very bogus na ndio maana kuna msemo kuwa 'We're a cursed race' usemi ambao unaonekana ku-reflect kabisa ukweli.

Tuchukulie hili bara kama lilivyo, leo hii waletwe hapa the white Americans au the Japanese wakae hapa miaka miwili au mitatu kisha tuone matokeo, yatakuwa ni marvelous and very incredible.
 
Back
Top Bottom