Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Kwamba black marekani hawataki shule,acha uwongo,eti akiongea kiingereza vizuri wana-mdiss,una umri gani!?..wamarekani weusi wanaongea kiingereza tangu utoto
Wanaongea gheto English( Ebonic English). Mkuu Hammaz upo sahihi kabisa. Mimi nimekuelewa
 
How do you rate 50 cent Avarage person in Usa? Kama alitishaa show Madison Square ikajaa hao wazungu? Tuambie ulie fika usa
50 Cent Ameuza album ngazi ya PLATINUM. Kama hajui hilo neno aka gugu.
50 anaweza kufuatia kwa umaarufu ukimtoa Michael Jackson Tupac. Mtu maarifa anawekwa kundi sawa na mimi wa JF hata viewer elf 10 tu kufikisha kazi.
Labda ilibidi atumbie average ktk nini ?
Bro wangu kaja juzi toka USA kaniambia kwamba msomi wa bongo ukienda kule una apigwa kwanza msasa, digrii zako haziaminiki. Sasa unawezaje kumuweka 50 sawa na mbongo tena kasema mweupe kiliko sisi wabongo.
Bro udumavu wa akili ni kitu kibaya sana ! Mtanzania amesahau kuwa wabongo wengi ni "educable mental rerurded" japo wanajifanya smart. Ukiwachunguza unagundua ni vilaza. Vijitu vimedumaa mwili na akili vinajifanya vina akili.
 
Wewe ndio mdumavu wa ajili ndio maana una amini mtu mwingine ana akili kushinda wewe. Bila shaka huyo 50 akitaka kukuoa utakubali maana sio kwa kumsifu hivyo
 
Tatizo watu weusi sio kama hatuna akili,black people ni magenius sana kuliko race yoyote hapa duniani,kinachowapata black Americans kinatukumba sisi waafrica na Arabs pia.wazungu wameweka mifumo kandamizi ya kuwabeba wao popote walipo duniani.fikiria ishu ya Zimbabwe kuwekewa vikwazp na white race,huko huko us hao watu weusi wanabaguliaa sana,tena Kwa dhama hizi,hata kwenye michezo tunaona jinsi wachezaji weusi wanabaguliaa,hao ni wachezaji(hawana biashara haramu Wala gangs).kama mrusi anaweza kubaguliwa wewe ni nani?waafrica Cha kutusaidia ,hasa jamii ya wasomi ,tupendane na tuwe na moyo wa kusaidiwa waafrica wengine.wenzetu wazungu wanaumoja na wanathaminiana,lakini sisi bapo tupo kwenye level ya ukabila na ukanda
 
Wanaongea gheto English( Ebonic English). Mkuu Hammaz upo sahihi kabisa. Mimi nimekuelewa
Hiki kiingereza Cha kwenye movie wanachoongea blacks siyo kiingereza Bali ebonic!?..na Cha kwenye hip-hop na r&b nacho si kiingereza!?.. kwenye reality shows zao siyo kiingereza sahihi Bali ebonic!?
 
Una akili ya kitoto sana na chuki za kijinga ama agenda ya kipuuzi. Kwa akili yako, unafikiri 50 alikosea kuuliza hivyo na je hakuwa sahihi kuhoji hayo? Anywhere you go duniani any illegal immigrant hana hakii sawa na raia wa hiyo nchi au ulikuwa hujuwi hivyo?
 
Kuhusu kusema serikali ya marekani haiwaitaji black Americans siyo kweli ,black Americans wapo sehem nyingi nyeti sana na Wana umuhimu mkubwa sana

Ila kuhusu uhuni ,ukorofi na uvivu nakubaliana nalo, nikiwa California-San Diego nilikutana na blacks wao kazi kucheza kamali tu,kushinda chini ya madaraja kuvuta masigara na kuleta swaga za kijinga

Japo kuhusu kuwa weupe kichwani siwezi nikahitimisha kwamba wao ndo wanashika namba Moja ,manAke nishakutana na wazungu weupe kichwani utadhani wamesoma memkwa ,yani mweupe kichwani kama kopo...so itategemeana kwa wakati husika umekutana na watu Gani, sijaishi sana huko so siwezi hitimisha mengine ila kwa mwaka mmoja niliokaa huko nimeona hayo machache ,ngoja mwaka huu nikirudi mazima nami naweza kuja wakandia wazungu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
You're so darn stupid. Huwezi kuwa "illegal immigrant" kama uzao wako umetokana na watumwa wa kiafrika kama walipelekwa bara la Amerila miaka 400 iliyopita bila ridhaa yao. Miaka 400 iliyopita bara la Amerika ya kaskazini kulikuwa na serikali yenye sheria za uraia, uhamiaji na mipaka ya nchi?
 
Watawala wenyewe wa enzi hizo waliamua kuwaleta watumwa kutoka Afrika kufanya kazi za kitumwa Amerika ya Kaskazini, sasa huo "uharamu" wa uhamiaji wao unatoka wapi wakati utumwa ilikuwa ni biashara halali ? Mwafrika alikuwa kama bidhaa tu ya kuuzwa kwenye mnada enzi hizo, leo huwezi kusema uzao wa watumwa ni "illegal immigrants". Watumwa walipelekwa Marekani kama legal bonded goods.
 
Aliemuelewa huyu mlevi anijulishe tafadhali maana naona ameandika makamasi tu hapa


Cc Bongotunacheza
 
Aliemuelewa huyu mlevi anijulishe tafadhali maana naona ameandika makamasi tu hapa


Cc Bongotunacheza
Wee uelewe nini wakati uwezo wako wa kufikiri upo level ya nursery school? Instagram ndiyo intellectual platform yako ya kujisifia likes. Jikite kwenye masuala ya kibongobongo mkuu, zaidi ya hapo huna upeo. Ni ushauri tu.
 
Umechelewa kujua .ila its ok
 
Huu utawala wetu imekubrain washed, unaachaje kuhudumia raia wa nchi yako Tena walipa kodi, unaenda kuhudumia wahamiaji haramu. Waliacha kukujibu kwa sababu waligundua umetoka shithole country.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…