Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Bro black americans wamepitia humiliation sana ulipaswa kuwaonea huruma sio kuwapinga... wanachofanyiwa ni ubaguzi ukweli ni kwamba mzungu bado anambagua mnegro, na anajipendekeza kwako muafrica sababu wewe ni cheaplabour na unatabia ya kumnyenyekea..je wanacholalamikia sio haki yao?? Ulishapita hood zao umeona shule wanazosoma watoto wao ni uchafu..Unaonaje hapa tz huduma za afya ziwe bure kwa mburundi alafu wewe mzawa gharama ziko juu?? Kama umesafiri basi utakubaliana na mimi kuwa USA ni nchii yenye gharama kubwa sana linapokuja suala la matibabu. Negros wanafia majumbani
Joannah
 
Huyo anayeeleza keshawahi kufika huko?au kaangalia movie kama wewe?halafu mbona mwenzio anatetea 50cent Sasa hapo mbona unajikanyaga?au ndio ule msemo twende mbele turudi nyuma unatumika?
 
Upo ndani ya Ardhi ya mtu mweusi tena unaishi kwa amani usiku unalala kwa amani unajiachia unapumua tu hovyo mpka unataka kujinyea alafu unakashifu Mtu mweusi ?! ...... Pumbavu zako kaishi uarabuni basi
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo anayeeleza keshawahi kufika huko?au kaangalia movie kama wewe?halafu mbona mwenzio anatetea 50cent Sasa hapo mbona unajikanyaga?au ndio ule msemo twende mbele turudi nyuma unatumika?
Wewe ndo umeangalia kwenye movie ndio maana unadhani Marekani maisha ni mazuri kama kwenye movie. Mimi nilienda 2003 wakati inda club bado ipo top ten billboard . Nikaenda tena 2009, 2013 na 2017.


Kwenda USA ni jambo la kawaida
 
Wewe ndo umeangalia kwenye movie ndio maana unadhani Marekani maisha ni mazuri kama kwenye movie. Mimi nilienda 2003 wakati inda club bado ipo top ten billboard . Nikaenda tena 2009, 2013 na 2017.


Kwenda USA ni jambo la kawaida
Huna lolote wewe mbona wenzio kina wanaokujua huko Kiranga na Nyani Ngabu tunawafahamu japo tu Kwa story zao,we bwana bwana utakuwa uliangalia prison break...
 
MTU mweusi anawaza matusi kichwani
Wew akili huna, ni wew ndo umeanza kumtukana mtu mweusi kwa kumuita sio binadamu kamili kwa madai kwamba ana ishi na chuki rohoni,

wakati unaishi katka ardhi ya mtu mweusi kwa amani na mshahara anakulipa alfu unakashifu mtu mweusi ? Pumbavu kabsa wew ndo maan watu wanasemaga Walimu akili hamna leo nimehakkisha hili kwa macho yangu mwenyewe.

Haya nenda uarabuni sasa uone kama utakuwa unalala tu kwa amani huku ukitoa hewa kila upendapo katk hiyo tundu yako
 
Huna lolote wewe mbona wenzio kina wanaokujua huko Kiranga na Nyani Ngabu tunawafahamu japo tu Kwa story zao,we bwana bwana utakuwa uliangalia prison break...
Ila wewe una akili nyingi utafikiri umezaliwa na baba angu. Umetumia akili nyingi sana kuwaleta Nyangi Ngabu na Kiranga. Haya ngoja tuone🤣🤣🤣
 
Wew akili huna, ni wew ndo umeanza kumtukana mtu mweusi kwa kumuita sio binadamu kamili kwa madai kwamba ana ishi na chuki rohoni,

wakati unaishi unaishi katka ardhi ya mtu mweusi kwa amani na mshahara anakulipa alfu unakashifu mtu mweusi ? Pumbavu kabsa wew ndo maan watu wanasemaga Walimu akili hamna leo nimehakkisha hili kwa macho yangu mwenyewe.

Haya nenda uarabuni sasa uonewa kama utakuwa unalala tu kwa amani huku ukitoa hewa kila upendapo katk hiyo tundu yako
🤣🤣🤣🤣
 
Ila wewe una akili nyingi utafikiri umezaliwa na baba angu. Umetumia akili nyingi sana kuwaleta Nyangi Ngabu na Kiranga. Haya ngoja tuone🤣🤣🤣
Famchezo na Diaspora wewe🤣🤣🤣🤣
 
Anachofanya US Gov (Federal na states) ni kutengeneza tension kwa ethnic minorities Black, Hispanic, Africans etc. Kuwa na chuki baina yao. Hakukuwa na sababu ya kusema undocumented wapate free health care wakati wanaweza kuwa document wale wenye vigezo na wakawa wanachangia kihalali kwenye uchumi na kuenjoy hizo benefits freely kama wengine. Hilo bomb linalotengenezwa litakuja kulipuka baadae kidogo, time wil tell.
 
Asilimia 75% ya wafungwa wote kwenye jela za marekani ni African American hawa jamaa ni weupe kichwani kama wamezaliwa porini hata maisha Yao wanavyoishi ni vituko
Hii takwimu ni ya uwongo sanaaaaa, wazungu ndiyo wamejaa jela usa zaidi ya 64%. Wamarekani weusi USA ni wachache sanaaa
 
Niache kidogo nakunywa juice ya miwa🤣.. mi ni Leo 👑 of the jungle.
Isingekuwa ushamba wako wa kutaka kupeleka watoto shule za kiingereza aisee ningekutongoza nikuoe namimi Nina " grace" ya kukubaliwa na mwanamke yoyote nitakae mtongoza..
 
Isingekuwa ushamba wako wa kutaka kupeleka watoto shule za kiingereza aisee ningekutongoza nikuoe namimi Nina " grace" ya kukubaliwa na mwanamke yoyote nitakae mtongoza..
Mi niolewe na mjuaji kama wewe si utanipa talaka kesho yake maana humo ndani kutawaka moto😅.....zile shule zinachangamsha akili Sasa hapo umenunua uniform zako na mfagio na 200 ya uji hivi kweli akili itachangamka wewe🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom