Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Tatizo

Una maswali ya kitoto sana,

Mirungi ni legal in Kenya ,sasa consumer anayo choice atumie asitumie ni yeye,ona man poison is another man Food. Be Smart Kid.
Baada ya Uingereza kupiga marufuku biashara ya utumwa, watumwa ambao bado walikuwa kwenye slave Market Zanzibar, Dr Livingston aliwanunuwa wote Kwa cash money na kuwaachia huru.
 
Eti swali la kitoto🤣🤣🤣🤣
Okay so biashara ya mirungi Kenya ni halali kwa serikali na watumiaji. Right?

Vipi kuhusu biashara ya watumwa? Ilikuwa halali kwa wahusika wote? Kuanzia wafanya biashara na wamiliki hadi watumwa wenyewe?
Unaelewa maana ya Legal na Illigal unaweza Kuta tunabishana na Mtu haelewi anachokizungumza?
 
Nyie si mmeleta mambo ya documents and blah blah,Sasa wenzenu Babu zao waliingia na recognize documents za slave master zao.
🤣🤣🤣 ninacho kupendea joana nikikupiga maswali yangu huwaga unakaa kwanza kama dakika 30 hivi unatafakari ndio unakuja na majibu but still bado unaacha loophole kwenye majibu yako.

Ona kwa mfano kama kwenye jibu lako hapa. Instead of giving the answers ur just talking about the question.


Jibu swali langu please. Slave trade was legal to who? Was it legal to slave traders and owners or to slaves ?
 
Baada ya Uingereza kupiga marufuku biashara ya utumwa, watumwa ambao bado walikuwa kwenye slave Market Zanzibar, Dr Livingston aliwanunuwa wote Kwa cash money na kuwaachia huru.
Hataki Kusoma anasema yeye ni free thinking😜, Kuwa Free thinking haimanishi kukutaa Universal accepted Facts. 1+1 = 2, not 11
 
Unaelewa maana ya Legal na Illigal unaweza Kuta tunabishana na Mtu haelewi anachokizungumza?
Maneno mengi dada ya nini wewe jibu swali . Simple like that.
 
Wewe Mimi nimezaliwa hujazaliwa

Zena na Betina
Road Lofa
Kipepe
Fimbocheza na Wachafuzi wa Lugha
Visa vya Madenge
Nk

Hizo katuni na simulizi nimezisoma sana zilikua kwenye Jarida la Sani mwanzilishi na Mbunifu wa Jarida hilo anaitwa Nico Mbajo RIP
Sasa kwa Nini ulijump kwenye ngono ilhali unamfahamu Mzee kifimbocheza na itikadi zake?sikutarajia hili swali Kwa mhenga unaemjua Hadi owner wa gazeti nilidhani naongea na Y2K....hebu acha ujinga ushazeeka Sasa😅
 
Nina heshimu sana utu wa mtu. Nipo tayari kuwatetea binaadam.
Lakini ukiambia niwatetee jamii fulani na mtu mweusi sababu ya weusi wake, sitakuwa tayari kwa hilo. Nipo tayari nikapambane 'kutokomeza' zile jamii zinazo kula nyani.
Hiyo jamii nyingine sitaitaja ili nisije nikaharibu uzi, maana ukiitaja tu hiyo jamii, watu watakaokasirika ni weusi kuliko hiyo jamii.
 
Siyo maswali ya kitoto tu, ni mtoto pia by age ila anataka kushindana na kichwa wakati yeye ni sikio.
🤣🤣🤣 pale me profeseri anapokosa majibu ya kutetea hoja zake dhaifu
 
Akili za kuambiwa unachanganya na zako. Lazima uwe na uwezo wa kujenga hoja zako Binafsi wewe kama wewe.

Tena wewe unaonekana mwanafunzi au muhitimu wa sheria.

Mwanasheria unatakiwa kuwa mtundu mtundu.

Unapaswa kuwa na reasoning.
U have to learn how to think beyond others.

Nyie ndio wanasheria ambao mkiulizwa mji mkuu wa Tanzania ni nini unasema "Dodoma" halafu hutoi sababu kwa nini Dodoma kwa nini sio Mwanza, Dar au Arusha.
Watu kama wewe kupata zero darasani wala si ajabu.

Umeulizwa taja mji mkuu wa Tanzania, jibu ni lake ni Dodoma, hujaambiwa ufafanuwe au explain.

Jinga kama wewe kwenye maswali 20 unaambiwa jibu matano, wewe unajibu 20 kuonesha ujuwaji wakati juu umetahadharishwa read instructions carefully, hapo unapigwa mkasi tupa Kule, ndio huu ujuwaji unaojaribu kuleta hapa wakati hujui kitu.

Stupid (In Samia voice)
 
Maneno mengi dada so mujibu swali . Simple like that.
Likud,tukisema serikali yako iboreshe shule na elimu yake Kwa ujumla Huwa unapiga sana promo humu jukwaani kwamba elimu Iko sawa,ndio hivi hata mambo simple ya Uraia na haki za raia,na vimambo ya historia vinakupiga chenga he mambo ya science na biashara itakuaje?
 
🤣🤣🤣 pale me profeseri anapokosa majibu ya kutetea hoja zake dhaifu
Tuanze kwa neno Legal? and Illegal Definition,

Then, tuje hapa mfano, Same sex marriage (Ushoga) ni legal in some countries si Ndio?
Nikakwbia anything Legal can be illegal and vice versa, Utumwa ulikuwa ni Legal enzi ya Colianism,ila intrinsic nature Utumwa in Illegal/ Immoral ni uzalalishaji wa utu wa mwanadamu.
 
Likud,tukisema serikali yako iboreshe shule na elimu yake Kwa ujumla Huwa unapiga sana promo humu jukwaani kwamba elimu Iko sawa,ndio hivi hata mambo simple ya Uraia na haki za raia,na vimambo ya historia vinakupiga chenga he mambo ya science na biashara itakuaje?
🤣🤣🤣🤣

Nimekuuliza swali rahisi sana . Slave trade was legal to who? To slave owners and traders or to slaves ?


Badala ya kujibu swali wewe unakuja tena kutoa wosia.

Wacha kutoa wosia jibu swali.
 
Watu kama wewe kupata zero darasani wala si ajabu.

Umeulizwa taja mji mkuu wa Tanzania, jibu ni lake ni Dodoma, hujaambiwa ufafanuwe au explain.

Jinga kama wewe kwenye maswali 20 unaambiwa jibu matano, wewe unajibu 20 kuonesha ujuwaji wakati juu umetahadharishwa read instructions carefully, hapo unapigwa mkasi tupa Kule, ndio huu ujuwaji unaojaribu kuleta hapa wakati hujui kitu.

Stupid (In Samia voice)

Bongotunacheza nimekubali ushauri wako mkuu kumbe kweli nadili na vilaza ambao hawawezi hata kuelewa vitu rahisi. Ndio maana kule kwenye Uzi wako wa Mkombe uligaragazwa kwa sababu hupendi kufikiri.
 
🤣🤣🤣🤣

Nimekuuliza swali rahisi sana . Slave trade was legal to who? To slave owners and traders or to slaves ?


Badala ya kujibu swali wewe unakuja tena kutoa wosia.

Wacha kutoa wosia jibu swali.
Tunapongea kitu ni legal ni kwamba kinakubalika na serikali....Sasa kama serikali imeruhusu Bangi na wewe hupendi Bangi huwezi kuita Bangi ni illigal...
 
Utumwa ulikuwa ni Legal enzi ya Colianism.

Biashara ya utumwa ilikuwa abolished mwaka 1807.
Utumwa umekomeshwa Afrika kuanzia mwishoni mwa miaka ya 1950.

Nimekukataza kukariri mdogo wangu ona sasa unavyo jichoresha
 
Biashara ya utumwa ilikuwa abolished mwaka 1807.
Utumwa umekomeshwa Afrika kuanzia mwishoni mwa miaka ya 1950.

Nimekukataza kukariri mdogo wangu ona sasa unavyo jichoresha
Sijakuelewa point, basi Mimi na Sum up na wewe; According to you, Black -american ni Illegally immigrants based on Njia iliyowafikisha America,

Wazungu pia ni Illegally immigrants in America sababu waliua Red indians/Mexican (Native)Kwa hiyo nao pia ni Illegal immigrants America Haina mwenyewe mkuu.#Case Closed.
 
Back
Top Bottom