Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

we jamaa ni fala mno unajifanya much know kumbe na wewe mweupe tu kichwani kuliko hata hao black america, kwa jinsi ulivyoandika uzi wako wewe ni hamnazo kabisa
 
Tunapongea kitu ni legal ni kwamba kinakubalika na serikali....Sasa kama serikali imeruhusu Bangi na wewe hupendi Bangi huwezi kuita Bangi ni illigal...
🤣🤣🤣🤣🤣 ulivyo kuwa una kwepa kujibu swali langu basi nikajua una dig kwenye madesa yako ili uje na jibu la kunishushua but thanks God umekuja na jibu zuri sana dada angu. Nimekupenda bure. Ungekuwa unakaa karibu na Mimi leo ningekupa zawadi ya kuja kulala kitanda kimoja na Mimi.

Anyways kwa mantiki yako hii ni kwamba biashara ya utumwa ilikuwa halali kwenye macho ya wazungu tu ( washenzi) ambao ndio walio kuwa wanafaidika nayo na sio waafrika babu zetu walio kuwa wanauzwa kama mbuzi wanatenganishwa na familia zao wanaenda kuuzwa utumwani huko na kufanyishwa kazi kama punda..

Kwa lugha nyingine unacho kisema dada angu ni kwamba biashara ya utumwa ilikuwa biashara haramu.

watumwa walichukuliwa kutoka Afrika kiharamu wakaenda kuuzwa Marekani kiharamu na kufanyishwa kazi kiharamu.

Kwa hiyo hata kizazi vyao vilivyopo Marekani Msingi wao wa kuwepo kwao Marekani ni haramu kwa hiyo na wao ni haramu.

Hizo documents zinazo wataja kama raia wa Marekani hazina tofauti na document haramu zilizo tumiwa na wazungu kuhalalisha uharamu wao.

Hongera sana kwa kuelewa somo.

Mpira uishie hapa
 
Sijakuelewa point, basi Mimi na Sum up na wewe; According to you, Black -american ni Illegally immigrants based on Njia iliyowafikisha America,

Wazungu pia ni Illegally immigrants in America sababu waliua Red indians/Mexican (Native)Kwa hiyo nao pia ni Illegal immigrants America Haina mwenyewe mkuu.#Case Closed.
🤣🤣🤣 dogo naona umeamua kupiga change kota
 
we jamaa ni fala mno unajifanya much know kumbe na wewe mweupe tu kichwani kuliko hata hao black america, kwa jinsi ulivyoandika uzi wako wewe ni hamnazo kabisa
Sawa mkuu upo sahihi kabisa.
 
Bro mimi kila siku nasema hawa watu lini watakuwa na Akili .Kwa mfano hao wanaorapp au biashara yao ya music baada ya kupata kuna hata mmoja aliewakiria wanyonge katika masuala ya Elimu kuwasomesha au kuwapatia ujuzi wowote katika kuendeleza maisha yao utakuta anaibuka black amerika ktk music anakuwa tajiri wa muda tu anafuja pesa zote mwisho anarudi ghetto nahisi kama wana ubinafsi flani ivi jamii zao ovyo sana hawafikirii mustakbali wao ndio maana white wanawashinda kwa kila kitu .Kwa kifupi ni wajinga sana sana .
Ujinga na muafrika dugu moya.
alipo mtu mweusi ujinga yupo naye.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 ulivyo kuwa una kwepa kujibu swali langu basi nikajua una dig kwenye madesa yako ili uje na jibu la kunishushua but thanks God umekuja na jibu zuri sana dada angu. Nimekupenda bure. Ungekuwa unakaa karibu na Mimi leo ningekupa zawadi ya kuja kulala kitanda kimoja na Mimi.

Anyways kwa mantiki yako hii ni kwamba biashara ya utumwa ilikuwa halali kwenye macho ya wazungu tu ( washenzi) ambao ndio walio kuwa wanafaidika nayo na sio waafrika babu zetu walio kuwa wanauzwa kama mbuzi wanatenganishwa na familia zao wanaenda kuuzwa utumwani huko na kufanyishwa kazi kama punda..

Kwa lugha nyingine unacho kisema dada angu ni kwamba biashara ya utumwa ilikuwa biashara haramu.

watumwa walichukuliwa kutoka Afrika kiharamu wakaenda kuuzwa Marekani kiharamu na kufanyishwa kazi kiharamu.

Kwa hiyo hata kizazi vyao vilivyopo Marekani Msingi wao wa kuwepo kwao Marekani ni haramu kwa hiyo na wao ni haramu.

Hizo documents zinazo wataja kama raia wa Marekani hazina tofauti na document haramu zilizo tumiwa na wazungu kuhalalisha uharamu wao.

Hongera sana kwa kuelewa somo.

Mpira uishie hapa
Tatizo Unaongea kama Layman,narudia Tena jambo likiruhisiwa kufanyika kihalali whether u like or not kitaendelea kuwa halali mpaka pale litakapo haramishwa,,,,hapo ndio tunakuja kuongelea abolition ya slave trade....na bado hujamshukuru Mungu utamshukuru vizuri maana darasani Ulikuwa unakula tu visheti na ubuyu husikilizi mafunzo wewe!!
 
🤣🤣🤣 dogo naona umeamua kupiga change kota
Tatizo Unaongea kama Layman,narudia Tena jambo likiruhisiwa kufanyika kihalali whether u like or not kitaendelea kuwa halali mpaka pale litakapo haramishwa,,,,hapo ndio tunakuja kuongelea abolition ya slave trade....na bado hujamshukuru Mungu utamshukuru vizuri maana darasani Ulikuwa unakula tu visheti na ubuyu husikilizi mafunzo wewe!!

Tatizo Unaongea kama Layman,narudia Tena jambo likiruhisiwa kufanyika kihalali whether u like or not kitaendelea kuwa halali mpaka pale litakapo haramishwa,,,,hapo ndio tunakuja kuongelea abolition ya slave trade....na bado hujamshukuru Mungu utamshukuru vizuri maana darasani Ulikuwa unakula tu visheti na ubuyu husikilizi mafunzo wewe!!
Usisahau na Barafu
 
Tunapongea kitu ni legal ni kwamba kinakubalika na serikali....Sasa kama serikali imeruhusu Bangi na wewe hupendi Bangi huwezi kuita Bangi ni illigal...
Mwaka 1994 baada ya ndege ya Habyarimana kutunguliwa, Theodore Sindikubwabo ( interim president of Rwanda during the Rwandan Genocide) akiwa ameongozana na Theoneste Bagosora ambae kimsingi alikuwa ndio defacto President wa Rwanda at that time ( during the genocide ) wakiwa escorted na jeshi la Rwanda, alitoa decree ( tamko la Rais ambalo kimsingi ni sheria ) kupitia RTLM redio ya Rwanda akiwataka Interhamwe kuanza kutekeleza mauaji dhidi ya watutsi wote walio kuwa ndani ya ardhi ya Rwanda. Kwa mantiki yako hii Yale mauaji ya kimbari yalikuwa legal kwa sababu yalikuwa na baraka za serikali.

Ninacho taka kukwambia my sister ni kwamba sio kila kitu kinacho kuwa authorized na serikali ni legal.

Labda nikuulize swali. Have heard something about illegal laws? Illegal wars? Or something? Go and educate urself on that area.
 
Tatizo Unaongea kama Layman,narudia Tena jambo likiruhisiwa kufanyika kihalali whether u like or not kitaendelea kuwa halali mpaka pale litakapo haramishwa,,,,hapo ndio tunakuja kuongelea abolition ya slave trade....na bado hujamshukuru Mungu utamshukuru vizuri maana darasani Ulikuwa unakula tu visheti na ubuyu husikilizi mafunzo wewe!!
What do you know about illegal laws?
 
Unaelewa maana ya Legal na Illigal unaweza Kuta tunabishana na Mtu haelewi anachokizungumza?
Ngoja nikusaidie kwa mara ya mwisho usipo ELewa hapa basi itakuwa unafanya makusudi tu.

In order for a contractual business agreement to be legal then the subject matter of the contract must be legal.

If the subject matter of the contract is illegal then the contract becomes void ab initio.

Kwa lugha nyingine ninasema hivi ili biashara iwe halali au ili makubaliano ya kibiashara yake halali basi kile kinacho uzwa lazima kiwe bidhaa halali.

Kama kinacho uzwa sio bidhaa halali basi hiyo biashara inakuwa ni haramu toka mwanzo. Kuhalalishwa na serikali hakuiondolei uharamu wake. Ndio maana kuna sheria huwaga zinaenda kuwa challenged mahakamani kwa sababu zipo kinyume na haki za binadamu au katiba au vyote.

Biashara ya utumwa haikuwa halali toka mwanzo kwa sababu kile kilichokuwa kinauzwa hakikuwa halali.

Haikuwa halali kumuuza binadamu kama bidhaa.


Kama hujaelewa hapa basi wewe unataka kubishana tu.
 
Mwaka 1994 baada ya ndege ya Habyarimana kutunguliwa, Theodore Sindikubwabo ( interim president of Rwanda during the Rwandan Genocide) akiwa ameongozana na Theoneste Bagosora ambae kimsingi alikuwa ndio defacto President wa Rwanda at that time ( during the genocide ) wakiwa escorted na jeshi la Rwanda, alitoa decree ( tamko la Rais ambalo kimsingi ni sheria ) kupitia RTLM redio ya Rwanda akiwataka Interhamwe kuanza kutekeleza mauaji dhidi ya watutsi wote walio kuwa ndani ya ardhi ya Rwanda. Kwa mantiki yako hii Yale mauaji ya kimbari yalikuwa legal kwa sababu yalikuwa na baraka za serikali.

Ninacho taka kukwambia my sister ni kwamba sio kila kitu kinacho kuwa authorized na serikali ni legal.

Labda nikuulize swali. Have heard something about illegal laws? Illegal wars? Or something? Go and educate urself on that area.
yah hapo umeongea point yakisheria na haki kabosa, kuna kitu kinaitwa legality na legitimacy, kitu kinaweza kuwa legal ( kuruhusiwa au kukubalika kishera) lakini kimekosa legitimacy ( uhalali wa kihaki)...kuna sheria nyingi zipo na legality lakini zimekosa legitimacy
 
Ebu screenshot tuone hao followers3000 bro muongomuongo sana huyu
 
Bro umeenda USA na kamwaliko kako kawalokole ushaanza kuingilia wenye nchi yao..ndiomaana mnapigwa risasi kila siku..wewe sukuma box lako kaa kimya acha ujuaji nchi zilizovulugwa
 
Asilimia 75% ya wafungwa wote kwenye jela za marekani ni African American hawa jamaa ni weupe kichwani kama wamezaliwa porini hata maisha Yao wanavyoishi ni vituko Tu.
Kweli nyani haoni kundulee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
yah hapo umeongea point yakisheria na haki kabosa, kuna kitu kinaitwa legality na legitimacy, kitu kinaweza kuwa legal ( kuruhusiwa au kukubalika kishera) lakini kimekosa legitimacy ( uhalali wa kihaki)...kuna sheria nyingi zipo na legality lakini zimekosa legitimacy
Joannah
 
Bro umeenda USA na kamwaliko kako kawalokole ushaanza kuingilia wenye nchi yao..ndiomaana mnapigwa risasi kila siku..wewe sukuma box lako kaa kimya acha ujuaji nchi zilizovulugwa
K
 
Ebu screenshot tuone hao followers3000 bro muongomuongo sana huyu
niache kumdanganya mwali wangu wa kimakonde ili usiku anikatikie viuno vizuri, nije kudanganye wewe Mkuu? Ili kusudi iwe nini?
 
niache kumdanganya mwali wangu wa kimakonde ili usiku anikatikie viuno vizuri, nije kudanganye wewe Mkuu? Ili kusudi iwe nini?
Bro black americans wamepitia humiliation sana ulipaswa kuwaonea huruma sio kuwapinga... wanachofanyiwa ni ubaguzi ukweli ni kwamba mzungu bado anambagua mnegro, na anajipendekeza kwako muafrica sababu wewe ni cheaplabour na unatabia ya kumnyenyekea..je wanacholalamikia sio haki yao?? Ulishapita hood zao umeona shule wanazosoma watoto wao ni uchafu..Unaonaje hapa tz huduma za afya ziwe bure kwa mburundi alafu wewe mzawa gharama ziko juu?? Kama umesafiri basi utakubaliana na mimi kuwa USA ni nchii yenye gharama kubwa sana linapokuja suala la matibabu. Negros wanafia majumbani
 
Back
Top Bottom