Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Hawa jamaa wana utoto mwingi sana ndio maana serikali ya Marekani haiwahitaji and soon their place in the United States will be replaced by African, Jamaican and Haitian immigrants plus other immigrants.


Na huo ndio ukweli kwa tulio wahi kufika Marekani tunaujua huu ukweli. Maeneo yalikuwa kuwa predominantly occupied BY African Americans now African Immigrants ndio wana take over.

Kwa mfano pale New York , the Bronx and Staten Island zimekuwa kama Lagos. Soon zitaanza kuitwa jina New Lagos or something.


Back to the topic. Picha lilianza kuhusu post ya 50 Cent' s reaction about the news that California Government is offering free healthcare to un documented immigrants.

50 anahoji how comes mnatoa free health care kwa un documented immigrants wakati wamarekani weusi wana ishi in abject poverty..

Wamarekani weusi kama kawaida yao waka anza kuiponda serikali ya California huku maelfu ya immigrants hasa hasa wa Mexico na baadhi kutoka Nigeria wakiiunga mkono serikali ya California kwa hoja zenye mashiko.

Mimi nilianza kwa kusema

"People in the government of California who have passed that decision are experts who know better than an everage guy like 50 Cent who all he knows is just rapping and trolling his fellow black people on the internet"

Hapa wakaja na hoja kama vile "50 is not an evarage guy" blah blah blah then nikawatwanga na bomu hili hapa chini👇

' African Americans too are illegal immigrants cause they were shipped from Africa illegally . Trans Attlantic Slave trade was illegal ab initio"

Outcome :

1. Wengi wao walikosa majibu.

2. Baadhi yao walikubaliana na hoja yangu.

3. Immigrants waliunga mkono hoja yangu mamia kwa mamia.

4. Nimepata follows elfu 3 na ushee kwenye page yangu ya instagram courtesy to my comment.


Tangu niwe karibu na hawa watu Nimetokea kuwadharau sana.. pia nina washangaa sana watanzania ambao bado wana washobokoea hawa watu na culture yao.. very hopeless kabisa
Bila picha ni uzushi
Ila kiukweli black Americans wavivu Sana Na ndio wanaongoza kuwachukia immigrants huko Marekani hasa wanigeria
 
Likud brother Halafu unasema una exposure,na umewazidi akili wamarekani hata C.H huijui,,,,hiyo ni Club House ingia uone watu wanavyopanga hoja zao.
Kumbe kwako exposure ni kuwa current na issue za mitandaoni? Let me laugh 🤣🤣🤣🤣
 
Bila picha ni uzushi
Ila kiukweli black Americans wavivu Sana Na ndio wanaongoza kuwachukia immigrants huko Marekani hasa wanigeria
Muda si mrefu wataanza kufanya xenophobic attack kama SA
 
Kumbe kwako exposure ni kuwa current na issue za mitandaoni? Let me laugh 🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo wewe kuwa na exposure ni kusafiri kwenda kushangaa airport za watu?kama hauko updated na mambo yanayoendelea globally basi huna exposure!bado unaishi kwenye Dunia yako.....imagine C.H tu hujui ndio unasema unaendaga Marekani wewe?hebu acha uongo wako bwana
 
Yaani nchi yako inapumulia mashine uko busy na Marekani are you serious?Shule zako tu zile unazisifiaga hazina vitabu Wala walimu unashindana wamarekani...maajabu!
Mkuu unataka ajikite kwenye matatizo ya nchi ili apotee? Angalau ungesema ajikite kutatua matatizo ya familia yake na hiyo endapo unamfahamu.
 
Sasa kufa kwake ni sababu ya chuki za kidini,alivyomchallange yule Muhammad na akataka kufungua msikiti ndio waislam wasio na akili wakakurupuka as usual....Sasa hapo ujinga wake ni Nini?
Tatizo lako unajaribu kujibu maswali yangu kijasusi unahisi kama Nina kutrap vile La Hasha.

Do ur research welloo tafuta kujua why and how was Malcolm X killed kisha uniambie kama watu smart huwa wanauwawa kizembe namna ile and second tafuta statement ya Honorable Elijah Muhammad alichokisema baada ya Malcolm X kuuwawa.


Kama una muona Malcolm X ni intelligent basi jua una tatizo kubwa sana kwenye mind yako..
 
Kwa hiyo wewe kuwa na exposure ni kusafiri kwenda kushangaa airport za watu?kama hauko updated na mambo yanayoendelea globally basi huna exposure!bado unaishi kwenye Dunia yako.....imagine C.H tu hujui ndio unasema unaendaga Marekani wewe?hebu acha uongo wako bwana

Kwani what is C.H tuanzie hapo kwanza?.
 
Sasa wewe Mtu na exposure yako unaniuliza Mimi Tena habari weak kama Hizo za C.H?nenda huko ukapambane nao wakutoe Nduki maana ukute huko Instagram Ulikuwa unabishana na wamalawi wafuasi wa 50😅😅😅

Kama kawaida yako umekwepa swali tena kijanja kwa sababu umegundua kosa ulilo lifanya la kunishangaa kuuliza C.H ni nini kwa sababu C.H can stand for anything not necessarily Clubhouse.


Back to ur point. Nijiunge Club house ili nijadili issue gani hizo ambazo zipo trending globally? Masuala ya Hamas na Israel right? Do u think am that kind of a person? Do u think I like to stress my self like you guys?

Huko C.H panakufaa wewe kwa sababu u love to stress urself plus ur a kind of a person who deserve to be brainwashed.

Nimediscuss ishu ya 50 kwa sababu inanihusu direct. Nina blood family in the state ambao ni immigrant that's why I was concerned with his recklessly statement.

Kwako exposure maana yake ni kuwa current na issue zote ambazo zina trend Marekani na Ulaya.

Si ajabu mtu akiuliza wasagaji na mashoga ni nini utamuona mshamba kwa sababu hayupo aware na mambo yanayo trend Marekani
 
Sasa wewe Mtu na exposure yako unaniuliza Mimi Tena habari weak kama Hizo za C.H?nenda huko ukapambane nao wakutoe Nduki maana ukute huko Instagram Ulikuwa unabishana na wamalawi wafuasi wa 50😅😅😅
Naona umemgalagaza kabisa kijana wetu Likud, tatizo ujuwaji mwingi na fix kibao, halafu anaotaka kutupiga fix ni makamu ya Baba yake.
 
Tatizo lako unajaribu kujibu maswali yangu kijasusi unahisi kama Nina kutrap vile La Hasha.

Do ur research welloo tafuta kujua why and how was Malcolm X killed kisha uniambie kama watu smart huwa wanauwawa kizembe namna ile and second tafuta statement ya Honorable Elijah Muhammad alichokisema baada ya Malcolm X kuuwawa.


Kama una muona Malcolm X ni intelligent basi jua una tatizo kubwa sana kwenye mind yako..
Hakuna sababu ya zaidi ya chuki za kidini,na source ni huyohuyo Elijah Muhammad hakupenda vile anapewa challenge za uhuni uliokuwa akiufanya.....Huwezi kuwa smart kama unavyodai mbele ya mtu ana gun amekushoot several times hiyo ina uhusiano gani na brain?hebu acha ubishi na kudivert hoja aisee
 
Naona umemgalagaza kabisa kijana wetu Likud, tatizo ujuwaji mwingi na fix kibao, halafu anaotaka kutupiga fix ni makamu ya Baba yake.
Wewe jamaa una gubu kama mtoto wa kike.Tangu nikupige roba kwenye post yako ile ya mwaka 47 bado una kinyongo na Mimi.

Move on bro🤣🤣🤣 Huyu Shangazi anakugaragaza labda wewe.
 
Wewe jamaa una gubu kama mtoto wa kike.Tangu nikupige roba kwenye post yako ile ya mwaka 47 bado una kinyongo na Mimi.

Move on bro🤣🤣🤣 Huyu Shangazi anakugaragaza labda wewe.
Labda unite Anko, huna umri wa kuniita bro.
 
Back
Top Bottom