Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Hawa jamaa wana utoto mwingi sana ndio maana serikali ya Marekani haiwahitaji and soon their place in the United States will be replaced by African, Jamaican and Haitian immigrants plus other immigrants.


Na huo ndio ukweli kwa tulio wahi kufika Marekani tunaujua huu ukweli. Maeneo yalikuwa kuwa predominantly occupied BY African Americans now African Immigrants ndio wana take over.

Kwa mfano pale New York , the Bronx and Staten Island zimekuwa kama Lagos. Soon zitaanza kuitwa jina New Lagos or something.


Back to the topic. Picha lilianza kuhusu post ya 50 Cent' s reaction about the news that California Government is offering free healthcare to un documented immigrants.

50 anahoji how comes mnatoa free health care kwa un documented immigrants wakati wamarekani weusi wana ishi in abject poverty..

Wamarekani weusi kama kawaida yao waka anza kuiponda serikali ya California huku maelfu ya immigrants hasa hasa wa Mexico na baadhi kutoka Nigeria wakiiunga mkono serikali ya California kwa hoja zenye mashiko.

Mimi nilianza kwa kusema

"People in the government of California who have passed that decision are experts who know better than an everage guy like 50 Cent who all he knows is just rapping and trolling his fellow black people on the internet"

Hapa wakaja na hoja kama vile "50 is not an evarage guy" blah blah blah then nikawatwanga na bomu hili hapa chini👇

' African Americans too are illegal immigrants cause they were shipped from Africa illegally . Trans Attlantic Slave trade was illegal ab initio"

Outcome :

1. Wengi wao walikosa majibu.

2. Baadhi yao walikubaliana na hoja yangu.

3. Immigrants waliunga mkono hoja yangu mamia kwa mamia.

4. Nimepata follows elfu 3 na ushee kwenye page yangu ya instagram courtesy to my comment.


Tangu niwe karibu na hawa watu Nimetokea kuwadharau sana.. pia nina washangaa sana watanzania ambao bado wana washobokoea hawa watu na culture yao.. very hopeless kabisa
Hata Kiingereza chako ni cha kuunga unga, achilia mbali huna hoja yoyote ya msingi zaidi ya maoni yako binafsi.
 
Growing in America as African- American was struggle,hapo walipo fika nakukubalika kama Rai wa America sio kitoto, usisahau Hilo, ndio wana matatizo ya attitude/ mentality zao ila wape mau yao Kwa struggling kubwa yakumuheshimisha mtu mweusi Duniani,50 cent is not an average guy,wewe ndo an average guy.
Nasisitixa weusi wamekuwa malimbuken sana
 
Wewe jamaa huwaga una utindio wa ubongo. Nilikudharau sana toka siku uliyo post kuhusu kuvunja chungu na ile majuzi ulivyo post makamasi yako kuhusu mkombe Trans.

Kichwa chako kimejaa makamasi wewe
Aliyekwambia nina shida ya kuheshimiwa na tutusa kama wewe nani?
 
Unataka tukuone unaakili kupitia hako kakoment chako kasicho na mashiko! Hao waliokufollow wana jambo lao inawezekana profile picha yako umeweka pisi kali au wewe ndiyo pisi kali(nisamehe kama wewe ni man)
 
Uhalifu hutokana na kukosa fursa,mosi ya elimu,pili ajira sababu ya kukosa elimu,weusi huko marekani njia ya mkato kujikomboa ni michezo na burudani
Umesahau na kujiunga na magenge ya wahuni ya wauza dswa za kulevya, silaha, na madanguro.
 
Watu weusi popote duniani ni jamii duni,Masikini na Weak kiakili na kiteknolojia kuliko races zingine zote

Sio Marekani tu, hata hapa Africa, Asia na Australia japo wao ndio Indigineous wa Africa na Australia
Kuna vitu hatujawekana sawa eneo la msingi yaani familia.
 
Jamaa yupo sawa kwa namna fulani coz amewatwanga kwa hoja wakashindwa kujibu kwa hoja. Ndo maana akasema ni “tabularasa”. Wengi wao ni wahuni sana hawapendi kusoma kujishughulisha kihalali. Sasa kila kitu wanahisi wanaonewa,,,Hawako serious kabisa na maisha.
 
Hawa jamaa wana utoto mwingi sana ndio maana serikali ya Marekani haiwahitaji and soon their place in the United States will be replaced by African, Jamaican and Haitian immigrants plus other immigrants.


Na huo ndio ukweli kwa tulio wahi kufika Marekani tunaujua huu ukweli. Maeneo yalikuwa kuwa predominantly occupied BY African Americans now African Immigrants ndio wana take over.

Kwa mfano pale New York , the Bronx and Staten Island zimekuwa kama Lagos. Soon zitaanza kuitwa jina New Lagos or something.


Back to the topic. Picha lilianza kuhusu post ya 50 Cent' s reaction about the news that California Government is offering free healthcare to un documented immigrants.

50 anahoji how comes mnatoa free health care kwa un documented immigrants wakati wamarekani weusi wana ishi in abject poverty..

Wamarekani weusi kama kawaida yao waka anza kuiponda serikali ya California huku maelfu ya immigrants hasa hasa wa Mexico na baadhi kutoka Nigeria wakiiunga mkono serikali ya California kwa hoja zenye mashiko.

Mimi nilianza kwa kusema

"People in the government of California who have passed that decision are experts who know better than an everage guy like 50 Cent who all he knows is just rapping and trolling his fellow black people on the internet"

Hapa wakaja na hoja kama vile "50 is not an evarage guy" blah blah blah then nikawatwanga na bomu hili hapa chini👇

' African Americans too are illegal immigrants cause they were shipped from Africa illegally . Trans Attlantic Slave trade was illegal ab initio"

Outcome :

1. Wengi wao walikosa majibu.

2. Baadhi yao walikubaliana na hoja yangu.

3. Immigrants waliunga mkono hoja yangu mamia kwa mamia.

4. Nimepata follows elfu 3 na ushee kwenye page yangu ya instagram courtesy to my comment.


Tangu niwe karibu na hawa watu Nimetokea kuwadharau sana.. pia nina washangaa sana watanzania ambao bado wana washobokoea hawa watu na culture yao.. very hopeless kabisa
Ni maajabu na chatty patty ya hali ya juu kuwasema watu ambao hawamo huku kujitetea
 
Ni maajabu na chatty patty ya hali ya juu kuwasema watu ambao hawamo huku kujitetea
🤣🤣🤣 nawasaidia baadhi ya vijana wa kitanzania ambao hupenda kuwaiga mtindo wao wa maisha. Ukiwa unaiga mtindo wa maisha wa mtu tafsiri yake ni kwamba una amini mtu huyo ni bora kuliko wewe.
 
Jamaa yupo sawa kwa namna fulani coz amewatwanga kwa hoja wakashindwa kujibu kwa hoja. Ndo maana akasema ni “tabularasa”. Wengi wao ni wahuni sana hawapendi kusoma kujishughulisha kihalali. Sasa kila kitu wanahisi wanaonewa,,,Hawako serious kabisa na maisha.
🤣🤣🤣🤣🤣 taburalasa indeed
 
🤣🤣🤣 nawasaidia baadhi ya vijana wa kitanzania ambao hupenda kuwaiga mtindo wao wa maisha. Ukiwa unaiga mtindo wa maisha wa mtu tafsiri yake ni kwamba una amini mtu huyo ni bora kuliko wewe.
Wao kuishi maisha yao ni utamaduni wao kama wewe ulivyo na utamaduni wako

Niggas hawajamshikia mtu bunduki wachukue utamaduni wao kwa lazima

Ni kama wamasai wao wana utamaduni wao,kila jamii unao

haina haja ya kuchukia utamaduni wa mtu maana na wewe unao wa kwako

Utamaduni sio hoja,wewe umejibizana nao hoja ingine kabisa,kwanini usijikite kwenye hoja mliyokua mnabishana?

It shows una matatizo na tamaduni za wengine,wewe unao wako,hakuna mtu alie na moral authority ya kutukana tamaduni za jamii zingine
 
Wao kuishi maisha yao ni utamaduni wao kama wewe ulivyo na utamaduni wako
Wanugu hawana " culture " . They were devoid of their culture a very long time ago.
Niggas hawajamshikia mtu bunduki wachukue utamaduni wao kwa lazima
Marekani kwa sababu ambazo zijua wao wamekuwa wako promote " life style " ya wanugu kupitia muziki filamu na media kwa ujumla. Ndio maana tunaaambiwa African American people are the most imitated group of people on the face of planet earth. Watu wengi duniani huiga mtindo wa maisha wa wanugu kwa sababu ya nguvu ya media za Marekani ambazo zimekuwa zikipromote na kureward hiyo life style.
Ni kama wamasai wao wana utamaduni wao,kila jamii unao

haina haja ya kuchukia utamaduni wa mtu maana na wewe unao wa kwako

Utamdanuni wa wamasai haupo heavily promoted kwenye media za magharibi kama ilivyo kwa life style ya wanugu.
Utamaduni sio hoja,wewe umejibizana nao hoja ingine kabisa,kwanini usijikite kwenye hoja mliyokua mnabishana?

Kwenye hoja yangu ya Msingi sijataja kuhusu " utamaduni" wao kwa sababu kwanza hao hawana utamaduni. They are cultureless people.
It shows una matatizo na tamaduni za wengine,wewe unao wako,hakuna mtu alie na moral authority ya kutukana tamaduni za jamii zingine

Sina tatizo lolote na tamaduni ya mtu yoyote mkuu as long as utamaduni huo hau affect utamaduni wangu na maisha yangu kwa ujumla
 
1. Alie kwambia un documented immigrants hawalipi kodi nani?


2. Unadhani kati yako Wewe, 50Cent na experts @ Californian Government who have deemed it fit to provide "free healthcare" to undocumented immigrants, nani yupo sahihi zaidi kuliko mwenzake?
1. wewe nimekupa facts na references wapi unaweza kwenda kuona nachokwambia ni facts, nipe links na facts zinazoonyesha kwamba undocumented immigrants wanalipa kodi.

maana ya undocumented ni kwamba hata serikali haijui wapo wangapi na hata ivo nkigoogle naona ambae yupo credible anakadiria kwamba labda nusu yao wanalipa kodi ama kwakujua kwakutumia tin badala ya social security number au kwakutojua kwakukatwa juu juu, na hapo naina kazidisha sana.

sasa kama hata serikali haijui wapo wangapi unasemaje wanachangia kodi hata kukaribia hawa ambao wote wana social security numbers na IRS wanataarifa zao?

2. umesoma kweli nilichoandika?

katika sehemu nyingine kama healthcare, unemployment na homelessness hao hao "experts" wa California wameonyesha kushindwa kutatua tatizo huku wanapewa hela nyingi tu na serikali. kwanini tuwaamini katika hili pia kama sio wanatengeneza mlango mwingine waupigaji?

umeresearch hata hivyo vitabu vya 50 uone ni mtu wa aina gani ambae anaweza kutoka ghetto mpaka kuwekeza katika kampuni la vitamin water lililonunuliwa na coca cola kwa mabillioni au tunabishania tu ushabiki?

mi napenda kujifunza, ukinipa point ntajipa mda ntaenda kusoma na kama nikiona ina mashiko ntarudi na kukubali au kukataa ili tuendelee kujengana kielimu, ila kama wewe upo interested nakubishana tu mi wala sina muda huo. leta point mezani wote tuwe bora baada ya mdahalo.

kupewa likes nyingi haimaanishi upo sawa. ama utapendwa na watu ambao unawasupport ama na watu wanaodandia trends.
 
1. wewe nimekupa facts na references wapi unaweza kwenda kuona nachokwambia ni facts, nipe links na facts zinazoonyesha kwamba undocumented immigrants wanalipa kodi.

Nimekuuliza swali una amini undocumented immigrants hawalipi kodi? He who alleges must proof. The burden of proof lies to you kwa sababu wewe ndio ume raise hoja kwamba un documented immigrants hawalipi kodi . Mimi nimekuwa very surprised na madai yako haya kwa sababu nijuavyo mimi nchini Marekani hakuna mtu anaweza kuishi bila kulipa kodi. Ndio maana ulivyo sema undocumented immigrants hawalipi kodi nimeshtushwa. Wewe ndo unapaswa kunipa link inayo thibitisha kwamba un documented immigrants hawalipi kodi Marekani. Please don't shift the burden of proof to me.
maana ya undocumented ni kwamba hata serikali haijui wapo wangapi
Kama haijui wapo wangapi imejuaje kama they are undocumented?
na hata ivo nkigoogle naona ambae yupo credible anakadiria kwamba labda nusu yao wanalipa kodi ama kwakujua kwakutumia tin badala ya social security number au kwakutojua kwakukatwa juu juu, na hapo naina kazidisha sana.

Sasa mbona hueleweki mkuu mara unasema serikali haijui wapo wangapi mara nusu yao wanalipa kodi mara hawalipi kodi..which is which and which is not which?
sasa kama hata serikali haijui wapo wangapi unasemaje wanachangia kodi hata kukaribia hawa ambao wote wana social security numbers na IRS wanataarifa zao?
So una amini serikali haijui undocumented immigrants wapo wangapi? In the US? Are u seriously?
2. umesoma kweli nilichoandika?

katika sehemu nyingine kama healthcare, unemployment na homelessness hao hao "experts" wa California wameonyesha kushindwa kutatua tatizo huku wanapewa hela nyingi tu na serikali. kwanini tuwaamini katika hili pia kama sio wanatengeneza mlango mwingine waupigaji?

Kwanini usinge waza positively ? Kwamba lengo la hao experts ni kuwa document hao unao waita un documented immigrants? Kwamba kutangaza kwenye media kwamba undocumented immigrants wanapewa huduma za afya bure itawafanya wengi wao kujitokeza kwenye huduma and in the due process serikali itaweza kuwa document?
Ndio maana nimesema hao experts wa California they know better than 50 Cent
umeresearch hata hivyo vitabu vya 50 uone ni mtu wa aina gani
1. Nimesoma.vitabu vyote vya 50.
2. Nimesikiliza nyimbo zake zote both kwenye albums kwenye mixtapes bila kusahau nyimbo alizo shirikishwa.

3. Nime research historia yake ya maisha na almost kila kitu kuhusu yeye infact huyu jamaa ninamfahamu kama Ninavyo jijua Mimi.

So kuhusu kumfahamu huyu jamaa na story ya maisha yake ondoa shaka kabisa kuhusu hilo mkuu.
ambae anaweza kutoka ghetto mpaka kuwekeza katika kampuni la vitamin water lililonunuliwa na coca cola kwa mabillioni au tunabishania tu ushabiki?

It is so easy to be a millionaire in the US if you are a good rapper so there is nothing to be surprised about that.


Kuhusu hilo dili la Vitamin water hapo mbona ndo ume expose huyu favourite rapper wako. Kwanini?👇

First of all jamaa alivyo toka na Get Rich or Die Tryin hiyo 2003 ingawa nilikuwa bado teenager lakini nilikuwa najua jamaa ange kuja kuwa billionaire by 2005 kwa sababu aliuza a millions of copies plus he was so big and got a lot of endorsements.

By 2003 mwanzoni networth ya 50 ilikuwa 200 millions then 2004 he sold his Vitamin water for 100 millions something which made his networth 300 millions.

By now his networth is 30 million dollars.

So from 300 millions in 2004 to 30 millions in 2024 you still think this guy is smart? No he isnt. ( ukitaka kujua how much this guy is not smart tafuta kujua about his security budget. How much he spend on his security per year ndo utajua huyu jamaa kumbe ni bogus kabisa)

He was supposed to be a billionaire like Jay , Puffy or Dre.

Utasema hao walianza muziki kabla yake. What about Kanye? What about Rihanna?

Hata ndugu yetu Mnigeria Chamilionaire has more money than 50.

Hata Rick Ross is more wealthier than 50. Mifano ipo mingi sana.

Am regretting to tell you my brother, 50 is not yet rich and chances are he may never be a billionaire. If u think 50 is rich basi utakuwa na a very little understanding about rich and successful people.

50 is a guy who was just shot 9 times and survived the shooting and then he launched his rap career and became famous on that period.

He has never been smart to me and I am not intending to deem him smart any time sooner.

Wewe una muona smart probably kwa sababu upo obsessed nae. Ur mind is still stuck in the Get Rich or Die Tryin Era.




mi napenda kujifunza, ukinipa point ntajipa mda ntaenda kusoma na kama nikiona ina mashiko ntarudi na kukubali au kukataa ili tuendelee kujengana kielimu, ila kama wewe upo interested nakubishana tu mi wala sina muda huo. leta point mezani wote tuwe bora baada ya mdahalo.

Nimegundua kitu kimoja kuhusu wewe ambacho wanacho baadhi ya waafrika nacho ni u guys are so much obsessed by African American people. U think they are right in everything they do. Ndio maana umekuwa surprised kuona yupo mwafrika ambae hafikirii hivyo unavyo fikiria wewe.
kupewa likes nyingi haimaanishi upo sawa. ama utapendwa na watu ambao unawasupport ama na watu wanaodandia trends.

upo obsessed na wamarekani weusi ndio maana una watetea hapa.
 
Back
Top Bottom