Hukumbuki Mapinduzi mliyofanya mwaka 1964 kuondoa Serikali ya Kiarabu? Mkawafurusha Wengine na Wengine mkawaua
mapinduzi yalifanywa na nyerere kwa kupitia magenge yake na si wazanzibari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumbuki Mapinduzi mliyofanya mwaka 1964 kuondoa Serikali ya Kiarabu? Mkawafurusha Wengine na Wengine mkawaua
Nyerere alikueq zake Tanganyika mkuu, unataka kusema yeye ndio alipeleka silaha na jeshi kule?mapinduzi yalifanywa na nyerere kwa kupitia magenge yake na si wazanzibari
Akili zako ni kama hazina ushiriakiano na mikono yako inapoandika, wewe unadhani visiwa huwa havipigani vita kwasababu tu havipakani na nchi kavu?, Visiwa vya Comoro,JWTZ walishaenda kufanya yao.Ninyi wazanzibar ni mkoa wetu na siyo nchi.Nchi ina Rais mmoja tu .Jeshi moja, idara ya polisi moja fedha moja.Kama mna jeshi mkuu wenu wa majeshi ni nani?IGP wenu ni nani?.Au ndiyo unayaita majeshi ya uvamizi?,kama mmevamiwa basi ujue mnatawaliwa na kama mnatawaliwa ninyi ni koloni.Hayo majeshi yako uliyoyataja ni ya uvamizi. Zanzibar haina ugomvi na nchi yoyote. Wala haijawahi kuwa na majeshi.
Matatizo mnayo nyinyi Tanganyika mliopakana na Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi , Malawi , Zambia , Congo, Msumbiji , ndio mnahitaji majeshi kwani chokochoko hazishi.
... sijawahi kusikia mke wa mtu analalamika "I can't breath" kisa "kulaliwa" na mumewe! Zanzibar itulie hivyo hivyo kwa sababu waliingia kwenye muungano kwa ridhaa yao.Tanganyika imeikalia shingoni Zanzibar kwa kivuli cha Muungano
Akili zako ni kama hazina ushiriakiano na mikono yako inapoandika, wewe unadhani visiwa huwa havipigani vita kwasababu tu havipakani na nchi kavu?, Visiwa vya Comoro,JWTZ walishaenda kufanya yao.Ninyi wazanzibar ni mkoa wetu na siyo nchi.Nchi ina Rais mmoja tu .Jeshi moja, idara ya polisi moja fedha moja.Kama mna jeshi mkuu wenu wa majeshi ni nani?IGP wenu ni nani?.Au ndiyo unayaita majeshi ya uvamizi?,kama mmevamiwa basi ujue mnatawaliwa na kama mnatawaliwa ninyi ni koloni.
... huna hoja wewe!Ndivyo ulivyoambiwa kanisani?
Gavana said:
Kuna mkuu wa mkoa anaitwa Rais na ana vikosi vyake vya ulinzi?
Wewe ulipouliza hili swali hukujua kuwa Zanzibar haina majeshi.Hapa ulitaka kukanusha kuwa Rais wa Zanzibar siyo mkuu wa mkoa,kwasababu anaitwa rais na ana vikosi vyake vya ulinzi,sasa wewe unajikanusha tena mwenyewe.Umesahau hata ZFF nayo ina rais wake.Au vikosi vyenu vya ulinzi vinafundishwa ulinzi kwa kutumia mazingaombwe na siyo mafunzo ya kijeshi?
Hivyo ndivyo tunavyotaka iwe,na ni nzuri.HATUWEZI kuruhusu kisiwa chetu kuleta jeuri ya aina yoyote.kuna watu waliwahi kusema muungano ni kama koti, likikubana unalivua cha ajabu ,hadi leo hakuna aliye wahi au atakaye jaribu kulivua,ninyi raia mtabakia tu kujiita majina ya vibaraka.Hao si wakuu wa mikoa ni vibaraka vya Tanganyika na Kanisa katoliki.Si nikuambia Zanzibar ilipokuwa huru haijavamiwa na Tanganyika haikuwa na adui wa kuwa na majeshi
Sana, ikipata uongozi mzuri, si wa CCMHivi Zanzibar ikijitoa Muungano ndio itaendelea?
Babu yako Hajui hivyo,yeye anaujuwa ukweli,Kalagabaho.
hako ni kamkoa ketu na kataendelea kuwa hivyo,mna vijeshi vyenu sijui viwili vile basi mnaona na nyie mpo ahahahaha!
.
baba tia akilini Zanzibar ni mkoa wa nchi inayoitwa Tanzania na sio nchi ndani ya nchi.
Uwe na adabu ,wacha kuwaita Viongozi wangu wa kidini MagaidiKumbe shida ni masheikh magaidi wale?
Mtadidimia hadi mtasahaulikaSana, ikipata uongozi mzuri, si wa CCM
Abdool kapige madufu huko micheweni naja kuchezaSasa unataka kumlisha Yesu maneno yako .
kiswahili kinaanza kukupiga chenga
Magaidi hao, (hata kama mahakama haijawatia hatiani) wasingekuwa magaidi si wangekuwa uraiani huoni watu wanaishi kwa amani sasa hivi.Uwe na adabu ,wacha kuwaita Viongozi wangu wa kidini Magaidi
Kwa Imani yangu ya Uislamu hawa ni , walimu wangu na wafasiri wa Qur-an bobezi,tena watu wenye heshima kubwa hapa Zanzibar,
Endelea kuota HAWATOKI NG'Ona kama hamuamini ,tazameni siku wakitolewa ,watu watakavyoshangilia na kuwakumbatia
Umeshaambukizwa ugaidi.Muna waita magaidi kwa kuwa walisema kweli 'Tanganyika inaikalia Zanzibar kima bavu na kuinyonya"
Ukweli huu ni kama kisu kwa Mkoloni.
Fyata mkiya wewe ,Mmeanza Tena wazanzibar? Yaani muungano utalindwa kwa ghaeama yoyot3 ! Au mmetumwa! Mmezoea kutuvurugia nchi Kila siku chokochoko hamuoni aibu mbona 2/3 ya wazanzibar I wake bara? Warudi mbanane Kama chawa? Acheni hizo mnapenda vya wenzenu vyenu NOOO? SASA NI HIVI; MUUNGANO HAUVUNJIKI LEO AU KESHO HAMENI MWENDE KWENU YARABUNI
Maneno yako nayaweka kwenye kumbu kumbu,ikiwa wewe ni Muislamu,nakusikitikia,Magaidi hao, (hata kama mahakama haijawatia hatiani) wasingekuwa magaidi si wangekuwa uraiani huoni watu wanaishi kwa amani sasa hivi.
.
Hamna mihadhara ya kishamba na ya kigaidi kama ya hao masheikh na kina Ponda.
niwe na adabu kwa hao unaumwa wewe
Endelea kuota HAWATOKI NG'O
Umeshaambukizwa ugaidi.
Mkoa wetu wenye utawala maalumu iweje tuukalie kimabavu?
.
Tushukuruni sana.
Kwa hiyo Zanzibar sio mkoa wa Tanzania?Babu yako Hajui hivyo,yeye anaujuwa ukweli,
Endelea kujipa Moyo,iko siku Zanzibar itakushangazeni.
Kwa sasa bado kuamka,Munalishana matango pori