Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao wamepewa battalion za kuwaweka hapo walipo. Kumbuka ziwani 2015Unafuu wanao vijibwa vinavyotupiwa vijifupa vikajisahau
Ndipo akili yako ilipoishia?Ndivyo ulivyoambiwa Lumumba?
Leo yako JeHali ya maisha kwa Wazanzibari weusi ilikuwaje?
Wakiendelea au kutokuendelea bado itakuwa faida au hasara yao wenyewe. Kuendelea kuwang'ang'ania ni kuwapa nguvu ya kudai mnawanyonya.Hivi Zanzibar ikijitoa Muungano ndio itaendelea?
Wewe ndo uweke hizo takwimu hapa tulinganishe.Rejea uchumi wa Zanzibar kabla ya mapinduzi+muungano . Baada hapo extrapolate to 2020.
Of course, waliutaka wenyewe Kwa maslahi Yao.. wakati ule walihofia Sultani waliempindua angepewa msaada na ndugu zake wa Oman akarudi kuishambulia na kuitawala Zanzibar. Waliingia kwenye MUUNGANO kumzuia Sultani... wakajua kitisho kikiondoka watajitoa Kwa urahisi kama kuvua koti.. kumbe sio rahisi kivile.Zanzibar acheni choko choko, muungano mliutaka wenyewe.
Lakini yenye serekali mbili [emoji58]Hujui wewe tu, Zanzibar ni mkoa maalumu na wala si nchi.
Nchi inaitwa Tanzania yenye Rais mmoja, Waziri mkuu mmoja na Makamu mmoja!
Lakini yenye serekali mbili [emoji58]Hujui wewe tu, Zanzibar ni mkoa maalumu na wala si nchi.
Nchi inaitwa Tanzania yenye Rais mmoja, Waziri mkuu mmoja na Makamu mmoja!
Unataka nikujibu lako langu hujalijibuLeo yako Je
Waende tu! Sielewi hata mantiki ya kuendelea kuwashikilia ilhali watu wenyewe ndo hivyo.Wakiendelea au kutokuendelea bado itakuwa faida au hasara yao wenyewe. Kuendelea kuwang'ang'ania ni kuwapa nguvu ya kudai mnawanyonya.
Serikali ni moja kiuhalisia, ingine ni matokeo ya amani tuliyonayo!Lakini yenye serekali mbili [emoji58]
Wala hujakosea abdool.Hizo ni ndoto za kanisa lako
Mmeanza Tena wazanzibar? Yaani muungano utalindwa kwa ghaeama yoyot3 ! Au mmetumwa! Mmezoea kutuvurugia nchi Kila siku chokochoko hamuoni aibu mbona 2/3 ya wazanzibar I wake bara? Warudi mbanane Kama chawa? Acheni hizo mnapenda vya wenzenu vyenu NOOO? SASA NI HIVI; MUUNGANO HAUVUNJIKI LEO AU KESHO HAMENI MWENDE KWENU YARABUNI