Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe

Huyo mmoja tu saudia wapo,China wapo? Marekani hawabagui watu katika nyadifa za uongozi maana pale kila mtu ni migrant tofauti na hizo nchi zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watumwa weusi wapo huko US miaka na miaka,hebu niambie Russia watu weusi walitoka wapi kwa wingi mpk wawe na integration na wenyeji kwa kiasi hicho?
 
Sio kweli,Kuna mkenya kafia huko juzi wazazi wake wote weusi Tena wapo hapa Kenya, aligonjeka kwa siku nne tu halafu kaaga na kulingana na familia yake hakukua na historia yoyote ya magonjwa mwilini mwake,

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazazi wako huku mtoto yuko marekani, halafu wanasema hakua na matatizo mengine. Wao walijuaje kua hana matatizo mengine na wakati wako mbali naye?
 
Minnesota mbona ni kinyume chake?
Kikubwa ni kinga asilia wala siyo rangi ya mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawanavyouliwa pia hao watu weusi uwe unasema sio unasema wakiwa wanapewa mamlaka tu watu weusi huko wanauliwa kama samakiHuko kwengne wataka wapewe nyadhfa sio mbaya ila angalia na uwingi na uchache wake

Sent using My COVID-19
Nan alikudanganya watu weusi hawauwawagi?!😲😲 Mbona hata hapo bongo wanauliwa na Kuna kipindi wengi tu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba!!
Uwingi na uchache wengi wanaishi wachache wanauwawa.
 
'Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. '

Hio sentensi hapo juu si ya kweli, kuna jamaa anaitwa Jean Gregoire Sagbo, ni mzaliwa za Benin na ni councilor of Novozavidovo huko Urussi.
Kakiongozi kakutafuta kwa darubini!
 
Watumwa weusi wapo huko US miaka na miaka,hebu niambie Russia watu weusi walitoka wapi kwa wingi mpk wawe na integration na wenyeji kwa kiasi hicho?
Russia walitapeli hadi mali za daktari Shika kisa mweusi
 
Maana ni wazazi wake akiwa na tatizo la kiafya lazima watakua,pili aliwatembelea wazazi wake kipindi Cha krismas na kurudi huko marekani mwezi wa kwanza pia anaishi huko na dadake Kama angekua na magonjwa mengine wazazi lazima wangejua.
Wazazi wako huku mtoto yuko marekani, halafu wanasema hakua na matatizo mengine. Wao walijuaje kua hana matatizo mengine na wakati wako mbali naye?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu zitaje hizo mali hapa.
Kwa nikizitaja hapa ndo watamrejeshea?! Hapa suala sio kutaja Mali za watu, suala ni Urusi kwa ubaguzi wao wametapeli mali za Dr Shika. Na kama wamo humu chonde warudishe jasho la Shika
 
Kwa nikizitaja hapa ndo watamrejeshea?! Hapa suala sio kutaja Mali za watu, suala ni Urusi kwa ubaguzi wao wametapeli mali za Dr Shika. Na kama wamo humu chonde warudishe jasho la Shika
Wacha story nyingi,taja mali walizomtapeli huyo jamaa.
 
Nan alikudanganya watu weusi hawauwawagi?![emoji44][emoji44] Mbona hata hapo bongo wanauliwa na Kuna kipindi wengi tu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba!!
Uwingi na uchache wengi wanaishi wachache wanauwawa.
Wanauliwa kwasababu gan ?!

Sent using My COVID-19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…