Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Tena wasichelewe,wa
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.

======

Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.

Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.

Tena wasichelewe,wanataka kumchafua Nchi na amani hao wazushi.
 
Tuwe makini tusije tukazusha vurugu nchini, tukakosa pakukaa.
 
Mpelekee supika
IMG-20220610-WA0535.jpg
 
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.

======

Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.

Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.

959D5936-80A3-4D90-A4E9-5436F1B6E9EF.jpeg
42E5AF50-8F67-44F7-ADAA-D27883A549B7.jpeg

NASIKIA MNASEMA HAKUNA TATIZO HUKU WAMEJIKUSANYA ILI IONEKANE KUNA TATIZO ? AISEE TUNAMMISS SANA MAGUFULI ILA KUNA SIKU MTAKAA 18
 
Huyu bado ana akili zile zile za awamu iliyomuokota jalalani, anataka uhuru wa habari uzimwe na watu waanze kutiwa kwenye viroba kama walivyofanya wao.

Ni mawazo duni sana !
Wewe pimbi utaimba wimbo awamu ya tano kwa ujinga wa awamu ya sita! Hutaki kumkosoa huyo mvaa ushungi unaihusisha awamu ya tano! Mkosoe tu maana unajifanya chawa wake huku ukificha matendo yake mabaya!
 
Mwendazake mtamsingizia hata waume zenu wakishindwa kusimamisha!

Huyo mamaenu alikuwa na nafasi ya kumuweka spika wake ila akampa tena huyo huyo sasa sijui mwendazake anaingiaje hapa
Hata mama Ni masalia tu ! Kuna masalia Nchi nzima yaani jiwe katusababishia shida kubwa nchi hii,
Angalau Mungu aliamua ugomvi....
 
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.

======

Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.

Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.

 
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.

======

Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.

Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.

Kama serikali imethibitisha kuwa hili swala la ngorongoro sio la kweli. Kwanini mods wanaendelea kuziachia hizi thread mfululizo zinazoichafua serikali bila uthibitisho wowote? Mods mnatakiwa mjitafakari, na mjiridhishe kwanza kabla ya kuruhusu mtu kuweka uzi wake hapa jukwaani. Mmekuwa mkituchunguza sana sisi tusiokuwa upande wenu, lakini wale wa upande wenu hata mtu akiandika thread 30 za utopolo mtaziacha ziendelee kuchafua hali ya hewa humu ndani bila kuchukua hatua yoyote. Jukwaa limekosa haki kabisa kwa kuingiliwa na wanasiasa uchwara.
 
Nyie ndio wahuni wenyewe.Kinachotokea huko haukioni?Chawa mkubwa ww.
 
Kama serikali imethibitisha kuwa hili swala la ngorongoro sio la kweli. Kwanini mods wanaendelea kuziachia hizi thread mfululizo zinazoichafua serikali bila uthibitisho wowote? Mods mnatakiwa mjitafakari, na mjiridhishe kwanza kabla ya kuruhusu mtu kuweka uzi wake hapa jukwaani. Mmekuwa mkituchunguza sana sisi tusiokuwa upande wenu, lakini wale wa upande wenu hata mtu akiandika thread 30 za utopolo mtaziacha ziendelee kuchafua hali ya hewa humu ndani bila kuchukua hatua yoyote. Jukwaa limekosa haki kabisa kwa kuingiliwa na wanasiasa uchwara.
Kwa hiyo Waziri Mkuu akisema ndiyo uthibitisho. Huyu huyu aliyetudanganya mara 100!!? Waseme ukweli na waje na solutions siyo propaganda.
 
Back
Top Bottom