HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kwani unafaidika vipi na uwepo wa Masai hapoTusimame na Wamasai, turidhike na Royo tua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unafaidika vipi na uwepo wa Masai hapoTusimame na Wamasai, turidhike na Royo tua
Zamu hii ukifukuzwa sijui utaenda wapi?Ufipa st
Hakuna watu waoga kama wanaume wa Mara mbele ya polisi ni wababe kwa wake zao pekeeWamasai waruhusu mamluki wa Mara kuja kusaidia.
Nipo tayari.
Nitarudi MachameZamu hii ukifukuzwa sijui utaenda wapi?
Mpuuzi wewe una ndugu Machame?Nitarudi Machame
Spika wa wapi na ametoka wapi?Spika amepotoka.
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackoson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.
======
Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.
Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.
View attachment 2256084
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackoson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.
======
Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.
Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.
View attachment 2256084
Askari hao wanaonekana kurekodi.Watuonyeshe hizo clip tujue kama ni OG au fake
Toka tuingie awamu ya tano, spika na yeye anatoa amri kama vile ana ubia wa mamlaka ya ki u Rais!
Huyu ni mchawi fulani hivi! kigagula acsonHiki kibibi ni kikatili haswa
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.
======
Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.
Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.
Roho mbaya kama sura akeHuyu ni mchawi fulani hivi! kigagula acson
Mungu ananena na Spika kwamba , Kama ana mamlaka ya kuwatetea watu KWa Sasa hafanyi hivyo KWa kujua , sio siku nyingi atashushwa na kuinuliwa mwingine awezaye kuyatenda na kuyaishi KWa watu wake,imekuaWaziri mkuu mh Majaliwa amesema Loliondo na Ngorongoro kote hali ni shwari kabisa na hizo clip zinazoonekana mitandaoni wamasai wakirusha mishale siyo HALISI ni uzushi na usanii tu.
Kufuatia taarifa hiyo Spika Tulia amemwomba Waziri mkuu kuwashughulikia wahuni wote wanaorusha hizo clip
Source Star tv bungeni
Sijawahi kuwaamini ccm,tangu wapige kwenye escrowLeo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.
======
Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.
Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.