Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Huyu bado ana akili zile zile za awamu iliyomuokota jalalani, anataka uhuru wa habari uzimwe na watu waanze kutiwa kwenye viroba kama walivyofanya wao.

Ni mawazo duni sana !
 
Hahahahaha nilidhani vita vya kiuchumi viliisha baada ya dkt Magufuli kufa, maana mama anafungua nchi
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackoson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.

======

Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.

Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.

View attachment 2256084
 
Serikali inapaswa kutenda haki na sio kutisha raia.
 
Hahahahaha nilidhani vita vya kiuchumi viliisha baada ya dkt Magufuli kufa, maana mama anafungua nchi
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackoson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.

======

Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.

Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.

View attachment 2256084
 
Toka tuingie awamu ya tano, spika na yeye anatoa amri kama vile ana ubia wa mamlaka ya ki u Rais!

Baada ya wao kuingia madarakani kibabe, basi yoyote anayepinga wanachotaka wanatumia ubabe maana wanajua wananchi hawana la kufanya.
 
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.

======

Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.

Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.

Screenshot_20220610-123449.jpg
 
kuna wakati najiuliza hivi kuna watu wamehakikishiwa wataishi milele? au wanavyotudhurumu wataenda navyo? binafsi sielewi! naamini sana katika kutafuta kwa jasho na njia halali nasikitika sana watu wanaotakiwa kutusaidia na kutufusha ndio wanaotuuza!

Kibaya zaidi sisi tunaohitaji huo msaada tumekubali kudhalilika na kuwakumbatia huku tukipewa makombo kidogo na kulidhika yaani toweze kumudu leo tu! kama mikopo ya bodaboda, mama lishe, na vimiradi vidogovidogo ambavyo hatuwezi kutoboa mhn!

Ukitaka kuingia uchungu jaribu kuvaa uhusika wa Mbwa wako unayemtupia chakula baada ya wewe kula (achana na mbwa wao wanaokula vizuri kuzidi sisi) akiwa kwenye banda huku akiwa na mnyororo!
ndivyo tunavyofanywa pia.

MWENYEZI MUNGU atuhurumie kwa kuwa wavumilivu tusiovumilika na kila siku tutaishia malalamiko!
shame upon us! Hata wanamziki na wasanii ambao wangeweza kutuhamasisha kwa nyimbo za kujikomboa kiuchumi na fikra sasa wanatuimbia nyimbo za maombolezo kabla ya kwenda kaburini kwa kuwa wote wanahubiri ngono hakuna tena anayezungumzia ukimwi unaua na badala yake wengine wamekuwa wahamasishaji wa mapenzi ya jinsia moja na jamii iko kimya ikiwaangalia.

Viongozi wetu wa dini wameondoka kwenye misingi yao ya kujenga mioyo ya tumaini kwa waumini na wememezwa na sadaka na ibada za mazingaobwe!

Walio kwenye haki hawawezi kutoa tena haki na wakati mwingine si kwamatakwa yao bali mazingira yanawalazimisha!
 
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema Loliondo na Ngorongoro kote hali ni shwari kabisa na hizo clip zinazoonekana mitandaoni wamasai wakirusha mishale siyo HALISI ni uzushi na usanii tu.

Kufuatia taarifa hiyo Spika Tulia amemwomba Waziri mkuu kuwashughulikia wahuni wote wanaorusha hizo clip

Source Star tv bungeni
Mungu ananena na Spika kwamba , Kama ana mamlaka ya kuwatetea watu KWa Sasa hafanyi hivyo KWa kujua , sio siku nyingi atashushwa na kuinuliwa mwingine awezaye kuyatenda na kuyaishi KWa watu wake,imekua
 
Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.

======

Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.

Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.

Sijawahi kuwaamini ccm,tangu wapige kwenye escrow
 
Back
Top Bottom