Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya msalimie manka babatiAnza na mimi
Litaje bwasheeKuna jambo Mungu anaenda kutenda
Una point lakini boresha uandishi wakoKwa nini SSH anauzwa Kagera. Zamani nilisikia ikisemekana kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
Anavyochuuzwa SSH utafikiri wakazi wa Kagera hawajui raisi ni nani nahawasikilizi redio.
CCM Chamwino leo mnakikao aanda mahudhurioHaya msalimie manka babati
Toka tuingie awamu ya tano, spika na yeye anatoa amri kama vile ana ubia wa mamlaka ya ki u Rais!Spika wa hovyo kabisa, huyu alitengenezwa na dikteta mpuuzi mkubwa
Hahaaaaa........😁😅Dikteta mwenyewe alinishindwa sembuse hawa
Kikao ni keshoCCM Chamwino leo mnakikao aanda mahudhurio
Makapi ya mwendazake yanasumbua NchiLeo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackoson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.
======
Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.
Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.
View attachment 2256084
Kikosa kazi chenuKikao ni kesho
Kikosi kazi cha Ufipa st
NyamazaHahaaaaa........😁😅
Dikteta aliharibu watu sanaToka tuingie awamu ya tano, spika na yeye anatoa amri kama vile ana ubia wa mamlaka ya ki u Rais!
Spika mjinga sanaSpika wa hovyo kabisa, huyu alitengenezwa na dikteta mpuuzi mkubwa
Huyu ajuza ni mtu wa hovyoSpika mjinga sana
Mbowe anaramba nacho asaliHiki kibibi ni kikatili haswa
Hiki kibibi ni kikatili haswa
Dikteta unamuonea tu!Spika wa hovyo kabisa, huyu alitengenezwa na dikteta mpuuzi mkubwa