Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,089
- 1,468
Umewaona hao waarabu.Waarabu wamejipatia jinga lao la kulipelekesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaona hao waarabu.Waarabu wamejipatia jinga lao la kulipelekesha
Wakati Magufuli anawapuuza hao wajinga, nyie mlikuwa mnakata viuno humu mkimuita dikteta na mshamba!spika ameongea kitu cha maana sana. watu kama Tito magoti, maria sarungi, ole ngurumo na type zake zooote hizo, wanaichafua sana nchi na wanatamani hata masai mmoja tu afe ili wapate cha kuongea. wadhibitiwe mapema, sio afya kwa taifa.
Awamu ya tano ilishapita hii ni ya 6 na tunaramba asaliToka tuingie awamu ya tano, spika na yeye anatoa amri kama vile ana ubia wa mamlaka ya ki u Rais!
Mwendazake mtamsingizia hata waume zenu wakishindwa kusimamisha!Makapi ya mwendazake yanasumbua Nchi
Tito magoti unamjua vzr au umekosea.spika ameongea kitu cha maana sana. watu kama Tito magoti, maria sarungi, ole ngurumo na type zake zooote hizo, wanaichafua sana nchi na wanatamani hata masai mmoja tu afe ili wapate cha kuongea. wadhibitiwe mapema, sio afya kwa taifa.
Kwanza nani alimchagua huyo kuwa Mbunge?Mwakilishi wa wananchi anapoanza kutishia wananchi.
Sawa BashiteDikteta unamuonea tu!
Malaika wako alikuwa na nafasi ya kumtoa pale ila kamrudisha kitini!
Na hata hivyo mama anafungua nchi,
Anawakomesha mataga na sukuma gang na kufuta legacy
Ana tufuta machozi sisi machadema baada y kuonewa sana kwa miaka 5View attachment 2256102
HamjuiTito magoti unamjua vzr au umekosea.
Alipelekwa na tumeKwanza nani alimchagua huyo kuwa Mbunge?
CCM wote wapo hivyoHalafu ni kilokole eti na Samia na yeye anakwenda Msikitini na kupiga picha huku anatenda dhulma na uonevu kwa Binadamu wengine Wamasai!
Inashangaza kwa kweli,Mwakilishi wa wananchi anapoanza kutishia wananchi.
kama kuna uwezekano wa kutuma jeshi, wapeleke tu.Achashobo mtoto wa kiume utapakatwa uanzekulia
Waliochukua clip hawa hapa,Leo Bungeni baada ya Waziri mkuu kuongelea video inayosambaa kwamba kuna mapigano yameanza Ngorongoro, Spika Tulia Ackoson ametoa maoni yake na kutaka mhusika ashughulikiwe na taasisi zilizosajiliwa nchini zifate.
======
Spika: Tupo kwenye vita ya kiuchumi na nchi zingine, tukiwaacha hawa wakaendelea kutumika, wale waliopo hapa nchini sheria zetu zichukue mkondo wake.
Kama mtu anafanya upotoshaji kama huyo ambae amechukua hiyo clip na inajulikana ameichukulia wapi, tunaweza kuanza na huyo halafu wengine watafata ikiwa ni pamoja na hizi taasisi ambazo zimesajiliwa hapa nchini kwetu tukifikiri kwamba zina lengo jema na sisi hapa nchini lakini kama zinafanya jambo tofauti pia sheria zichukue mkondo wake.
View attachment 2256084
Ufipa stKikosa kazi chenu