Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Spika ameongea kitu cha maana sana. watu kama Tito Magoti, Maria Sarungi, Ole Ngurumo na type zake zooote hizo, wanaichafua sana nchi na wanatamani hata Masai mmoja tu afe ili wapate cha kuongea. Wadhibitiwe mapema, sio afya kwa taifa.
Afya kwa taifa ni kufukia uchafu?
 
Hata Magu nae alikua na majibu hayo leo ni chakula cha mchwa na sisimizi 🀧
 
Mkuu hii comment ni uzi tosha!! Ifungulie uzi wake
 
Hata mimi nasimama na Wamasai, sio kwa ufisadi ule wa kuuziana vitalu, sijajua mkubwa gani ana 'interest' hapo?!, anyway sijajua kwa undani hili saga limeanzaje...
Ukitaka kujua walioko nyuma anza kutrack vitalu vya huko vilianza kumegwa wakati wa awamu ya nani kiutawala utapata majibu yote
 
Huyu Spika ni mjinga kweli? Ishu picha ni halali au siyo halali? Wamasai wanauawa au hawauawi? Jinga kweli, lina mawazo ya Ndugai na Magufuli kwa sababu ni zao la hao majangili
 
Viongozi wetu na "vita ya uchumi" wanatuona sisi mafala sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…