Wamasai ni watu poa sana!

Wamasai ni watu poa sana!

mkuu kiukweli unatia hasira nifuate chombo huko kilicho chini ya miaka 22
Mie nimeoa binti baba muiraqwu mama mnyaturu.
Ninae mwaka wa pili sema hatujafanikiwa mtoto.
Kwanza warefu,ngozi laini,baby face na wana vishundu fulani hivi.
Ila angalizo,kuwa makini unapotafuta maana hilo kabila hawajielewi ni rahisi kudanganywa kama watoto.
 
Mie nimeoa binti baba muiraqwu mama mnyaturu.
Ninae mwaka wa pili sema hatujafanikiwa mtoto.
Kwanza warefu,ngozi laini,baby face na wana vishundu fulani hivi.
Ila angalizo,kuwa makini unapotafuta maana hilo kabila hawajielewi ni rahisi kudanganywa kama watoto.
Kudanganywa na nani?
 
Unataka uende mkuu!?
😂😂😂😂
Braza ukiona jamaa anavyoishi na wife wake utakuwa kama Mimi so kutenga 200000 kwenda Dom kufanya inspection sio shida
Basi 60000
Chakula 40000
Malazi 80000
Nauli ya kondoa 20000
 
Braza ukiona jamaa anavyoishi na wife wake utakuwa kama Mimi so kutenga 200000 kwenda Dom kufanya inspection sio shida
Basi 60000
Chakula 40000
Malazi 80000
Nauli ya kondoa 20000
Siri ya mtungi aijuaye kata kaka.
 
Yani wale rahisi kuwalaghai kingono.
Hawajui kujiongoza kiakili wala kihisia.
Angalau upate alokulia nje ya Manyara.
Kama wangu kalelewa Tanga malezi ya Tanga yamemuamsha akili.
Duh nilipanga niende huko vijijini manyara nikasake huyo msichana mwezi ujao
 
Vitu vingine kausha tu bro. Mtaji wa 35000 hadi uwe mamilioni sio mchezo. Kama mke wako ni mfanyabiashara na anazunguka minadani kaa tu kimya ukimwomba Mungu akupe upofu na ukiziwi wa kutokuona na kusikia jambo lingine lolote kuhusu mkeo zaidi ya biashara yake anayofanya.
 
Duh nilipanga niende huko vijijini manyara nikasake huyo msichana mwezi ujao
Mie ninao naowajua wairaqwu.
Huko unaweza kupata ila uzuri wale watu ukiwaelekeza wanaelekezeka.
Ila unatakiwa uwachunge kama watoto kichwani ni empty set kabisa.
 
Mkuu mimi nataka mwanamke mwenye muonekano mzuri sana kama walivyo wairaq
Hata wasambaa pia wazuri kaka.
Tena wana matyakoo so poa.
Pia uzuri wa wasambaa wao wanaheshimu sana wanaume haijalishi uchumi walio nao.
Pia wajanja wa kutafuta maisha.
 
Hata wasambaa pia wazuri kaka.
Tena wana matyakoo so poa.
Pia uzuri wa wasambaa wao wanaheshimu sana wanaume haijalishi uchumi walio nao.
Pia wajanja wa kutafuta maisha.
Wapo wasambaa wakristo?
 
Back
Top Bottom