Wamasai wa Ngorongoro wanaopelekwa Handeni hawataweza ku-survive pale

Wamasai wa Ngorongoro wanaopelekwa Handeni hawataweza ku-survive pale

SOVIET UNION

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
509
Reaction score
1,391
Kwenye Hifadhi za Taifa, ukiachana na Zoo, huwa kuna vibao vimeandikwa Dont feed birds or animal. Kwamba usiwalishe ndege na wanyama wengine na ni kosa kubwa sana ndani ya hifadhi kuwatupia hata nyani ndizi.

Hii ni suala la kisayansi zaidi na sio suala la kiusalama kwamba unaweza kuwalisha sumu hapana.

Utakapo walisha ndege na wanyama kule Hifadhini watafikia sehemu watakuwa hatawaweza kujitafutia chakula chao na watakuwa wakitegemea kulishwa.

Sasa basi kule Ngorongoro kwa kipindi kirefu sana Wananchi hasa wa tarafa ya Ngorongoro walikuwa wakiletewa chakula na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hii ni kwa sababu hakuna kulima hivyo Mamlaka ilibeba jukumu la kuwalisha. Ukiachana na Chakula walikuwa wanasambaziwa maji na Gari za Mamlaka, wale wamasai walikuwa wanapewa misaada chungu nzima na Wazungu hasa watalii.

Kwa kifupi wale Wamasai walikuwa wanaishi kwa misaada ya Mamlaka na Wazungu na pia watalii nao waliwapa sana sapoti.

Kuwapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao

Wamasai hawana shida na nyumba za kisasa na shida kubwa ni mazingira.

Kule Handeni hawataweza ku move free kama Ngorongoro, kule Handeni itabidi sana walime badala ya kufuga make eneo halitatosha kufuga. Kule Handeni hakutakuwa tena na free service kama za maji na Chakula na pia biashara yao ya kuuza shanga kwa watalii haitakuwepo kule.

Wamasai ni wafugaji na sio wakulima, Handeni imejaaa hakuna maeneo ya kufuga sasa hawa wana forciwa wabadilike kutoka kufuga na kuwa wakulima jambo ambalo ni gumu sana kwao. Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.
 
Handeni huwa kuna shida ya maji.....wajipange maji ya kunywesha mifugo
 
Huu ni upuuzi mtupu, unapigia debe waendelee kulishwa bure?

Waacheni nao wapambane kama wanyaturu wengine.

Walichokuwa wanalishwa nacho ni pesa za serikali ambazo zingefanya kazi zingine.
 
Mambo ya pori tengefu, usiwachukulie poa…. wamasai sio mdebwedo.
 
Kwenye Hifadhi za Taifa, ukiachana na Zoo, huwa kuna vibao vimeandikwa Dont feed birds or animal. Kwamba usiwalishe ndege na wanyama wengine na ni kosa kubwa sana ndani ya hifadhi kuwatupia hata nyani ndizi.

Hii ni suala la kisayansi zaidi na sio suala la kiusalama kwamba unaweza kuwalisha sumu hapana.

Utakapo walisha ndege na wanyama kule Hifadhini watafikia sehemu watakuwa hatawaweza kujitafutia chakula chao na watakuwa wakitegemea kulishwa.

Sasa basi kule Ngorongoro kwa kipindi kirefu sana Wananchi hasa wa tarafa ya Ngorongoro walikuwa wakiletewa chakula na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hii ni kwa sababu hakuna kulima hivyo Mamlaka ilibeba jukumu la kuwalisha. Ukiachana na Chakula walikuwa wanasambaziwa maji na Gari za Mamlaka, wale wamasai walikuwa wanapewa misaada chungu nzima na Wazungu hasa watalii.

Kwa kifupi wale Wamasai walikuwa wanaishi kwa misaada ya Mamlaka na Wazungu na pia watalii nao waliwapa sana sapoti.

Kuwapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao

Wamasai hawana shida na nyumba za kisasa na shida kubwa ni mazingira.

Kule Handeni hawataweza ku move free kama Ngorongoro, kule Handeni itabidi sana walime badala ya kufuga make eneo halitatosha kufuga. Kule Handeni hakutakuwa tena na free service kama za maji na Chakula na pia biashara yao ya kuuza shanga kwa watalii haitakuwepo kule.

Wamasai ni wafugaji na sio wakulima, Handeni imejaaa hakuna maeneo ya kufuga sasa hawa wana forciwa wabadilike kutoka kufuga na kuwa wakulima jambo ambalo ni gumu sana kwao. Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.
Tembelea handeni, handeni fursa ni nyingi sana,fanya utembelee Handeni.Handeni kuna watu wenye asili za nchi za mbali wengi sana,na wenyeji ni wengi sana,kabila la wazigua,ni kabila ambalo huwezi kuwakuta ni wahangaikaji,kwenda wilaya tofauti na yao,kwenda mikoa tofauti na mkoa wao.Jiulize kwa nini kabila la wilaya hiyo,huwezi kuwakuta mikoa mingine,ni kutokana na fursa nyingi zilizopo kwenye wilaya yao,na ni wilaya kubwa sana kati ya wilaya za Tanga,ni wilaya yenye madini tofauti tofauti.
 
sera ya taifa ni hapa kazi tu..... kazi na iendeleee.....

wakafanye kazi... tena kumbe walikua wanalishwa kama makinda wenzao tunapambana....
 
Ni uonevu na unyama wa hali ya juu, fikiria mtu aje akuamishe wewe na familia yako na ukoo wako wote kukupeleka sehemu ambayo hauijui wala haujawahi kufika na utamaduni na maisha ya watu hauyajui achilia mbali livelihood yako.

Lakini mtu anatembea na Kamera Misikitini na kuhiji kuomba Allah, sijui hata wanaomba nini?
 
Ni uonevu na unyama wa hali ya juu, fikiria mtu aje akuamishe wewe na familia yako na ukoo wako wote kukupeleka sehemu ambayo hauijui wala haujawahi kufika na utamaduni na maisha ya watu hauyajui achilia mbali livelihood yako.

Lakini mtu anatembea na Kamera Misikitini na kuhiji kuomba Allah, sijui hata wanaomba nini?

Umeandika kama vile kichwani una matope….Sasa wanaoishi huko handeni sio watu? Acheni upuuzi kwa sababu ziszo za msingi
 
Kwenye Hifadhi za Taifa, ukiachana na Zoo, huwa kuna vibao vimeandikwa Dont feed birds or animal. Kwamba usiwalishe ndege na wanyama wengine na ni kosa kubwa sana ndani ya hifadhi kuwatupia hata nyani ndizi.

Hii ni suala la kisayansi zaidi na sio suala la kiusalama kwamba unaweza kuwalisha sumu hapana.

Utakapo walisha ndege na wanyama kule Hifadhini watafikia sehemu watakuwa hatawaweza kujitafutia chakula chao na watakuwa wakitegemea kulishwa.

Sasa basi kule Ngorongoro kwa kipindi kirefu sana Wananchi hasa wa tarafa ya Ngorongoro walikuwa wakiletewa chakula na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hii ni kwa sababu hakuna kulima hivyo Mamlaka ilibeba jukumu la kuwalisha. Ukiachana na Chakula walikuwa wanasambaziwa maji na Gari za Mamlaka, wale wamasai walikuwa wanapewa misaada chungu nzima na Wazungu hasa watalii.

Kwa kifupi wale Wamasai walikuwa wanaishi kwa misaada ya Mamlaka na Wazungu na pia watalii nao waliwapa sana sapoti.

Kuwapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao

Wamasai hawana shida na nyumba za kisasa na shida kubwa ni mazingira.

Kule Handeni hawataweza ku move free kama Ngorongoro, kule Handeni itabidi sana walime badala ya kufuga make eneo halitatosha kufuga. Kule Handeni hakutakuwa tena na free service kama za maji na Chakula na pia biashara yao ya kuuza shanga kwa watalii haitakuwepo kule.

Wamasai ni wafugaji na sio wakulima, Handeni imejaaa hakuna maeneo ya kufuga sasa hawa wana forciwa wabadilike kutoka kufuga na kuwa wakulima jambo ambalo ni gumu sana kwao. Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.

Kumbe walikuwa wapewa chakula??? Eeenh ndo maana wanadeka,wasijione special kama vile ni watanzania wakitofauti
 
Umeandika kama vile kichwani una matope….Sasa wanaoishi huko handeni sio watu? Acheni upuuzi kwa sababu ziszo za msingi

Hao ni wazaliwa wa hapo na wapo hapo Handeni kwa ridhaa yao hawakufukuzwa popote, hata wewe sasa hivi ukoo wako wote mkihamishiwa (kwa nguvu) Mkoa mwingine msioujua watu msiowajua muanze moja, utaona ni sawa ? Ni haki hiyo ? Hata Samia mwenyewe hawezi kufurahia ukoo wake wote ukihamishwa kwa nguvu ktk labda Makunduchi na kupelekwa Hai au Marangu, Singida au unafikiri watakubali ?
 
Kwani huko handeni hiyo misaada haifiki?
NI AJABU sana kama watz bado tunawaza kwa ufinyu kiasi hicho basi kama ndivyo vijana hamuwezi kufika popote.bado karne hii mtu unawaza kubebwa na mabeberu na hifadhi.handeni maji siyo shida na serikali siyo wajinga kuwapeleka watu sehemu ambazo hazina huduma.shida yetu watz siku zote tunafikiria negativity but we don't think positively.kwamba halimi na walikuwa wanapewa missada,sasa watafundishwa kulima pia kujitegemea.taifa la watu ombaomba siyo taifa imara.watu wajifunze kufanya kazi kwa bidii after all binadamu anaweza kuishi katika mazingira yote kwa kadiri Mungu alivyotuumba kwamba tutaishi kwa jasho pia kuyatawala mazingira yanayotuzunguka.
 
Hao ni wazaliwa wa hapo na wapo hapo Handeni kwa ridhaa yao hawakufukuzwa popote, hata wewe sasa hivi ukoo wako wote mkihamishiwa (kwa nguvu) Mkoa mwingine msioujua watu msiowajua muanze moja, utaona ni sawa ? Ni haki hiyo ? Hata Samia mwenyewe hawezi kufurahia ukoo wake wote ukihamishwa kwa nguvu ktk labda Makunduchi na kupelekwa Hai au Marangu, Singida au unafikiri watakubali ?

Pointless…
 
Back
Top Bottom