SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 509
- 1,391
Kwenye Hifadhi za Taifa, ukiachana na Zoo, huwa kuna vibao vimeandikwa Dont feed birds or animal. Kwamba usiwalishe ndege na wanyama wengine na ni kosa kubwa sana ndani ya hifadhi kuwatupia hata nyani ndizi.
Hii ni suala la kisayansi zaidi na sio suala la kiusalama kwamba unaweza kuwalisha sumu hapana.
Utakapo walisha ndege na wanyama kule Hifadhini watafikia sehemu watakuwa hatawaweza kujitafutia chakula chao na watakuwa wakitegemea kulishwa.
Sasa basi kule Ngorongoro kwa kipindi kirefu sana Wananchi hasa wa tarafa ya Ngorongoro walikuwa wakiletewa chakula na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hii ni kwa sababu hakuna kulima hivyo Mamlaka ilibeba jukumu la kuwalisha. Ukiachana na Chakula walikuwa wanasambaziwa maji na Gari za Mamlaka, wale wamasai walikuwa wanapewa misaada chungu nzima na Wazungu hasa watalii.
Kwa kifupi wale Wamasai walikuwa wanaishi kwa misaada ya Mamlaka na Wazungu na pia watalii nao waliwapa sana sapoti.
Kuwapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao
Wamasai hawana shida na nyumba za kisasa na shida kubwa ni mazingira.
Kule Handeni hawataweza ku move free kama Ngorongoro, kule Handeni itabidi sana walime badala ya kufuga make eneo halitatosha kufuga. Kule Handeni hakutakuwa tena na free service kama za maji na Chakula na pia biashara yao ya kuuza shanga kwa watalii haitakuwepo kule.
Wamasai ni wafugaji na sio wakulima, Handeni imejaaa hakuna maeneo ya kufuga sasa hawa wana forciwa wabadilike kutoka kufuga na kuwa wakulima jambo ambalo ni gumu sana kwao. Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.
Hii ni suala la kisayansi zaidi na sio suala la kiusalama kwamba unaweza kuwalisha sumu hapana.
Utakapo walisha ndege na wanyama kule Hifadhini watafikia sehemu watakuwa hatawaweza kujitafutia chakula chao na watakuwa wakitegemea kulishwa.
Sasa basi kule Ngorongoro kwa kipindi kirefu sana Wananchi hasa wa tarafa ya Ngorongoro walikuwa wakiletewa chakula na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hii ni kwa sababu hakuna kulima hivyo Mamlaka ilibeba jukumu la kuwalisha. Ukiachana na Chakula walikuwa wanasambaziwa maji na Gari za Mamlaka, wale wamasai walikuwa wanapewa misaada chungu nzima na Wazungu hasa watalii.
Kwa kifupi wale Wamasai walikuwa wanaishi kwa misaada ya Mamlaka na Wazungu na pia watalii nao waliwapa sana sapoti.
Kuwapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao
Wamasai hawana shida na nyumba za kisasa na shida kubwa ni mazingira.
Kule Handeni hawataweza ku move free kama Ngorongoro, kule Handeni itabidi sana walime badala ya kufuga make eneo halitatosha kufuga. Kule Handeni hakutakuwa tena na free service kama za maji na Chakula na pia biashara yao ya kuuza shanga kwa watalii haitakuwepo kule.
Wamasai ni wafugaji na sio wakulima, Handeni imejaaa hakuna maeneo ya kufuga sasa hawa wana forciwa wabadilike kutoka kufuga na kuwa wakulima jambo ambalo ni gumu sana kwao. Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.