Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Karibu mjombaMjomba wa Oman anamiliki siku nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mjombaMjomba wa Oman anamiliki siku nyingi sana
Wapo mabwana na watwana ! AU ?!KUZALIWA na kufa ndo binadamu ufanana.But not all people are equally,
Aliyesema 'extinction' alitakiwa aongeze meno moja iwe 'cultural extinction' ambayo inatukumba wengi (Duniani) huku tukiifurahia kwa kuichukulia kama maendeleo(kweli/si kweli ... kila mtu apime!)!Na hawa jamaa hawawezi kuongezeka Kwa kasi kama watu wengine kiasi cha kudistab maeneo wanayoishi. Pia ni rahisi kupungua sabab kwao watoto na wazee ni makundi ya watu wa sio na thamani. Idadi ya wahadzabe inasababishwa na hili la tamaduni zao na mitazamo Kwa mtoto kufa, kwao sio shida na haiwashuhulishi kabisa. Sasa hapo ikitoa na idadi ya wanaolew na makabila mengine au kuhama maisha ya usasa.
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Atajuaje haya mkuu wakati ni taaluma za watu. Tatizo wenye hizi hawapew nafasi wajibu maswali kama haya. Nashangaa wanasiasa kwao ni hoja zenye mashiko hizi 🤣Aliyesema 'extinction' alitakiwa aongeze meno moja iwe 'cultural extinction' ambayo inatukumba wengi (Duniani) huku tukiifurahia kwa kuichukulia kama maendeleo(kweli/si kweli ... kila mtu spine!)!