co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,541
- 2,487
NI AJABU sana kama watz bado tunawaza kwa ufinyu kiasi hicho basi kama ndivyo vijana hamuwezi kufika popote.bado karne hii mtu unawaza kubebwa na mabeberu na hifadhi.handeni maji siyo shida na serikali siyo wajinga kuwapeleka watu sehemu ambazo hazina huduma.shida yetu watz siku zote tunafikiria negativity but we don't think positively.kwamba halimi na walikuwa wanapewa missada,sasa watafundishwa kulima pia kujitegemea.taifa la watu ombaomba siyo taifa imara.watu wajifunze kufanya kazi kwa bidii after all binadamu anaweza kuishi katika mazingira yote kwa kadiri Mungu alivyotuumba kwamba tutaishi kwa jasho pia kuyatawala mazingira yanayotuzunguka.
Ndo maana wanadeka kisa walikuwa wanapewa chakula,wamewadekeza sana hao watu