mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Shangaa na wewe ! All people are equal but some are much more equal than others !! Hivyo ndivyo wanavyojiaminisha wao kwa wao !!Kwani wao wanavyopeana zawadi za magari na kujengeana majumba hali ya kuwa uwezo wanao, je wao ni special sana kuliko wengine?