Wamasai wa Ngorongoro wanaopelekwa Handeni hawataweza ku-survive pale


Ndo maana wanadeka kisa walikuwa wanapewa chakula,wamewadekeza sana hao watu
 
Iyo mifugo wanamfugia nani had wasiweze kujitegemea chakula huko walikopelekwa? Au izo ng'ombe zao ni mapambo haziwezi kuwafanya wajitegemee?

Wafugaji wote nchi hii wanalishwa na serikali?
 
Wanapinga tu lkn changamoto sana ,mtumishi tu ambae anatoka eneo moja kwenda lingine tena kwa kaz ile ile lkn kunakua na changamoto ya mazngira au maisha na inamchukua muda mpaka kuzoea ,kuliko hawa ambao ndio chimbuko lao
 
Wakenya na mabwanyenye wenu haliowapenyeza nchini kwetu hamna chenu tena kule Ngorongoro. Cha kufanya ni ku deal na serikali yenu iwape sehem salama za kulishia mifugo yenu. Tulio wengi tunapinga Tanzania kuendelea kufanywa shamba la bibi. Tanzania ni moja, popote watapopelekwa ndani ya Tanzania hii ni kwao. Wakimbizi wangapi wameacha majumba yao, ardhi zao, mazao yao na wengine familia zao, wamevuka boda kutoka katika nchi zao kuja Tanzania kutafuta hifadhi makambini na wanaishi vizuri tu. Ije kuwa tatizo kwa mtanzania anaetolewa sehem moja ya Tanzania, na kupelekwa sehem nyingine ya Tanzania! Hapa hapa Tanzania ni watanzania wangapi wamevunjiwa nyumba zao katika mikoa mbali mbali, sana sana Dar es salaam ili kupisha miradi ya serikali kama vile barabara nk. Je mliandika chochote kuwatetea? Serikali iendelee na oparation zake na ikitokea kusita sita kokote wananchi tuliochoka nchi yetu kufanywa shamba la bibi tutaandamana ili oparation hiyo iendelee.
 
Huu ni upuuzi mtupu, unapigia debe waendelee kulishwa bure?
Waacheni nao wapambane kama wanyaturu wengine.
Walichokuwa wanalishwa nacho ni pesa za serikali ambazo zingefanya kazi zingine.
Sio kulishwa bure, kule Ngorongoro wanategemea mifugo, Handeni hakuna maeneo ya kuchunga, pia wanauza Shanga
 
Hahaaa zipi hizo?
 
ugomvi woote ule ni kwamba, wale masai wengi ni wakenya, na kingine wameishi kwa kuuza shanga na vinyago vyao kwa pesa nyingi kwa wazungu. kule wanapelekwa hakuna mbuga, hawataona mzungu hata mmoja. na masai huwezi kumtenganish an amzungu kwasababu fahari yake huwa anapenda mzungu amuone ili amshangae. hapo anajisikia rahaaa.
 
Pumba tupu umeandika. Wamasai wa Ngorongoro wamedekezwa mno. Na hao wanaharakati wanaowatetea ni kwamba wanaumia harakati zao kufikia tamati kwasababu walikuwa wanaingiza pesa nyingi toka kwa mabeberu kwa kujifanya watetezi wa masai. Kinachonikera ni masai kutaka wawe na maamuzi pale NCAA. Yaani jitu halina elimu yoyote na lenyewe liwe sehemu ya vikao na maamuzi muhimu ya mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro
 
Kwa uzoefu mdogo sana nlionao kuhusu NCAA kunauwezekano mkubwa uhamisho huu ukaathiri idadi ya visitors. Wamaasai ni mojawapo ya kivutio ngorongoro
NB: hawakuwa wanapewa huduma bila sababu waliinufaisha gvnt.
 
Huu ni upuuzi mtupu, unapigia
debe waendelee kulishwa bure? Waacheni nao wapambane kama wanyaturu wengine.
Walichokuwa wanalishwa
nacho ni pesa za serikali
ambazo zingefanya kazi
zingine.
Tuache roho mbaya au ubaguzi, wastaafu wanapewa zawadi za magari na kujengewa nyumba za kifahari kwani hizo pesa hazina sehemu zengine zenye uhitaji?
 
Kwa uzoefu mdogo sana nlionao kuhusu NCAA kunauwezekano mkubwa uhamisho huu ukaathiri idadi ya visitors. Wamaasai ni mojawapo ya kivutio ngorongoro
NB: hawakuwa wanapewa huduma bila sababu waliinufaisha gvnt.

Nilikuwa nangojea mtu aliseme hili - Wamasai wa Ngorongoro pia ni kivutio kwa watalii.
Naweka stress: Wamasai wa Ngorongoro.
 
Hao wanasiasa tu ambao ndio viongozi wetu hawawezi kuishi nje ya system kujiajiri hawawezi.
 
Wa masai ni pastoralists na ufugaji wao ni kupitia uchungaji. Hapa ndio wadau wanatakiwa kua makini sana vinginevyo majanga yatatuhusu. Sidhani kama eka 3 zinatosha. Na viongozi wengi wa nadhani wanalielewa hili lakini ukweli ni tofauti. Itabidi kuwe na monitoring ya karibu sana.
 
Mnatetea Watu kuendelea kulishwa na kuveshwa!
Wakapambane na Maisha huko Handeni,

Kazi Iendelee hakuna kulala.
 
Nilikuwa nangojea mtu aliseme hili - Wamasai wa Ngorongoro pia ni kivutio kwa watalii.
Naweka stress: Wamasai wa Ngorongoro.
Baniani mbaya kiatu chake dawa. Wanahamishwa lakini wanahitajika pia; nahisi ndiomaana wakafanya kuwa hiari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…