Shangaa na wewe ! All people are equal but some are much more equal than others !! Hivyo ndivyo wanavyojiaminisha wao kwa wao !!Kwani wao wanavyopeana zawadi za magari na kujengeana majumba hali ya kuwa uwezo wanao, je wao ni special sana kuliko wengine?
Mkuu SOVIET UNION , be optimistic na sio pessimistic, wata adapt na watasurvive.wapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao
Wamasai hawana shida na nyumba za kisasa na shida kubwa ni mazingira.
Kule Handeni hawataweza ku move free kama Ngorongoro, kule Handeni itabidi sana walime badala ya kufuga make eneo halitatosha kufuga. Kule Handeni hakutakuwa tena na free service kama za maji na Chakula na pia biashara yao ya kuuza shanga kwa watalii haitakuwepo kule.
Wamasai ni wafugaji na sio wakulima, Handeni imejaaa hakuna maeneo ya kufuga sasa hawa wana forciwa wabadilike kutoka kufuga na kuwa wakulima jambo ambalo ni gumu sana kwao. Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.
Watazoea tuNi uonevu na unyama wa hali ya juu, fikiria mtu aje akuamishe wewe na familia yako na ukoo wako wote kukupeleka sehemu ambayo hauijui wala haujawahi kufika na utamaduni na maisha ya watu hauyajui achilia mbali livelihood yako.
Lakini mtu anatembea na Kamera Misikitini na kuhiji kuomba Allah, sijui hata wanaomba nini?
Watazoea tu
Umekaa chini ukaanza kuandika akili yako ilvyokutuma, pumba tupu, pumbafKwenye Hifadhi za Taifa, ukiachana na Zoo, huwa kuna vibao vimeandikwa Dont feed birds or animal. Kwamba usiwalishe ndege na wanyama wengine na ni kosa kubwa sana ndani ya hifadhi kuwatupia hata nyani ndizi.
Hii ni suala la kisayansi zaidi na sio suala la kiusalama kwamba unaweza kuwalisha sumu hapana.
Utakapo walisha ndege na wanyama kule Hifadhini watafikia sehemu watakuwa hatawaweza kujitafutia chakula chao na watakuwa wakitegemea kulishwa.
Sasa basi kule Ngorongoro kwa kipindi kirefu sana Wananchi hasa wa tarafa ya Ngorongoro walikuwa wakiletewa chakula na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hii ni kwa sababu hakuna kulima hivyo Mamlaka ilibeba jukumu la kuwalisha. Ukiachana na Chakula walikuwa wanasambaziwa maji na Gari za Mamlaka, wale wamasai walikuwa wanapewa misaada chungu nzima na Wazungu hasa watalii.
Kwa kifupi wale Wamasai walikuwa wanaishi kwa misaada ya Mamlaka na Wazungu na pia watalii nao waliwapa sana sapoti.
Kuwapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao
Wamasai hawana shida na nyumba za kisasa na shida kubwa ni mazingira.
Kule Handeni hawataweza ku move free kama Ngorongoro, kule Handeni itabidi sana walime badala ya kufuga make eneo halitatosha kufuga. Kule Handeni hakutakuwa tena na free service kama za maji na Chakula na pia biashara yao ya kuuza shanga kwa watalii haitakuwepo kule.
Wamasai ni wafugaji na sio wakulima, Handeni imejaaa hakuna maeneo ya kufuga sasa hawa wana forciwa wabadilike kutoka kufuga na kuwa wakulima jambo ambalo ni gumu sana kwao. Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.
Wahadzabe mkuu ni foragers! Maasai ni pastoralist!. This two things you need to speculate them more and well. Natural increase of population and decrease is a bigger discusion.Baada ya Extinction ya Wahadzabe ambao wamebaki 150 watakaofuatia ni Massai.
Dah kwa hio mmasai akatafute fursa za kilimo?Tembelea handeni, handeni fursa ni nyingi sana,fanya utembelee Handeni.Handeni kuna watu wenye asili za nchi za mbali wengi sana,na wenyeji ni wengi sana,kabila la wazigua,ni kabila ambalo huwezi kuwakuta ni wahangaikaji,kwenda wilaya tofauti na yao,kwenda mikoa tofauti na mkoa wao.Jiulize kwa nini kabila la wilaya hiyo,huwezi kuwakuta mikoa mingine,ni kutokana na fursa nyingi zilizopo kwenye wilaya yao,na ni wilaya kubwa sana kati ya wilaya za Tanga,ni wilaya yenye madini tofauti tofauti.
Unyama uko wapi mkuu mbona una mawazo ya jadi mkuu? Tena wataiharibu hiyo Handeni Kwa haraka mda mfupi tu..Lakini haiondoi dhambi ya unyama ambao kuna siku watu wata revenge, not good!
Acha kuwadharau wamasai wa Ngorongoro, hata wao wanaweza kujishughulisha na kilimo pamoja na ufugaji.Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.
All people are equally hii ni kwenye theory na sio mengineShangaa na wewe ! All people are equal but some are much more equal than others !! Hivyo ndivyo wanavyojiaminisha wao kwa wao !!
Kwa hiyo unataka wamasai waishi bila kufanya kazi?Kwenye Hifadhi za Taifa, ukiachana na Zoo, huwa kuna vibao vimeandikwa Dont feed birds or animal. Kwamba usiwalishe ndege na wanyama wengine na ni kosa kubwa sana ndani ya hifadhi kuwatupia hata nyani ndizi.
Hii ni suala la kisayansi zaidi na sio suala la kiusalama kwamba unaweza kuwalisha sumu hapana.
Utakapo walisha ndege na wanyama kule Hifadhini watafikia sehemu watakuwa hatawaweza kujitafutia chakula chao na watakuwa wakitegemea kulishwa.
Sasa basi kule Ngorongoro kwa kipindi kirefu sana Wananchi hasa wa tarafa ya Ngorongoro walikuwa wakiletewa chakula na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hii ni kwa sababu hakuna kulima hivyo Mamlaka ilibeba jukumu la kuwalisha. Ukiachana na Chakula walikuwa wanasambaziwa maji na Gari za Mamlaka, wale wamasai walikuwa wanapewa misaada chungu nzima na Wazungu hasa watalii.
Kwa kifupi wale Wamasai walikuwa wanaishi kwa misaada ya Mamlaka na Wazungu na pia watalii nao waliwapa sana sapoti.
Kuwapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao
Wamasai hawana shida na nyumba za kisasa na shida kubwa ni mazingira.
Kule Handeni hawataweza ku move free kama Ngorongoro, kule Handeni itabidi sana walime badala ya kufuga make eneo halitatosha kufuga. Kule Handeni hakutakuwa tena na free service kama za maji na Chakula na pia biashara yao ya kuuza shanga kwa watalii haitakuwepo kule.
Wamasai ni wafugaji na sio wakulima, Handeni imejaaa hakuna maeneo ya kufuga sasa hawa wana forciwa wabadilike kutoka kufuga na kuwa wakulima jambo ambalo ni gumu sana kwao. Wamasai wa Monduli au Simanjiro wanaweza Survive vyema Handeni ila sio hawa wa Ngorongoro.
Hata wakati walipoachiwa huru watumwa, wazungu wengi walisema wasingeweza kusurvive kwa vile walizoea kupewa kila kitu bure kwa mabwana zao.Kuwapeleka Handeni waanze kujitegemea na either waanze kulima ni kuwaumiza hawa watu, hawataweza survive kule kamqwe, Kuna wajinga wanaona zile nyumba za tofali kama ndo msaada mkubwa sana kwao
Mbona wengi tu wamevuka bahari na wanaishi Zanzibar, wamewezaje?Ni uonevu na unyama wa hali ya juu, fikiria mtu aje akuamishe wewe na familia yako na ukoo wako wote kukupeleka sehemu ambayo hauijui wala haujawahi kufika na utamaduni na maisha ya watu hauyajui achilia mbali livelihood yako.
Lakini mtu anatembea na Kamera Misikitini na kuhiji kuomba Allah, sijui hata wanaomba nini?
Wahadzabe kibao waliishaacha maisha-pori na kujichanganya na watanzania wengine mijini na vijijini! ... hao 150 ni die-hards wa mila za zama za mawe, japo hata wao sasa hivi wanatumia teknolojia na bidhaa za karne ya 21 kama watu wengine!Baada ya Extinction ya Wahadzabe ambao wamebaki 150 watakaofuatia ni Massai.
Mbona wengi tu wamevuka bahari na wanaishi Zanzibar, wamewezaje?
Labda na kwenye kukata moto ! !!All people are equally hii ni kwenye theory na sio mengine
Na hawa jamaa hawawezi kuongezeka Kwa kasi kama watu wengine kiasi cha kudistab maeneo wanayoishi. Pia ni rahisi kupungua sabab kwao watoto na wazee ni makundi ya watu wa sio na thamani. Idadi ya wahadzabe inasababishwa na hili la tamaduni zao na mitazamo Kwa mtoto kufa, kwao sio shida na haiwashuhulishi kabisa. Sasa hapo ikitoa na idadi ya wanaolew na makabila mengine au kuhama maisha ya usasa.Wahadzabe kibao waliishaacha maisha-pori na kujichanganya na watanzania wengine mijini na vijijini! ... hao 150 ni die-hards wa mila za zama za mawe, japo hata wao sasa hivi wanatumia teknolojia na bidhaa za karne ya 21 kama watu wengine!
... EXTINCTION NI OVERSTATEMENT!
KUZALIWA na kufa ndo binadamu ufanana.But not all people are equally,Labda na kwenye kukata moto ! !!