Pre GE2025 Wamasai wa Ngorongoro watoa tamko kunyang'anywa haki ya kupiga kura 2024 na 2025

Pre GE2025 Wamasai wa Ngorongoro watoa tamko kunyang'anywa haki ya kupiga kura 2024 na 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ardhi ni ya nani?
Tunakodisha kwa nani?

Kuhama kwa kuridhia ni sawa, lakini kukataa kuhamishwa kama ng'ombe ni akili. Wanachofanya Wamasai ni kuutetea utu wao.

Kwa sababu watawala wameshindwa kutumia akili kukabiliana na changamoto husika wanakimbilia kutumia maguvu, jambo ambalo halipaswi kuwepo katika karne hii.
Nini kifanyike??ili ngorongoro ilindwe(kama serikali imavyosema) na wamasai wawe huru na makazi Yao?? Win-win situation..njia gani nzuri itumike???....usipuuze wanachotaka serikali,na usipuuze wanachotaka wamasai..wote Wana hoja
 
wewe payuka ukimaliza nakwambia wanapewa huduma bure wale wanaoishi ngorongoro, nimeshafika mara kadhaa, sijui kama wewe mwenzangu umewahi kufika
Unaji - contradict mwenyewe na CCM yako..

Wewe unasema umeenda huko. Sasa mimi, naishi huku Ngorongoro. Acha uongo wako wa ki - CCM hapa..

Kwa hiyo tusemeje sasa?

Mnawahamisha wamasai wa Ngorongoro na kuwapeleka Msomera - Tanga au wapo Ngorongoro, CCM na serikali yake inawatambua na wanastahili huduma zote muhimu za kijamii (hata kama ni za bure?)

Imekuwaje imefuta vituo vyote vya kuandikishia na kupigia kura? Si maana yake hakuna watu huko? Sasa hizo "huduma bure" yanapewa mawe na nyani..?

Au wewe mwenzetu akili zako zinaelewaje mantiki ya maamuzi hayo ya kufutwa vituo hivyo..?

Bado unataka kubisha tu kuwa hujui na hujui kuwa hujui wewe bitimkongwe ..?
 
Hawa wamasai mnaowafukuza Ngorongoro wamewakosea nini aisee ?
 
Kabla ya Ngorongoro kuwa Hifadhi tayari ni nyumbani kwao,

Kabla ya kuwa na Rais Wamasai walikuwepo Ngorongoro,

Kabla ya Samia kuwa Rais wameshapita Marais na wazalendo wa Taifa, Ngorongoro ni kwa Wamasai.

Amtafutie Mwarabu eneo lingine la kujenga hotels na kuchimba madini, Wamasai waendelee kuwepo kwenye ardhi yao ya Ngorongoro.

Mimi ni MTANGANYIKA, kura yangu ya Urais 2025 nitapiga KITANGANYIKA!
 
Hawa wamasai mnaowafukuza Ngorongoro wamewakosea nini aisee ?
Dawa ni kuikataa CCM, mama arudi kwao KIZIMKAZI.

Mbaya zaidi vyombo vya usalama TISS, Jeshi la wanainchi viko kimyaa 🤔🤔🤔

TISS JW, Samia atapita Tanganyika itabaki daima, what will be the future of our child???

Mama apigwe chini mapema!!
 
Mbona wako Kimya tu huku wamasai wale ambao ni Raia wenzao wakiteswa?

Kwamba Mchengerwa ana cheo kikubwa kuliko wao ndio maana anachokifanya wanakinyamazia? Ama tuseme na wao wanafurahishwa na unyama huu?
 
Suala la Wazaramo na kesi ya Wamasai ni vitu viwili tofauti.

1. Wazaramo waliyauza maeneo yao kwa sababu walipenda kufanya hivyo. Walifanya hivyo kwa kuwa waliohitaji fedha za kufanyia kile walichoamini ni bora kwao

2. Wamasai hawahitaji wala hawataki kuiuza ardhi yao kwa sababu yoyote ile. Wapo tayari kuinunua ilibidi, ingawa ni yao kihalali hata kabla ya Uhuru wa Tanganyika. Na cha kusikitisha, anayetaka kuwahamisha ...

Basi tu!
 
Back
Top Bottom