johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wamasai waishio kwenye vijiji vya hifadhini Ngorongoro wamesema kamwe hawatahama kwani Ngorongoro ni mafiga matatu ya Wenyeji, Hifadhi na Watalii na ukiondoa figa moja Ngorongoro inakufa.
Wamedai wao wanaishi vijiji vya hifadhini kwa mujibu wa sheria.
===
Wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza wabunge kuelimishwa kuhusu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Jamii ya wafugaji wanaoishi kwenye bonde hilo wamesema wataendelea kuishi kwa kufuata sheria na kanuni za uanzishwaji wa mamlaka hiyo na si vinginevyo.
Source: Star tv!
Wamedai wao wanaishi vijiji vya hifadhini kwa mujibu wa sheria.
===
Wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza wabunge kuelimishwa kuhusu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Jamii ya wafugaji wanaoishi kwenye bonde hilo wamesema wataendelea kuishi kwa kufuata sheria na kanuni za uanzishwaji wa mamlaka hiyo na si vinginevyo.
Source: Star tv!