Wamasai wanakwenda kuua misaada ya UN na EU kwa Tanzania; Ngorongoro imetugeuka vibaya

Wamasai wanakwenda kuua misaada ya UN na EU kwa Tanzania; Ngorongoro imetugeuka vibaya

Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Basi Lissu abarikiwe sanaaa.
 
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Kama ni hivyo tundu lissu ana akili kuliko wewe na hiyo serikali yako.ayo ya uhasimu utajua nwenyewe kwasababu ata kama ingekua ni mzungu kapewa hilo eneo alafu masai wafukuzwe bado watu wenye akili timamu wangepiga kelele.Yeyote aneyeunga mkono haki ipatikane yuko sahihi.Sasa wewe endelea kuwaza kiupande upande wakati viongoz wako wanagawa rasilimali za nchi kiholela holela uku wakitumia mabavu kuonea wananchi.
 
Der Anwalt Joseph Moses Oleshangay aus Tansania erhielt am Sonntagabend den Menschenrechtspreis der Stadt Weimar. Er setzt sich für die Rechte der Massai in Afrika ein.
IN ENGLISH :

Weimar Human Rights Prize goes to lawyer from Tanzania​

10. December 2023, 7:17 p.m.

The lawyer Joseph Moses Oleshangay from Tanzania received the human rights award from the city of Weimar on Sunday evening. He campaigns for the rights of the Maasai in Africa.
1702706185836.png

Photo: Joseph Moses Oleshangay

Current news from Mitteldeutscher Rundfunk can be found at any time at mdr.de and in the MDR Aktuell app .
Joseph Moses Oleshangay from Tanzania received the Weimar Human Rights Prize on Sunday evening. According to the city, Oleshangay advocates for the rights of the Maasai in his homeland and fights against their forced relocation by the government.

The winner receives 5,000 euros​

Because of his commitment, the lawyer has suffered reprisals and has already survived an assassination attempt, it is said.
Oleshangay beat seven other nominees for the human rights award. In the end, the city council voted for him as the award winner.

Cup
The winner received this trophy from the Weimar artist Walter Sachs.Photo rights: MDR THÜRINGEN
The prize is endowed with 5,000 euros and was awarded on Human Rights Day. The winner also received a trophy from the Weimar artist and Weimar Prize winner Walter Sachs.
Oleshangay said at the award ceremony in the ballroom of the Prince's House of the University of Music that the award meant a lot to him and to the people who fight for their common cause. He feels honored.

Weimar awards prize for Nazi crimes​

The human rights prize is awarded at a ceremony in Weimar. The patron of the prize is the journalist Gundula Gause.
The city of Weimar has been awarding the prize since 1995 as a symbol of its special responsibility after the crimes of National Socialism. Between 1937 and 1945, the Nazis imprisoned around 280,000 people from Europe in the Buchenwald concentration camp near Weimar. Around 56,000 prisoners were murdered, died of disease, hunger or forced labor.
 
Mkuu,

Kwanza kabisa, nakubaliana na mengi uliyoandika.

Lakini.

Kusema wazungu ni waasisi wa maliasili wakati Afrika kuna mpaka dini za asili zinazolazimisha kutunza maliasili za mazingira, wakati sisi Waafrika tulikuwa tunafanya recycling miaka ya zamani kabla wazungu hawajaifanya recycling kuwa fashionable, ni kutojua historia.

Sema hivii, Muafrika akifanya recycling anaonekana masikini tu huyo hana hela ya kununua kipya, Mzungu akifanya recycling anaitwa mwanamazingira.

Muafrika akitunza maliasili za mazingira kwa mental model ya dini yake, akikataza miti isikatwe, anaitwa mpagani, Mzungu akikataza miti isikatwe, anaitwa mwanamazingira anayetunza maliasili za mazingira.

Naona umeingia katika mtego huu na kumuita Mzungu muasisi wa maliasili, wakati huko Marekani na Ulaya maendeleo ya ki teknolojia yamesababisha uharibifu mkubwa kabisa wa maliasili na mazingira.
Jamaa unapenda sana ligi..umeamua kutoka hadi nje ya mada..
 
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.

Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.

Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Nchi za Ulaya zinaongozwa na ma-Rais ambao ni mashoga na zimebariki ndoa za jinsia moja. Hazina audacity ya kutuamulia Waafrika hususan Watanzania tunaojitambua. Ya kwao yanawashinda mpaka wanaume kwa wanaume wanaoana, sembuse watuamulie ya kwetu!! No way

Hatuwezi kuamuliwa na Bunge la wase_nge
 
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Umejibi Nini Sasa? Ni halali kuwaondoa Wamaasai?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tutahamishia bakuli kwa wajomba
Wajomba ni makatili wakubwa. Hawatoi misaada yenye kueleweka. Hata nchi za ''wenzao kwenye dini'' zinapokuwa na shida kubwa wao wanakaa kimya. Anachojua ni ufahari wa kununua ma-ferari na kuchukuwa wanawake wa bei ghali.
 
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Kwa hiyo kwako ni sawa tu Mmasai mwenye sime na mkuki akiondolewa kwenye ardhi yake kisha kupewa Mwarabu mwenye bunduki na risasi???

Kwako nyumnbu ana dhamani kubwa kuliko Binadamu mwenzako??

Tuachane na hayo, Mtu ana wake zake 5 na kila mwanamke ana nyumba yake pamoja na watoto wake. Unamhamisha na kwenda kumpa nyumba moja yenye vyumba viwili eti akaishi yeye na wake zake pamoja na watoto wake wasiopungua 20. Hapo utu wake utakuwa wapi?? Wazungu wameliona hilo na wakalifanyia kazi wewe unaleta mambo yako ya Uzungu na Uarabu.
 
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Kumbe anapewa mwarabu? Mbona hapo hapo unajichanganya na kusema ni kulinda utalii?
 
Kama nchi bado ina vijana wenye mawazo kama ya mtoa Mada itatuchukua sana muda kupata maendeleo.

Poor Kid
 
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.

Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.

Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane

kama taarifa tunazopata kwa vyombo vya habari namna zoezi linavyofanyika ni sahihi, basi tunakwenda kushinda hiyo kesi. Namaanisha kwa taarifa tunazopata huku ni kuwa; Wamaasai wanaelimishwa na wale walio tayari kuhama, ndio wanahama na wale ambao hawapo tayari kuhama wanabaki. Sasa kama hao waliokwenda huko Ulaya ni wale wasiokuwa tayari kuhama, au pengine wale wamasai waliopo huko mijini; Tatizo liko wapi?
 
kama taarifa tunazopata kwa vyombo vya habari namna zoezi linavyofanyika ni sahihi, basi tunakwenda kushinda hiyo kesi. Namaanisha kwa taarifa tunazopata huku ni kuwa; Wamaasai wanaelimishwa na wale walio tayari kuhama, ndio wanahama na wale ambao hawapo tayari kuhama wanabaki. Sasa kama hao waliokwenda huko Ulaya ni wale wasiokuwa tayari kuhama, au pengine wale wamasai waliopo huko mijini; Tatizo liko wapi?
Uchawa ukipitiliza unakuwa ni upimbi, yale mapigano yaliyokuwa yakifanywa ilikuwa ni kuelimishwa huko??
 
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.

Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.

Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Misaada ya wazungu ni utumwa.

Wao wanataka watu waishi na wanyama mpaka lini?

Tena safi sana, missada ya nini? Kwani sisi ni masikini kiasi cha kupewa misaada, tena tukate wenyewe misaada yote. Wawasaidie raia zao wanoomba omba njiani kwanza.
 
Tutahamishia bakuli kwa wajomba
wajombazzke mungu wenu, wenyewed voijana wa Hamas wanawaendesha huko hawajuwi wafanye nini.

Wapelekeni Wamasai wakawasaidie huko, si mmoja wao kaenda na maji, anaitwa Mollel?
 
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Wewe ni Mwarabu wa Buza kwa Mpalange
 
Kwa upande wangu sion sababu ya kuwatoa ila ttzo linakuja ni idadi yao inaongezeka siku ad siku mwisho wa sku wanamaliza maeneo

Ata ukienda mbugani wanyama wao wanapunguzana wao kwa wao ecosystem na wakat mwingne wanyama wakizidi polini hiwa kuna vibali utolewa kwaajiri ya uwindaji kuwapunguza wanyama

Sasa wamasai ni binaadam hawawezi kuuana wao kwa wao lakin pia huwez kutoa kibali cha kuwinda wamasai kutokana na sababu izo wamasai wanaongezeka sku ad sku na mifugo yao pia huongezeka mwisho wa sku uingilia maeneo ya wanyama
 
Kwa tunaowatetea wasai nazan wangetupa njia nzuri ya kukabiliana na ongezeko la masai na mifugo yao km wanaona kuhamishwa sio njia sahihi je ni njia gan serikal iitumie kucontrol idadi yao
 
Back
Top Bottom