Wamasai, Wasukuma sasa imetosha, karne hii ya 21 muache kutembeza mifugo nchi nzima

Wamasai, Wasukuma sasa imetosha, karne hii ya 21 muache kutembeza mifugo nchi nzima

Mkuu kuna wanaoabudu wazungu na kufikiri kila kitu ni cha kuiga.
wenye hoja kuhusu wamasai na wasukuma watakuambia ni kudumisha tamaduni na eti hata kwa wazungu ni kivutio ,kwenye tamaduni lazima kuna vitu vibadilike na vyenye manufaa kuachwa ,wamasai wakiendelea na ufugaji wao holela hata nature itabadilika na vyanzo vingi vya maji na mzingira kuharibika,zamani wafugaji walikuwa hawahami sana maana malisho yapo na maji yapo ,sasa hivi hamna malisho lazima wafugaji wawe na plan b
 
wenye hoja kuhusu wamasai na wasukuma watakuambia ni kudumisha tamaduni na eti hata kwa wazungu ni kivutio ,kwenye tamaduni lazima kuna vitu vibadilike na vyenye manufaa kuachwa ,wamasai wakiendelea na ufugaji wao holela hata nature itabadilika na vyanzo vingi vya maji na mzingira kuharibika,zamani wafugaji walikuwa hawahami sana maana malisho yapo na maji yapo ,sasa hivi hamna malisho lazima wafugaji wawe na plan b
Tatizo kuna watu wenye mawazo mafupi hawalielewi hilo.
 
Mtoa mada una hoja ya msingi. Haya makabila makuu mawili, ifikie wakati yabadilike. Yaani wakiingia tu sehemu, lazima pawe jangwa baada ya miaka michache baadaye!

Hayo maisha yao ya kuhama hama na ng'ombe kwa ajili ya malisho, ni kweli yamepitwa na wakati! Na yanasabisha migogoro isiyo ya lazima, lakini pia uharibifu mkubwa wa mazingira.

Wafuge kisasa mifugo michache, kwa matokeo makubwa zaidi.
Kina Ole Sendeka hawalielewi hilo.
 
Back
Top Bottom