Mtoa mada una hoja ya msingi. Haya makabila makuu mawili, ifikie wakati yabadilike. Yaani wakiingia tu sehemu, lazima pawe jangwa baada ya miaka michache baadaye!
Hayo maisha yao ya kuhama hama na ng'ombe kwa ajili ya malisho, ni kweli yamepitwa na wakati! Na yanasabisha migogoro isiyo ya lazima, lakini pia uharibifu mkubwa wa mazingira.
Wafuge kisasa mifugo michache, kwa matokeo makubwa zaidi.