Wamasai, Wasukuma sasa imetosha, karne hii ya 21 muache kutembeza mifugo nchi nzima

Mkuu kuna wanaoabudu wazungu na kufikiri kila kitu ni cha kuiga.
wenye hoja kuhusu wamasai na wasukuma watakuambia ni kudumisha tamaduni na eti hata kwa wazungu ni kivutio ,kwenye tamaduni lazima kuna vitu vibadilike na vyenye manufaa kuachwa ,wamasai wakiendelea na ufugaji wao holela hata nature itabadilika na vyanzo vingi vya maji na mzingira kuharibika,zamani wafugaji walikuwa hawahami sana maana malisho yapo na maji yapo ,sasa hivi hamna malisho lazima wafugaji wawe na plan b
 
Tatizo kuna watu wenye mawazo mafupi hawalielewi hilo.
 
Kina Ole Sendeka hawalielewi hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…