kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
wema sepetu huyo
khaa, nae aliongezea kumbe.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wema sepetu huyo
wangeumuka wengiii mno kama ni hivyooo,hadi miss chagga angeumuka nae kama ni hivyo hhhhhaaa
hhhhhaaaa hivi shoga yangu Princess sayuni alipotelea wapi nammisi jamanii lo,,
Tena wewe ni mbea namba moja ndio umewah kuja teh teh,hii kalii yaan shepu inakuja baadae hii kali
Cc Evelyn Salt
nahis ulilia aiseee,pole mwayaa
nimeona Rayc analia et kanyimwa dawa lol analiajeee huku anajirekod huku analia na kuongea,kaweka insta warumi ukujeee
Wambea leo mko kona gani? Au mida bado?
Heaven on Earth ulishapita huku?
Mange aponda nguo aliyovaa mdogo wake Wema wa kujipendekeza kuitwa dada. Kisa kachukia kwa nini hakuoda kutoka kwake na kaenda kushona kwa Eve Collections eti kalipia millioni moja kwa nini hakuigiza ulaya.
Eti waache kusapoti wa TZ wanaoshona, halafu nguo nzuriii
Mhhh mbona nguo ilikuwa nzuri tu, na alipendeza dada wa watu khaaaa.