Wambulu na Wadatooga ndio wakazi wa mwanzo wa Ngororongo. Kadhia ya Ngorongoro haihitaji hisia

Wambulu na Wadatooga ndio wakazi wa mwanzo wa Ngororongo. Kadhia ya Ngorongoro haihitaji hisia

Wakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA.

Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI.

Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS).

Makabila mengi yalipita hapo lakini kabila la mwisho kuishi Ngororongo linaitwa WATANZANIA...

Hapo ni kwa watanzania [emoji7]

#Tanzania kwanza[emoji7]

#JMT milele dumu[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
BADO TUNAIHITAJI NGORONGORO? ndio liwe swali la kila mtu. ngorongoro ni ya kwetu, tunaweza kuamua kuiteketeza au kuihifadhi.

wakati tunapata uhuru walikuwa 10,000 sasaivi wapo zaidi ya laki mbili (200,000) wanaishi na wanyama humohumo, hawana makaburi, na wakati mwingine vyoo ni shida. wafu wanawazika wapi au wanawapa fisi wale? wagonjwa wanatelekezwa kwa fisi n.k, au watuonyeshe makaburi yapo wapi?

wanaoa wake wengi sana wanazaa bila uzazi wa mpango, kufikia miaka 10 ijayo wataweza kufika 400,000 hivi tukiwa na akili timamu, bila ushabiki, hapo ngorongoro itakuwepo au tumeamua kuteketeza ngorongoro ili watu waishi? bado tunaihitaji ngorongoro? ndio liwe swali la kila mtu. kama jibu ni ndio, hatuwezi kukaa na wananchi zaidi ya laki ndani ya ngorongoro wakati mikoa mingine watu wameshafukuzwa kwenye mbuga. mtu anayekuja leo na kusema ile ni ardhi ya wamasai, hajui kama ardhi yote ni ya umma ipo chini ya rais? au kama vipi serikali itafute pesa, wawape fidia wawaondoshe tubaki na mbuga.;msomela wamejengewa na nyumba lakini bado tu hawataki,wanachotaka ni kuteketeza mbuga ya ngorongoro. huu ndio ukweli mchungu ambao wengi hawataki kuusema. hata hapa mimi nitatukanwa kwasababu tu ya kueleza hivi.
 
BADO TUNAIHITAJI NGORONGORO? ndio liwe swali la kila mtu. ngorongoro ni ya kwetu, tunaweza kuamua kuiteketeza au kuihifadhi.

wakati tunapata uhuru walikuwa 10,000 sasaivi wapo zaidi ya laki mbili (200,000) wanaishi na wanyama humohumo, hawana makaburi, na wakati mwingine vyoo ni shida. wafu wanawazika wapi au wanawapa fisi wale? wagonjwa wanatelekezwa kwa fisi n.k, au watuonyeshe makaburi yapo wapi?

wanaoa wake wengi sana wanazaa bila uzazi wa mpango, kufikia miaka 10 ijayo wataweza kufika 400,000 hivi tukiwa na akili timamu, bila ushabiki, hapo ngorongoro itakuwepo au tumeamua kuteketeza ngorongoro ili watu waishi? bado tunaihitaji ngorongoro? ndio liwe swali la kila mtu. kama jibu ni ndio, hatuwezi kukaa na wananchi zaidi ya laki ndani ya ngorongoro wakati mikoa mingine watu wameshafukuzwa kwenye mbuga. mtu anayekuja leo na kusema ile ni ardhi ya wamasai, hajui kama ardhi yote ni ya umma ipo chini ya rais? au kama vipi serikali itafute pesa, wawape fidia wawaondoshe tubaki na mbuga.;msomela wamejengewa na nyumba lakini bado tu hawataki,wanachotaka ni kuteketeza mbuga ya ngorongoro. huu ndio ukweli mchungu ambao wengi hawataki kuusema. hata hapa mimi nitatukanwa kwasababu tu ya kueleza hivi.
Ukweli mtupu...

Ubarikiwe sana na Yahweh baba mchungaji ,aaamin aaamin [emoji7][emoji7]

Umeongea maneno mazito mno....

Yamenigusa haswa....

Inawezekana hii kadhia ndani yake ina malengo mabaya....kutokea ndani ya nchi ama nje ya nchi.....

#Taifa ni Letu [emoji7]
#Ngorongoro ni ya watanzania wote[emoji7]

#Mwenyezi Mungu alibariki hili dola tukufu la Tanzania lenye amani na utulivu mkuu ,aaamin aaaamin aaaamin aaaamin [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
BADO TUNAIHITAJI NGORONGORO? ndio liwe swali la kila mtu. ngorongoro ni ya kwetu, tunaweza kuamua kuiteketeza au kuihifadhi.

wakati tunapata uhuru walikuwa 10,000 sasaivi wapo zaidi ya laki mbili (200,000) wanaishi na wanyama humohumo, hawana makaburi, na wakati mwingine vyoo ni shida. wafu wanawazika wapi au wanawapa fisi wale? wagonjwa wanatelekezwa kwa fisi n.k, au watuonyeshe makaburi yapo wapi?

wanaoa wake wengi sana wanazaa bila uzazi wa mpango, kufikia miaka 10 ijayo wataweza kufika 400,000 hivi tukiwa na akili timamu, bila ushabiki, hapo ngorongoro itakuwepo au tumeamua kuteketeza ngorongoro ili watu waishi? bado tunaihitaji ngorongoro? ndio liwe swali la kila mtu. kama jibu ni ndio, hatuwezi kukaa na wananchi zaidi ya laki ndani ya ngorongoro wakati mikoa mingine watu wameshafukuzwa kwenye mbuga. mtu anayekuja leo na kusema ile ni ardhi ya wamasai, hajui kama ardhi yote ni ya umma ipo chini ya rais? au kama vipi serikali itafute pesa, wawape fidia wawaondoshe tubaki na mbuga.;msomela wamejengewa na nyumba lakini bado tu hawataki,wanachotaka ni kuteketeza mbuga ya ngorongoro. huu ndio ukweli mchungu ambao wengi hawataki kuusema. hata hapa mimi nitatukanwa kwasababu tu ya kueleza hivi.
Sometimes jaribu kuficha upumbavu wako. Ni Uongo mkubwa kudai wanahamishwa kwa sababu za uhifadhi. Pale kinachofanyika ni kuwafukuza. Huyo anayejiita chura kiziwi wenu hajawahi kuwa na uchungu na uhifadhi, sio ajabu anataka madini yachimbwe huko mbugani kisa TU "wanyama hawali madini". Hapa wanataka kuwapa hao wawekezaji uchwara "waarabu". Hata Zenji ardhi ipo, waende huko wakagaiwe.
 
Wakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA.

Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI.

Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS).

Makabila mengi yalipita hapo lakini kabila la mwisho kuishi Ngororongo linaitwa WATANZANIA...

Hapo ni kwa watanzania [emoji7]

#Tanzania kwanza[emoji7]

#JMT milele dumu[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Washwa tuu Makalio

Tutakukunaa vizri
 
Mkuu, unaweza kutupa ushahidi kuwa Wamasai hao hawana uzazi wa mpango
unataka ushaidi kabla ya kujibu swali, masai zaidi ya 200,000 wakati wa uhuru walikuwa 10,000 tu, in the coming 20 years watakuwa zaidi ya 500,000 binadamu wote hao wanaishi kwenye mbuga, unafikiri hiyo mbuga bado itaexist au wanyama watakimbia? ulishawahi kwenda kule ngorongoro ukaona wanyama wanalala kwenye maboma ya wamasai kama ng'ombe, wanaenda mbali huko hawataki kuchangamana. kama wakati wa uhuru walikuwa alfu kumi na sasaivi ni ile kombania yote ile, unataka ushaidi gani kwamba hawana uzazi wa mpango? hauwajui masai, hujui kama kuzaa sana kwao ndio mtaji kupata watoto wa kuchunga ng'ombe? kuweni wakweli hata kwa nafsi zenu tu basi.
 
Wakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA.

Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI.

Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS).

Makabila mengi yalipita hapo lakini kabila la mwisho kuishi Ngororongo linaitwa WATANZANIA...

Hapo ni kwa watanzania [emoji7]

#Tanzania kwanza[emoji7]

#JMT milele dumu[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Hizi zote ni siasa zenye mlengo wa kuhakikisha wamasai wanaondoka. Ila cha kujiuliza wakishaondoka, nani atakayeingia? Kumbuka, dunia haina option ya kufanya kazi katika ombwe.
Kama nia ni kudhibiti ukuaji wa shughuli za kibinadamu, lazima kuwe na mikakati na nia ya dhati ya kuwahusisha wanaoishi pale. Kutumia nguvu na mabavu hakutapa win win solution. Kuwaita wamasai wa Tanzania wanatoka Kenya, ni ujinga uliopitiliza na anayesema hivyo anasukumwa na majini anayoyafuga. Sio akili za kufikiria Tanzania bora ya leo na kesho
 
Wakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA.

Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI.

Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS).

Makabila mengi yalipita hapo lakini kabila la mwisho kuishi Ngororongo linaitwa WATANZANIA...

Hapo ni kwa watanzania [emoji7]

#Tanzania kwanza[emoji7]

#JMT milele dumu[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Inamaanisha nini?
 
Wakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA.

Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI.

Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS).

Makabila mengi yalipita hapo lakini kabila la mwisho kuishi Ngororongo linaitwa WATANZANIA...

Hapo ni kwa watanzania [emoji7]

#Tanzania kwanza[emoji7]

#JMT milele dumu[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Asante kwa kutukumbusha Historia ya Ngorongoro. Ni Historia sahihi kabisa. Wambulu (Wairaqw) pia ndo waasisi wa kilimo cha kisasa cha umwagiliaji katika eneo la Kihistoria la Engaruka kabla ya uvamizi wa Wamasai na kuharibu jumla maendeleo makubwa ya engaruka yaliyofikiwa zama hizo za karne ya 14 hadi 16.
 
Asante kwa kutukumbusha Historia ya Ngorongoro. Ni Historia sahihi kabisa. Wambulu (Wairaqw) pia ndo waasisi wa kilimo cha kisasa cha umwagiliaji katika eneo la Kihistoria la Engaruka kabla ya uvamizi wa Wamasai na kuharibu jumla maendeleo makubwa ya engaruka yaliyofikiwa zama hizo za karne ya 14 hadi 16.
Kuharibu au kutunza? Hata hivyo kuharibu inaweza kuwa relative term.
 
Back
Top Bottom