Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
- Thread starter
- #41
An intelligent and zealout son of Tanzania by the name Stuxnet [emoji7]Naunga mkono hoja;
View attachment 3076034
Kabla ya karne ya 17 walikuwa huko Sudan wana migrate. Walipofika Serngeti wakawakuta Watatoga ndiyo wakawa displace na kuishi wao.
View attachment 3076037 Wamasai walikuwa wanaishi Serengeti kabla ya Mkoloni hajawahamisha ili ku establish Serengeti National Park kwa sheria ya mwaka 1951
Kudos compatriot [emoji450]
Umesema kweli tupu ambayo wapindisha mambo hawataki isemwe[emoji449]
Shukran kaka ,be blessed ,amen[emoji7]
#Kabila la Ngororongo ni watanzania [emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app