Wambura Mtani aondoka RFA baada ya miaka 22

Amelipwaaa anachodai? Maana boss wake ni zulumati mkubwa sana Africa.....atadai hadi atastaafu hajalipwa.....Hujawahi kusikia jamaa ana kesi kama zote.....halipiii akishindwa amesha declare kufilisika......halipi chochote daaa fiallo tapeliii....mkubwaa sanaa.....
 
Picha iko wapi?
 
Roy Mlaliki Maganga mzee wa Sitasahau jumapili sa 4 mpk sa 5 .Alienda wapi na mkewe Stela Setumbi
Kuna mwaka siukumbuki alikuwa akifanya kipindi maalumu kuhusu shughuli za uvuvi ndani ya ziwa Victoria na shirika la BBC.
Mkewe sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…