Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati anatoka kazini clouds fm alipata ajali. Hakuomba Ho2. Alizikwa kwao Kilimanjaro.Hivi Fredwaa alikufaga!? Kuna kipindi niliwahi kumsikia clouds fm.
TBCRoy Mlaliki Maganga mzee wa Sitasahau jumapili sa 4 mpk sa 5 .Alienda wapi na mkewe Stela Setumbi
Nasikitika kumiss sauti yake kwenye kipindi cha usiku wa milenia kila Alhamisi, binafsi ni mpenzi wa muziki wa dansi.
La hasha, huu si uungwana...Je huu ni uungwana?
Baragaza hata mimi sikuskiaMkuu naomba kuuliza Juma Baragaza na Kamukulu wamefariki lini Daaah!! Kweli dunia tunapita sikuwa na taarifa za Baragaza kuwa amefariki nina mda kidogo sijasikiliza Redio
Chifu mimi na wewe tunakaa meza moja ya majonzi aisee hicho kipindi cha milenia sijui itakuaje wallahi. Daaah [emoji22]Nasikitika kumiss sauti yake kwenye kipindi cha usiku wa milenia kila Alhamisi, binafsi ni mpenzi wa muziki wa dansi.
Amelipwaaa anachodai? Maana boss wake ni zulumati mkubwa sana Africa.....atadai hadi atastaafu hajalipwa.....Hujawahi kusikia jamaa ana kesi kama zote.....halipiii akishindwa amesha declare kufilisika......halipi chochote daaa fiallo tapeliii....mkubwaa sanaa.....Nguli wa utangazaji kutoka kituo cha Radio Free Africa (RFA) Wambura Mtani ameondoka katika kituo hicho alicho hudumu kwa miaka 22.
Mtani ni mkongwe aliyekuwa amebaki kwenye Radio hiyo baada ya watangazaji wengine nguli kuondoka humo na wengine walifariki kama vile Jumaa Ahmed Baragaza (R.I.P) Zuberi Msabaha (R.I.P), Prince Baina Kamukulu (R.I.P), Fred Fidelis aka Fredwaa (R.I.P) ambaye baadae aliondoka.
Binafsi nitamkumbuka kwa mazuri yake hapo na akapambane kutafuta changamoto mpya.
Picha iko wapi?Nguli wa utangazaji kutoka kituo cha Radio Free Africa (RFA) Wambura Mtani ameondoka katika kituo hicho alicho hudumu kwa miaka 22.
Mtani ni mkongwe aliyekuwa amebaki kwenye Radio hiyo baada ya watangazaji wengine nguli kuondoka humo na wengine walifariki kama vile Jumaa Ahmed Baragaza (R.I.P) Zuberi Msabaha (R.I.P), Prince Baina Kamukulu (R.I.P), Fred Fidelis aka Fredwaa (R.I.P) ambaye baadae aliondoka.
Binafsi nitamkumbuka kwa mazuri yake hapo na akapambane kutafuta changamoto mpya.
Kuna mwaka siukumbuki alikuwa akifanya kipindi maalumu kuhusu shughuli za uvuvi ndani ya ziwa Victoria na shirika la BBC.Roy Mlaliki Maganga mzee wa Sitasahau jumapili sa 4 mpk sa 5 .Alienda wapi na mkewe Stela Setumbi
Na uzee wote ule aende wasafi, Bora TBCAnahamia wasafi nadhani
Tunashukuru kwa kazi yako nzuri MTANI, ikawe jema huko uendako
Jamaa yake sana Kitenge, nafikri safari ya TBC imeiva..Anahamia wasafi nadhani
Lugha gongana anapochambua tamaduni za makabila mbalimbali ndiyo itakuwa noma zaidiChifu mimi na wewe tunakaa meza moja ya majonzi aisee hicho kipindi cha milenia sijui itakuaje wallahi. Daaah [emoji22]
Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app