Wambura Mtani aondoka RFA baada ya miaka 22

Wambura Mtani aondoka RFA baada ya miaka 22

Daaah!! Enzi kweli zimepita imebidi niingie Youtube nimekuta watangazaji wengi wa Rfa wamevuta aisee na wengi wamehama,

Mimi hiki ndio kilikuwa kituo changu cha redio ninachosikiliza kuanzia asubuhi nikiamka

1.Ilikuwa inaanza 12 asubuhi amka na BBC hadi 12:30 asubuhi inafatia Magazetini asubuhi unakutana na Agbert Mkoko,Tom Chilala (sijui wako wapi kwa sasa hawa) na Ahmed Ally huyu wa simba saivi

2.Saa moja kamili inafata Matukio na Rebecca Molesi au Rahabu Fredy hadi saa moja na Dkk 20 inaanza michezo na Steve moyo Mchongi,Deokaji Makomba au Baruan Muhuza

3.Mbili kamili Mukhtasari wa habari na Rebeca molesi halafu kinafata Sindano tano kali za moto na Freduwaa

4.Saba kamili Show time na akina Glory Robinson toto la mama sabuni na wenzake saa kumi anaingia Baragaza na Mambo mambo

Daaah Time flies tuishi tu wakuu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24]
Egbert Mkoko alijiendeleza sasa anaitwa Dr. Egbert Mkoko yupo UDSM.
 
Mkuu RFA haijaizidi Kiss Fm kwa ulocal... Yaani kiss fm imekua mpaka na vipindi vile vya umbea kama vya kina mwijaku na baba levo. Enzi zile The Morning Kiss ya John Karani na Irene Tilya.. nimeisikiliza majuzi hapa nikasikitika sana
Kuna jamaa alikuwa anapiga ngeli hapo kiss fm utafikiri akina Wayne Rooney, alikuwa anatangaza usiku saa nne aliitwa Bory the Pilot.
 
Wakati anatoka kazini clouds fm alipata ajali.Hakuomba Ho2.Alizikwa kwao Kilimanjaro
Waandishi wengi wa Habari mara nyingi sana huwa ni "mawindo." Wanapaswa kuwa makini sana ktk utendaji wa kazi zao na ktk maisha yao yote kwa ujumla kwani wengi wanakuwa 'eliminated' kwa ajali za kutengenezwa 'staged car accident' au kwa mashambulizi mbalimbali ya hujuma(sabotage attacks). Na kwa bahati mbaya zaidi, saboteurs wengi huwa wanakuwa Wanahabari wenzao ambao ni "mamluki mapandikizi" kwenye vyombo vya habari.
 
Daaah!! Enzi kweli zimepita imebidi niingie Youtube nimekuta watangazaji wengi wa Rfa wamevuta aisee na wengi wamehama,

Mimi hiki ndio kilikuwa kituo changu cha redio ninachosikiliza kuanzia asubuhi nikiamka

1.Ilikuwa inaanza 12 asubuhi amka na BBC hadi 12:30 asubuhi inafatia Magazetini asubuhi unakutana na Agbert Mkoko,Tom Chilala (sijui wako wapi kwa sasa hawa) na Ahmed Ally huyu wa simba saivi

2.Saa moja kamili inafata Matukio na Rebecca Molesi au Rahabu Fredy hadi saa moja na Dkk 20 inaanza michezo na Steve moyo Mchongi,Deokaji Makomba au Baruan Muhuza

3.Mbili kamili Mukhtasari wa habari na Rebeca molesi halafu kinafata Sindano tano kali za moto na Freduwaa

4.Saba kamili Show time na akina Glory Robinson toto la mama sabuni na wenzake saa kumi anaingia Baragaza na Mambo mambo

Daaah Time flies tuishi tu wakuu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24]
Huyo Tom Chilala sijui atakuwa wapi siku hizi, ukiangalia top cream ya wanahabari waliopo nchini kwasasa ni wengi sana wamepita hapo RFA.

Kipindi ambacho nilikuwa nakipenda sana na nilikiwa sikikosi, ni kile cha jioni kimaitwa MAMBOMAMBO[emoji91].
 
Mkuu RFA haijaizidi Kiss Fm kwa ulocal... Yaani kiss fm imekua mpaka na vipindi vile vya umbea kama vya kina mwijaku na baba levo. Enzi zile The Morning Kiss ya John Karani na Irene Tilya.. nimeisikiliza majuzi hapa nikasikitika sana
Huyo Irene Tilya ana undugu wowote na dogo mmoja aliyepo pale TIMES Fm, anaitwa Adella Tilya?
 
Huyo Tom Chilala sijui atakuwa wapi siku hizi, ukiangalia top cream ya wanahabari waliopo nchini kwasasa ni wengi sana wamepita hapo RFA.

Kipindi ambacho nilikuwa nakipenda sana na nilikiwa sikikosi, ni kile cha jioni kimaitwa MAMBOMAMBO[emoji91].

MAMBOMAMBO ilikuwa [emoji91][emoji91][emoji91] balaa kumi kamili jioni hadi kumi na mbili Ikiongozwa na Juma Baragaza.

Daah!! Kweli time flies.
 
MAMBOMAMBO ilikuwa [emoji91][emoji91][emoji91] balaa kumi kamili jioni hadi kumi na mbili Ikiongozwa na Juma Baragaza.

Daah!! Kweli time flies.
Baragaza nae alifariki aiseeh.!

Nilikuwa nalipenda sana lile jingle kipindi kikiwa kinataka kuanza, "Mambo mambo eehhh"
😂
 
Huyo Tom Chilala sijui atakuwa wapi siku hizi, ukiangalia top cream ya wanahabari waliopo nchini kwasasa ni wengi sana wamepita hapo RFA.

Kipindi ambacho nilikuwa nakipenda sana na nilikiwa sikikosi, ni kile cha jioni kimaitwa MAMBOMAMBO[emoji91].
Tom Chilala alihamia East Africa Radio baadaye akaenda Tumaini radio sijui kama bado yupo. Hata Paul Mabuga wa Startv nadhani alihamia Tumaini tv.
 
Tom Chilala alihamia East Africa Radio baadaye akaenda Tumaini radio sijui kama bado yupo. Hata Paul Mabuga wa Startv nadhani alihamia Tumaini tv.
Huko Tumaini Tv naona kama ni downgrade kubwa sana, ama ni mimi ndiyo siijui vizuri?
 
Huko Tumaini Tv naona kama ni downgrade kubwa sana, ama ni mimi ndiyo siijui vizuri?
Upo sahihi.
  • Hata Samadu Hassan aliwahi kutoka startv akaenda abood tv.
  • Julius Nyaisanga amewahi kutoka radio one akaenda abood fm.
  • Mareges Girshon amewahi kutoka RFA akaenda Ebony FM.
  • Baruan Muhuza amewahi kutoka RFA hadi RADIO 5 kama sikosei.
 
Upo sahihi.
  • Hata Samadu Hassan aliwahi kutoka startv akaenda abood tv.
  • Julius Nyaisanga amewahi kutoka radio one akaenda abood fm.
  • Mareges Girshon amewahi kutoka RFA akaenda Ebony FM.
  • Baruan Muhuza amewahi kutoka RFA hadi RADIO 5 kama sikosei.
Nadhani kulikuwa na ugumu fulani hapo RFA uliofanya baadhi ya nguli wawe tayari hata kwenda redio ndogo kuliko kubaki hapo, walihama wengi sana kipindi hicho.
 
Nadhani kulikuwa na ugumu fulani hapo RFA uliofanya baadhi ya nguli wawe tayari hata kwenda redio ndogo kuliko kubaki hapo, walihama wengi sana kipindi hicho.
inaonesha wa mara ya kwanza walikuwa wanavumilia ila baadaye wakashindwa uvumilivu.
Mwaka kama sio 2012 waliondoka kwa mkupuo Fredrick Bundala, Kid Bwoy, Irene Tilya na mwingine wa kiss fm baadaye wakafuata akina Ezden the rocker, fredwaa na rahab. Akaja Azam akakomba kibao akina Yahya Mohamed, Hassan Mvula, Steve Moyo, Baruan Muhuza nk.

Kutoka hapo RFA haijarudi kwenye mstari.
 
Mkuu naomba kuuliza Juma Baragaza na Kamukulu wamefariki lini Daaah!! Kweli dunia tunapita sikuwa na taarifa za Baragaza kuwa amefariki nina mda kidogo sijasikiliza Redio
Mi mwenyewe nimeshangaa
 
dah RFA siku hizi imekua local sana!
zaman hii redio ilikua bab kubwa kuliko redio yoyote hapa nchini........

steve moyo aliendaGa wapi?
kabisa prince baina kamukulu na simulizi za move za kihindi nlikuwa sikosi.
 
inaonesha wa mara ya kwanza walikuwa wanavumilia ila baadaye wakashindwa uvumilivu.
Mwaka kama sio 2012 waliondoka kwa mkupuo Fredrick Bundala, Kid Bwoy, Irene Tilya na mwingine wa kiss fm baadaye wakafuata akina Ezden the rocker, fredwaa na rahab. Akaja Azam akakomba kibao akina Yahya Mohamed, Hassan Mvula, Steve Moyo, Baruan Muhuza nk.

Kutoka hapo RFA haijarudi kwenye mstari.
Kwa sasa RFA inaboa kusikiliza,..ubunifu ZERO!
 
Baragaza nilikuwa namkubali sana enzi hizo, na rfa ilikuwa ni moja kati ya redio zilizofanya makubwa sana enzi hizo mpaka hivi karibuni ilipokumbwa na ukata.

Watangazaji wengine waliokuwa wa moto sana ni, Rebecca Molesi, Fredrick Bundala na Felister Kwilujira hawa nao sijui wako wapi tu.
nlikuwa nawakubali sana sijui huyu rebeka yupo wapi na huu fred mis those days
 
Back
Top Bottom