Wamegeuza mahusiano kuwa ajira

Wengi wao ni tamaa tu kutaka kuishi maisha ya kisasa maisha ya anasa jumatatu mpaka jumatatu chipsi yai na nyama choma kama ma celebrity wao
 
Hamna mwanaume anaye shindwa kumpatia basics needs mpenzi wake na kama wapo wanao shindwa ni wachache sana sana.

Tatizo wanawake wa siku hizi wengi wao luxury needs wamezigeuza kuwa basics needs,anataka nguo zenye brand kubwa kila zikitoka,matoleo mapya ya simu,anataka viatu vikali vya brand kubwa kila toleo,bado utakuta an vikoba viwili,ana mchezo mmoja majina matatu.Hivyo vyote kavigeuza basic needs na hana shughuli ya masna mjini.

Sasa ndio ukute ana mashindano na marafiki zake ya matumizi,hapo ndio utadata kabisa, siku hizi ,hizi tabia mpaka wa uswahili wanazo,wanakopa mpaka mikopo akatunze tu au afanye sherehe birthday, mlipaji wanajua ni mwanaume.
 
Ukitaka usifanikiwe kuwa na Wanawake wengi wengi.. Imagine kila mmoja wao atake hela ya matumizi etc.

Kuna muda niliamua kutojihusisha ktk mahusiano na Mwanamke hoehae sometimes inapunguza stress za vitu vidg. Mtu hata 2k ya vocha hana anakusubiri ww umtumie.
 
Mwanamke mmoja tu anaouwezo wakukufilisi vizuri hauna haja ya kutafuta Wanawake wengi kama lengo lako nikutaka kufilisika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…