Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Wengi wao ni tamaa tu kutaka kuishi maisha ya kisasa maisha ya anasa jumatatu mpaka jumatatu chipsi yai na nyama choma kama ma celebrity waoMaisha mjini ni magumu mazee , hata mshahara wa M3 ni foolish hapa mjini , dada zetu uwezo wa kutafta mdogo na mahtaji lazima wapate , Kwa vyovyote vile lazima wapige vizinga huku na kule , kama Una demu wako Unampenda Kwa hapa mjini mhudumie tuu kadr unavyoweza , kama huna pesa hapa mjini achana tuu na mapenzi , kama vip nenda kijijini ukaoe , au uwe unanunua malaya , demu yyte mwenye mvuto hapa mjini ni ngumu kumtuliza kama pesa ya kuunga unga