Makubaliano yao sio yetu. Sisi tunataka ukweli isipokuwa wewe unayetaka ukweli ufunikwe na wachache kama wewe. Demokrasia ilianza uturuki na ifuatwe sawa sawa, waambie TANESCO ujinga wa kukata umeme waache maana tuna sola na jenereta wasipoteze pato la taifa