LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Ila sasa wakimpitisha kugombea urais CHADEMA imejiandaaje kunako kampeni? Maana CCM wameishakimbia hatua kadhaa wako mbele mita nyingi kwenye mbio za kuwania Urais. CHADEMA itatumia mbinu gani kuifikia CCM iliyotimua mbio tayari hata kabla ya kipenga kupulizwa?