Wameniingiza kwenye Group la Whatsapp bila mimi kuridhia, nilichowafanyia hawatonsahau

Huuu ufwala hu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
group sio nyumba kusema ukiwaondoa wote unabaki na nyumba, wenzio watakuwa washaunda group lingine wana add members wao wanaendelea kurahatupuika!!!!
 
Huwa nachukia sana. Nilishawahi kutukana kumbe alieniadd ni mama mdogo ...walikua wanajadili harusi ya mtu anakuja kufunga ndoa dar.. Uyo ndugu simjui nakuta asubuh sms kama 200 nilitukana hadi kuja kujua ni yeye its to rate
 
NIKIPATA GROUP LA WAUZA TIGO ITAPENDEZA ZAIDI MAANA NTAKUA MTEJA WA KUDUMU NA NITANUNUA KWA KUDEPOSIT HELA NA KUENDELEA KUPEWA HUDUMA.Mwenye namba ya group husika aweke namba au anifuate PM tafadhali
 
Mm niliwekwa kwenye group moja la WhatsApp, nikanya ndani ya kundi,wakaniremove!
Nimesema wakiniadd tena naharisha kabisa au nawatumia sperm members wote!!
 
Utakuwa mtu wa ajabu sana wewe.
Halafu uje ukutwe huko mtaani upigwe kywa wewe mwizi utajisikiaje

Wala usijisifie.. halafu ngono utafikiri kwako ni mwiko..

CV yako umeichafua labda ID iwe si la kweli
 
Dawa nyingine ni ku cleck emoj elfu 10 unasend kwenye hilo group ila stak na kujiua lenyewe
 
Kwahiyo sasa hivi wasapu group limit siyo watu 250 tena?
 
Huwa nachukia sana. Nilishawahi kutukana kumbe alieniadd ni mama mdogo ...walikua wanajadili harusi ya mtu anakuja kufunga ndoa dar.. Uyo ndugu simjui nakuta asubuh sms kama 200 nilitukana hadi kuja kujua ni yeye its to rate
Mimi nimekuelewa
 
Huwa nachukia sana. Nilishawahi kutukana kumbe alieniadd ni mama mdogo ...walikua wanajadili harusi ya mtu anakuja kufunga ndoa dar.. Uyo ndugu simjui nakuta asubuh sms kama 200 nilitukana hadi kuja kujua ni yeye its to rate
Yaani ukrya mpaka kwenye lugha za watu mnaharibu maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…