Wamenimalizia pesa zote za semina

Wamenimalizia pesa zote za semina

Huu Uzi mhh😅 ila tukisema PISI kali...

DSM iacheni kama ilivyo, nasisitiza hili kila siku.
 
Wahabeshi si wamesambaa mkuu?
Hata wambulu wahabeshi.
Hawa wapo pande nyingi Temeke wamejaza kibao tu,ngojea nikuletee picha yao ya sample.
Ila ni warefu na hawakosagi nyash😁😁😄
View attachment 3089535
Maamae, wazuri sana...hao unaosema ni Wale wasomali wenye weusi wa kutelezaa na viuso vyembamba?
Wahabeshi si wamesambaa mkuu?
Hata wambulu wahabeshi.
Hawa wapo pande nyingi Temeke wamejaza kibao tu,ngojea nikuletee picha yao ya sample.
Ila ni warefu na hawakosagi nyash😁😁😄
View attachment 3089535
 
Dodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Si mmepeana? Sasa unalia nini?
 
Maamae, wazuri sana...hao unaosema ni Wale wasomali wenye weusi wa kutelezaa na viuso vyembamba?
Hawa wamechanganyika na wamahara/amhara.
Wana ebony color wengi wao.
Na warefu halafu wapana.
Temeke wamejaa kibao.
 
Dodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Na wewe si umewakojolea lakini hapo both team scored.
 
Dodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Mimi nafuatilia kwanini watu huarisha kufikiri enzi hizo za kama wewe za mtoto bembea mimi ndiyo nilikuwa kabosi tumetuma weee nilio kuwa nao wanigusia kuhusu fursa ya kuchimba mgodi mfukoni nina bk5 mwenye mgodi anataka bk15 nikabaki kuhema kama mbwa aliye toa ulimi hahaha, it is good to share experience
 
Hawa madem ndo wakali mkuu😂😂 Hujui madem wazuri labda🤣
Walete wewe unaowaona wakali.
Ila mimi mwanamke kama sio mrefu,hana rangi ya kung'aa ama rangi ya mtume,pia kama hajachongoka pua basi kwangu huyo sio mwanamke.
Mwingine huyo hapo chini.
Aya lete wasukuma wako tulinganishe nao.
Screenshot_2024-09-07-16-19-01-40_08626e35eb99698b0717ca70323a2481.jpg
 
Ila vipi mkuu ushawaona watoto wakali wa kihangaza?
Walete wewe unaowaona wakali.
Ila mimi mwanamke kama sio mrefu,hana rangi ya kung'aa ama rangi ya mtume,pia kama hajachongoka pua basi kwangu huyo sio mwanamke.
Mwingine huyo hapo chini.
Aya lete wasukuma wako tulinganishe nao.View attachment 3091476
 
Back
Top Bottom