Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Huyo mwenye kipin upande wa kushoto wa pua huyo ni balaa ukimuona amevaa kulia hawana maajabu Ila kipin kikiwa upande wa kushoto pitanae huyo kule chini km kumewekwa nini sijui hio ni code nimekupa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mwenye kipin upande wa kushoto wa pua huyo ni balaa ukimuona amevaa kulia hawana maajabu Ila kipin kikiwa upande wa kushoto pitanae huyo kule chini km kumewekwa nini sijui hio ni code nimekupa
Maamae, wazuri sana...hao unaosema ni Wale wasomali wenye weusi wa kutelezaa na viuso vyembamba?Wahabeshi si wamesambaa mkuu?
Hata wambulu wahabeshi.
Hawa wapo pande nyingi Temeke wamejaza kibao tu,ngojea nikuletee picha yao ya sample.
Ila ni warefu na hawakosagi nyash😁😁😄
View attachment 3089535
Wahabeshi si wamesambaa mkuu?
Hata wambulu wahabeshi.
Hawa wapo pande nyingi Temeke wamejaza kibao tu,ngojea nikuletee picha yao ya sample.
Ila ni warefu na hawakosagi nyash😁😁😄
View attachment 3089535
Karibu DomDodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Si mmepeana? Sasa unalia nini?Dodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Noma sana!Tanzania kuna kila aina ya wanawake, ni wewe tu una prefer yupi..
Sio kama Rwanda nchi nzima wanafanana.
Aah bro hivi si viswaswadu!?
Hawa wamechanganyika na wamahara/amhara.Maamae, wazuri sana...hao unaosema ni Wale wasomali wenye weusi wa kutelezaa na viuso vyembamba?
Mi huwa naishi nao tuAah bro hivi si viswaswadu!?
😂😂😂😂Hawa hata bure sigongi.
Na wewe si umewakojolea lakini hapo both team scored.Dodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Mimi nafuatilia kwanini watu huarisha kufikiri enzi hizo za kama wewe za mtoto bembea mimi ndiyo nilikuwa kabosi tumetuma weee nilio kuwa nao wanigusia kuhusu fursa ya kuchimba mgodi mfukoni nina bk5 mwenye mgodi anataka bk15 nikabaki kuhema kama mbwa aliye toa ulimi hahaha, it is good to share experienceDodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
Wewe kama mimi tuMbona singida mie sionagi uzuri wa mademu wa pale na nimeishi karibia miaka miwili..
Hawa madem ndo wakali mkuu😂😂 Hujui madem wazuri labda🤣Mkuu unazungumzia nini wewee😂😂😂😂.
Hawa uwafananishe na waarusha au wachaga wenye viuno kama nyoka!??
Ndio maana nikasema huwenda una test hardcore.
Hawa wote nawafahamu.
Na picha nimepiga kwa simu yangu mwenyewe ya Oppo A52.
View attachment 3087963View attachment 3087964
Walete wewe unaowaona wakali.Hawa madem ndo wakali mkuu😂😂 Hujui madem wazuri labda🤣
Walete wewe unaowaona wakali.
Ila mimi mwanamke kama sio mrefu,hana rangi ya kung'aa ama rangi ya mtume,pia kama hajachongoka pua basi kwangu huyo sio mwanamke.
Mwingine huyo hapo chini.
Aya lete wasukuma wako tulinganishe nao.View attachment 3091476
Wapi sasa kuliko na watoto wakali kwa mtazamo wako?Wewe kama mimi tu
Itakuwa Meatu....Umefika Dom ukitokea wapi?
Mkuu Temeke kubwa ujue..maeneo gani?Hawa wamechanganyika na wamahara/amhara.
Wana ebony color wengi wao.
Na warefu halafu wapana.
Temeke wamejaa kibao.
Sana sana Mtongani kwa Azizi Ally.Mkuu Temeke kubwa ujue..maeneo gani?