acha kuiga mAmbo ya historia mbona yesu alifunga siku arobaini bila kula na hamjawAhi jaribu nenda shakAholA uone kilichotokeAKibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
HahahahaMimi nimetahiriwa Hindu Mandal siku moja na kaka yangu, yeye miaka minne mimi mwaka mmoja.
Aisee kuna difference kubwa ya flaccid size.
Mdogo wangu ametahiriwa na miaka saba. Flaccid size kanizidi kitambo.
Sisi wote ni watoto wa baba mmoja mama mmoja. Genetically nakuwaje tofauti nao?
MSINITANIE.
Also sihisi pleasure kwenye blowjob, another effect ya tohara ya mapema.
Sasa nyie semeni tu kirahisi wakati mashuhuda tupo street.
unamtahili mtoto umri huo umeona anahamu ya ngonoYupo sahihi kivipi wewe?
Baba mmoja na mama mmoja lakini mwingine anakuwa mrefu zaidi au mnene zaidi.Mimi nimetahiriwa Hindu Mandal siku moja na kaka yangu, yeye miaka minne mimi mwaka mmoja.
Aisee kuna difference kubwa ya flaccid size.
Mdogo wangu ametahiriwa na miaka saba. Flaccid size kanizidi kitambo.
Sisi wote ni watoto wa baba mmoja mama mmoja. Genetically nakuwaje tofauti nao?
MSINITANIE.
Also sihisi pleasure kwenye blowjob, another effect ya tohara ya mapema.
Sasa nyie semeni tu kirahisi wakati mashuhuda tupo street.
Does it look like sijiamini?Baba mmoja na mama mmoja lakini mwingine anakuwa mrefu zaidi au mnene zaidi.
Haya mambo hayako hivyo.
Jiamini tu mkuu, umeumbwa hivyo.
Unaposema hau furahii vizuri blowjob unatumia reference kipimo gani kulinganisha na waliochelewa kutahiriwa?Does it look like sijiamini?
Mimi nimewaambia personal experience as mtu niliyetahiriwa mapema katika familia ya wanaume watatu. Na andiko langu linahusu flaccid size sio erect size.
Hivi kama mimi nilitahiriwa na 1yr old kwanini walisubiri mdogo wangu niliyemzidi 7 years akafikisha miaka almost 7 ndio wamtahiri?
Naambiwa na wanawake. They suck dicks, they know how a man should feel, and I don't.Unaposema hau furahii vizuri blowjob unatumia reference kipimo gani kulinganisha na waliochelewa kutahiriwa?
Unajuaje kwamba ungepata hisia tofauti kama ungecheleweshwa tohara au ungejisikia sawa na Sasa?
Sasa kuniambia nijiamini ya nini? That was offensive. Attack the topic not the person.Hapo ndipo lilipikuja wazo la kujiamini kwako. Don't take it offensive, I never meant to hurt your feeling.
Huenda upo na shida nyingine haitokani na early circumcision.Naambiwa na wanawake. They suck dicks, they know how a man should feel, and I don't.
Not my intention.Sasa kuniambia nijiamini ya nini? That was offensive. Attack the topic not the person.
Now you are talking... Hapa hata mtu anayesoma anaanza kupata pichaHuenda upo na shida nyingine haitokani na early circumcision.
Labda tusema tohara imesababisha huenda ulichelewa kupona au ulifanyiwa vibaya tohara ukapata kovu kubwa lililo changia kuleta tatizo la ukuaji manhood yako, na pia kupungua hisia.
Watoto wadogo inakuwa ngumu kujifunza jeraha kwa usafi au michezo.
Sema kwa Sasa hapa Bongo hasa Dar kuna teknolojia ya Marekani kuna ring wanavalisha, unaruhusiwa kumvalisha nguo na diapers siku hiyo hiyo ya tohara, anaoga na kupaka dawa daily.
Ikidondoka ring na jeraha limepona. Just 1 week mtoto kapona.
Hahahah nipe hii ya ujuaji kwenye mjulusi inakuwajeNope
Udogo kwa asilimia kubwa huchagizwa na mazingira, lishe na UJUAJI
Kwani mtu anatahiriwa kwa ajili ya ngono? Maamuma mkubwa wewe.unamtahili mtoto umri huo umeona anahamu ya ngono
uislam umekumalizaNow you are talking... Hapa hata mtu anayesoma anaanza kupata picha
Double check ujumbe ulioquoteuislam umekumaliza
kwakwel hapa nimepata fundisho,sitadhubutu kumpeleka suna akiwa mdogoKaribu dada yangu
Usimtahiri mwanao akiwa kichanga
Hebu niambie majibu gani unataka🤣🤣🤣 Uachage kukurupuka , eti umeandika kwa maana ambayo siwezi kung'amua 🤣🤣 mkuu hebu jibu maswali yangu kwanza tafadhali Andrology, urology na reproductive endocrinology hazinipi shida nipo vizuri mno maeneo hayo so usipate shida nasubiri majibu yako.