Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Mimi nimetahiriwa Hindu Mandal siku moja na kaka yangu, yeye miaka minne mimi mwaka mmoja.

Aisee kuna difference kubwa ya flaccid size.

Mdogo wangu ametahiriwa na miaka saba. Flaccid size kanizidi kitambo.

Sisi wote ni watoto wa baba mmoja mama mmoja. Genetically nakuwaje tofauti nao?

MSINITANIE.

Also sihisi pleasure kwenye blowjob, another effect ya tohara ya mapema.

Sasa nyie semeni tu kirahisi wakati mashuhuda tupo street.
Pole Sana,Asante Kwa shuhuda nilitaka nimtahiri huyu dogo nimeghairi asije kukosa raha za Dunia bure!
 
Mimi nimetahiriwa Hindu Mandal siku moja na kaka yangu, yeye miaka minne mimi mwaka mmoja.

Aisee kuna difference kubwa ya flaccid size.

Mdogo wangu ametahiriwa na miaka saba. Flaccid size kanizidi kitambo.

Sisi wote ni watoto wa baba mmoja mama mmoja. Genetically nakuwaje tofauti nao?

MSINITANIE.

Also sihisi pleasure kwenye blowjob, another effect ya tohara ya mapema.

Sasa nyie semeni tu kirahisi wakati mashuhuda tupo street.
erect size?😀

girth?
 
🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️🙉🙉🙉🙌🏽
 
Mjomba una makasiriko! 😂
Kuna sehemu nimesema nimemkataza Mimi kuhudumia mwanaye?
Yeye ndo boya tangu mwanzoni angetaka huo uhuru wa kuamua chochote juu ya mwanaye angewajibika tangu awali, ila kufikia Sasa mimi ndo msemaji wa mwisho, nikiamua hiki sitaki ni SITAKI hadi atakapojifunza kuwa baba
Ungelijua jinsi dada yako anavyokusimanga kwa uboya wako huo akiwa anapelekewa mto na huyo mzazi mwenzie hata usingeli kuja kuandika utoto wako hapa. Dada yako kazaa na wewe mpaka umkatalie mzazi mwenzie kuhudumia mtoto wake ama unatengeneza mazingira ya kumtoa kafara huyo mtoto?
 
Miine ni kakubwa hako halafu acha kuingilia mambo ya dada yako na mzazi mwenzie.
Mliotahiriwa hospitalini mkiwa watoto mna shida sana. Unaelewa maana ya tohara wewe?

Halafu wao kama hawakutaka nisiingilie mambo yao wangetimiza majukumu yao kama wazazi kwa mtoto ila kwa kuwa hawakuwa tayari nitawapangia kila kitu hadi wakomae akili na kujua baada ya ngono Kuna malezi na majukumu
 
Nilidhani una sababu ya msingi ya kukataa kumbe unaongelea atakuwa na kibamia.

Kama umesoma elimu haijakusaidia. Naomba kuwasilisha.
Wewe ni binti, tena wa 2000 halafu wa mjini huwezi kuolewa chochote dada yangu

Mimi ni mwanaume wa kiafrika
 
erect size?😀

girth?
I am not that insecure to measure mkuu, its a grower, ikiamka unaweza usiamini ilikotoka. And very good girth.

Also, nadhani flaccid size ndiyo inakuwa affected more. Sijawahi kuwaona my brothers erect so I have no comparison data.

In my opinion:
Tohara ya mtoto mdogo ina affect
1. Flaccid size
2. Erect length - not girth
3. Sensitivity to pleasure

Namba 3 inaweza kuwa advantage... Maana wazungu hawaji kirahisi.
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
Kama wewe sio mwanaume, halafu mwanaume wa kiafrika hili jambo ni kubwa sana kwako kulielewa
 
Kutahiri mtoto katika umri mdogo kuna madhara kisaikolojia maana Yale maumivu ya kukatwa kutokana na umri mdogo anakuwa hana uwezo wa kuya control.
 
Huyu mpwa wangu tangu akiwa tumboni mimi ndo nilikuwa nimebeba majukumu ya sista (mtoto wa ma mkubwa) kumlea na kila kitu. Yaani hadi anafika umri huu kila kitu kinachohusiana na mahitaji yake mimi ndo niliyebeba kwa 100% baada ya boya mmoja kukimbia majukumu punde tu alipomwaga tui lake kwa sista.

Mi nikasema sio kesi huyu ni ndugu yangu maana tumekuwa wote pamoja yaani Kuna ile bond kubwa sana kati yetu na watoto wengine wote tuliolelewa pamoja hivyo ikaniwia ngumu Mimi kumtosa hata kama aliyatimba mwenyewe maana ni damu yangu kabisa.

Sasa hapa juzi kati napigiwa simu na sista anaomba nimuongezee hela kidogo kwa ajili ya ngariba na mambo mengine ya matibabu ili wamtahiri maana wameshauriana na baba yake eti mtoto wamtahiri Sasa hivi. Aisee siku hiyo nilichafukwa sista hakuamini nilimtolea mitusi kuanzia yeye hadi bwanake

Ukiachia mbali dharau ambayo bwanake ameionesha kwanza unawezaje kukatahiri katoto ka miaka minne!, govi hata halijakomaa wanataka mpwa wangu aje kuwa kibamia baadaye, nikawaambia wakitaka waujue utaahira wangu wathubutu hata kumchuna huyo dogo hilo govi. Kwahiyo wanataka mjomba angu baadaye asipige yope vizuri akiwa na kizambarau? Nimemwambia aache mapepe asubiri afike angalau darasa la 5 asije akaaibisha ukoo kwa sifa mbovu ya kibamia cha kujitakia.

Mtoto hata kachululuu hakajapata protini, mishipa haijakomaa, steki zenyewe hazina mafuta wala ujazo wa nyama halafu anataka kukitaka kinaniliu kwa rika hili!!?

Aah wee!
Kibamia hakihusiani na kutahiriwa, ni ishu ya genes na exposure ya mtoto kwenye hormones hasa growth hormones tangu akiwa tumboni kwa mama yake ,haijalishi umemtahiri akiwa mtu mzima au mtoto kama hizo factors hapo juu zimeelemea kwenye kibamia atakuwa na kibamia tu.
 
Back
Top Bottom