Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

I am not that insecure to measure mkuu, its a grower, ikiamka unaweza usiamini ilikotoka. And very good girth.

Also, nadhani flaccid size ndiyo inakuwa affected more. Sijawahi kuwaona my brothers erect so I have no comparison data.

In my opinion:
Tohara ya mtoto mdogo ina affect
1. Flaccid size
2. Erect length - not girth
3. Sensitivity to pleasure

Namba 3 inaweza kuwa advantage... Maana wazungu hawaji kirahisi.
a grower not a shower😀 hongera sana

you're just talking your feelings,

'wadogo zako' sio sample ya kutosha

is there peer reviewed research to back your claim?

let's be rational here...
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
YESU alikuwa myahudi na sisi ni wabantu, Mila tofauti misingi tofauti
Halafu lingine YESU hakuna duniani ili kuoa kwahiyo kutahiriwa au kutokutahiriwa hakukuwa na mantiki yoyote kwake
Hapa tunaongelea misingi yetu kama wabantu

Kutahiri mtoto akiwa mdogo unamnyims haki ya kuushuhudia hata za uanaume wake na namna anavyopasea kuwajibika
Tohara ni zaidi ya kukats govi dada
 
Mjomba una makasiriko! 😂
Kuna sehemu nimesema nimemkataza Mimi kuhudumia mwanaye?
Yeye ndo boya tangu mwanzoni angetaka huo uhuru wa kuamua chochote juu ya mwanaye angewajibika tangu awali, ila kufikia Sasa mimi ndo msemaji wa mwisho, nikiamua hiki sitaki ni SITAKI hadi atakapojifunza kuwa baba
Makinda alikuwa Speaker wa Bunge lkn makinda ya ndege yakiota manyoya kwenye mbawa tu huyaoni tena. Wewe unaacha kufanya mambo yako ya msingi unaanza kuangaika na mtoto usiyekuwa na undugu naye?

Mpunguzie dada yako majukumu ili awe huru aende kwa shemeji yako ajazwe tena ili uendelee kuwa msemaji wa mwisho zaidi na zaidi.
 
Mimi nimetahiriwa Hindu Mandal siku moja na kaka yangu, yeye miaka minne mimi mwaka mmoja.

Aisee kuna difference kubwa ya flaccid size.

Mdogo wangu ametahiriwa na miaka saba. Flaccid size kanizidi kitambo.

Sisi wote ni watoto wa baba mmoja mama mmoja. Genetically nakuwaje tofauti nao?

MSINITANIE.

Also sihisi pleasure kwenye blowjob, another effect ya tohara ya mapema.

Sasa nyie semeni tu kirahisi wakati mashuhuda tupo street.

Aiseee elimu inahitajika sana sasa kama kuwa ndugu ndo sababu mbona ma group ya damu mnatofautiana? Ishu ni kwamba umerithi tu kibamia mkuu na ndugu zako wamebahatika kupata genes ninazo sapoti maumbile kuwa makubwa .

Kingine flaccid size haina mashiko yoyote maana unapojaamiiiana kinachoangaliwa ni erection size na sio flaccid size.
 
Sema kuna kitu hua kinanishangaza sana kuhusu wanawake. Yani jamaa anamkimbia baada ya kumpa mimba alafu akizaa bado anakomaa kumpa jina la mwisho la jamaa aliyemkimbia.
Kaka hawa watu acha tu, ukitumia hisia kuishi nao utapata kesi kila siku
Bora tuwachukulie kama wagonjwa tu
 
Mmh. Hivyo wale wenzetu wa visiwani watakuwa na viba100 kama vyote mana kule watoto walio wengi wanatahiriwa wakiwa hata hawajamaliza arobaini.
Mashine kubwa nyingi hapa nchini zinatoka mikoa nje ya pwani maana huko kutahiriwa hadi mtu abalehe
 
Embu someni post hapo juu. Ulizeni reality mtaani, hata ukigoogle hichi kitu KIPO
aisee, nimeanza kuvuta kumbukumbu unachongea, huenda ikawa kweli. Kuna mtoto wa jirani yangu hapa anamiezi tisa, kafanyiwa tohara akiwa na miezi nane, "aise" ukichek dudu yake kama hamna kitu unaweza sema ni "ke".
 
Afadhali nimeona komenti ya shababi mwenzangu.
Wewe Sasa ndo mwanaume tena mwanaume haswa wa kiafrika sijui wanawahigi nini kuwatahiri watoto mboo zao zikiwa hazijakomaa
.yaani hiki kizazi kina shida sana
Watoto wangu nimewatoa govi wakiwa darasa 7, wakat wa jando manesi wenyewe walikuwa wanashangaa mtoto wa darasa 7 ana paipu kubwa.... Nyie wazaz wa sikuhizi mnadhan kutahiri mtoto akiwa mdogo ni fashion au sifa... Hamjiulizi kwanin zaman watu walitahiriwa wakiwa na akili zao timamu au mnadhan hawakuweza kutahiri mtoto akiwa mdogo...?
Hamjiulizi kwanin wazungu wana mboo ndogo ila waafrika wengi wana mboo kubwa ndefu..? Si mnaona jinsi wanawake wa kizungu wanavyopenda kutombwa na wanaume wa kiafrika..?
Nyie endeleeni kuiga wazungu kutahiri mtoto hata kitovu hakijakomaa...
 
Back
Top Bottom