SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
SawaSiku 8 siyo 18
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaSiku 8 siyo 18
Kala yangu alitahiriwa akiwa na miaka 12
Mashine yake alitumia wapi? Walijuwa hana matumizi nayo!Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
SijaelewaMashine yake alitumia wapi? Walijuwa hana matumizi nayo!
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ukuaji wa shaft, prepuce na glansKibamia hakihusiani na kutahiriwa, ni ishu ya genes na exposure ya mtoto kwenye hormones hasa growth hormones tangu akiwa tumboni kwa mama yake ,haijalishi umemtahiri akiwa mtu mzima au mtoto kama hizo factors hapo juu zimeelemea kwenye kibamia atakuwa na kibamia tu.
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ukuaji wa shaft, prepuce na glansKibamia hakihusiani na kutahiriwa, ni ishu ya genes na exposure ya mtoto kwenye hormones hasa growth hormones tangu akiwa tumboni kwa mama yake ,haijalishi umemtahiri akiwa mtu mzima au mtoto kama hizo factors hapo juu zimeelemea kwenye kibamia atakuwa na kibamia tu.
Nachokifanya nakijua mzee wala mi sio mjinga, nasubiri sana huo muda atakaojichanganya aninunie ili nipate sababu ya kumsusa mazima. Mimi Nina utu natimiza sehemu tu uanadamu wangu, akizingua ndo nipata sababu ya kuvuja kwa pakachaWewe mwamba nakuona karibuni utanuniwa na huyo sista wako, wanawake akili zao wanazijua wenyewe.
Mwamba kazalisha wewe unalea yeye anatoa amri na mama anataka kufanya alichosema baba mtoto.
Nakwambia tena ondoka kwenye shughuli isio kuhusu hio
Ninachokifanya ninakifanya na hakuna wa kunipangiaMakinda alikuwa Speaker wa Bunge lkn makinda ya ndege yakiota manyoya kwenye mbawa tu huyaoni tena. Wewe unaacha kufanya mambo yako ya msingi unaanza kuangaika na mtoto usiyekuwa na undugu naye?
Mpunguzie dada yako majukumu ili awe huru aende kwa shemeji yako ajazwe tena ili uendelee kuwa msemaji wa mwisho zaidi na zaidi.
Ukoo wetu wote tumetahiriwa kuanzia miaka 9 na kuendelea chini ya uangalizi wa wanaume haswa, wajomba, baba wadogo au wakubwa. Hata kama unaishi mjini utapelekwa ndichi ili ukafanyiwe tohara. Kuna vingi sana unapewa kama urithi toka kwa wanaume waliokomaa. Jando ni zaidi ya kuondoa govi na Kuna mafunzo ya kiume yapo mengi sana ambayo hadi leo yamenisaidia kuyaishiWakwangu atatahiriwa akiwa na miaka 12 ili aende secondary akaniletee wajukuu
Ukoo wetu wote tumetahiriwa kuanzia miaka 9 na kuendelea chini ya uangalizi wa wanaume haswa, wajomba, baba wadogo au wakubwa. Hata kama unaishi mjini utapelekwa ndichi ili ukafanyiwe tohara. Kuna vingi sana unapewa kama urithi toka kwa wanaume waliokomaa. Jando ni zaidi ya kuondoa govi na Kuna mafunzo ya kiume yapo mengi sana ambayo hadi leo yamenisaidia kuyaishiWakwangu atatahiriwa akiwa na miaka 12 ili aende secondary akaniletee wajukuu
NakubaliNimeona kabila moja Uganda wanaitwa wagisu wanatairi vijana Wana mwaka wao kama mwaka Jana kuanzia mwezi wa 8 mpaka dec31 mwisho mnasubiri mpaka 2026 tena ndo wanaanza nilienda kuangalia aisee Wanamizigo wanakatwa bila ganzi yaani kijana anakuwa na ujasiri haswa mjomba komaa wasimkate dogo mapema