Tetesi: Wamiliki wa Bar na Hotel Jijini Mwanza Kuanza mgomo kesho, Mei 22, 2023

Tetesi: Wamiliki wa Bar na Hotel Jijini Mwanza Kuanza mgomo kesho, Mei 22, 2023

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Wamiliki wa baa na hoteli jijini Mwanza wamesema wataanzisha mgomo kuanzia kesho kutokana na baraza la Taifa la mazingira NEMC kufunga baa na hoteli zao huku nyingine zikipigwa faini kubwa kwa madai kuwa wanapiga muziki kupita kiasi.

FB_IMG_1684672297562.jpg


Wamiliki hao wamekutana kwenye kikao cha pamoja na kujadiliana kuhusu sheria za NEMC walizopewa hivi karibuni ambazo wanadai zinakwamisha shughuli zao na kusema ili waweze kupata ufumbuzi wa jambo hilo ni bora wagome kufanya kazi.

Chanzo: EATV

===

Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.

Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Namkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho Mwanza.
 
Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata
Masuala haya siyalimalizwa na Waziri Mkuu kule Kariakoo hivi majuzi? Maana kikao cha Kariakoo kilikuwa cha wafanyabiashara wote nchini.

Au mnamtafuta Mwakilishi wa Rais Mkoani?
 
Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.
Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Nsmkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.View attachment 2630066
wanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone, Hata hivyo waziri mkuu alionesha udhaifu mkubwa kusikiliza yale majambazi ya K/koo, wale ni wezi wa kodi za serikali, hawataki kulipa kodi wanajaribu serikali ya mama. Naomba mama awe strong hakuna mtanzania anataka kulipa kodi mpaka walazimishwe kwa sheria. Watu pekee nchi hii hawawezi kukwepa kodi ni wafanyakazi tu. Ndio maana nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi, wafanyabiashara wa nchi hii ni manyan'gau tu
 
Masuala haya siyalimalizwa na Waziri Mkuu kule Kariakoo hivi majuzi? Maana kikao cha Kariakoo kilikuwa cha wafanyabiashara wote nchini.

Au mnamtafuta Mwakilishi wa Rais Mkoani?
Kwani kkoo uliona kuna muuza baa, kumbuka hata Daladala tuko mbioni au kkoo uliona mwakikishi wa daldala.
 
Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.
Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Nsmkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.View attachment 2630066
Makala kwisha habari yako,kila sehemu masalia ya msoga yanakataliwa
 
Masuala haya siyalimalizwa na Waziri Mkuu kule Kariakoo hivi majuzi? Maana kikao cha Kariakoo kilikuwa cha wafanyabiashara wote nchini.

Au mnamtafuta Mwakilishi wa Rais Mkoani?
Kwani kkoo uliona kuna muuza baa, kumbuka hata Daladala tuko mbioni au kkoo uliona mwakikishi wa daldala
wanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone, Hata hivyo waziri mkuu alionesha udhaifu mkubwa kusikiliza yale majambazi ya K/koo, wale ni wezi wa kodi za serikali, hawataki kulipa kodi wanajaribu serikali ya mama. Naomba mama awe strong hakuna mtanzania anataka kulipa kodi mpaka walazimishwe kwa sheria. Watu pekee nchi hii hawawezi kukwepa kodi ni wafanyakazi tu. Ndio maana nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi, wafanyabiashara wa nchi hii ni manyan'gau tu
Wewe utakuwa ni KK sidhani hata kama barua ya kuomba kazi uliandika.
 
Kwani kkoo uliona kuna muuza baa, kumbuka hata Daladala tuko mbioni au kkoo uliona mwakikishi wa daldala.
Kwa maelezo ya Waziri Mkuu wakati anafungua kikao hicho alisema Kuna uwakilishi wa wafanyabiashara wote na maamuzinyatakayitoka kutokana Kikao hicho ni ya nchi nzima
 
Masuala haya siyalimalizwa na Waziri Mkuu kule Kariakoo hivi majuzi? Maana kikao cha Kariakoo kilikuwa cha wafanyabiashara wote nchini.

Au mnamtafuta Mwakilishi wa Rais Mkoani?
Huyo huyo tu,hujakosea hatakiwi popote pale
 
Masuala haya siyalimalizwa na Waziri Mkuu kule Kariakoo hivi majuzi? Maana kikao cha Kariakoo kilikuwa cha wafanyabiashara wote nchini.

Au mnamtafuta Mwakilishi wa Rais Mkoani?
TRA hawahusiki na mazingira ya sauti
 
Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.
Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Nsmkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.View attachment 2630066
Sema kimeumana.
Yupo wapi Lucas mwashambwa atuelezee hii kero itampaishaje mama.

ChoiceVariable huku nako vipi mkuu?🤣
 
Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.
Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Nsmkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.View attachment 2630066

Habari njema hizi zitakuwa njema sana zikisikika tokea pande za mtaa was ufipa.
 
Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.
Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Nsmkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.View attachment 2630066
eti wanagoma kufanya biashara yao? Mtu anagoma kufanya kazi yake? kumkomoa nani kwa mfano? Mbona sijawahi sikia wakulima wakigoma? Dawa ni kufunga leseni zao maisha wapewe watu wengine. Hamna hata haya hata walevi wanagoma kisa hawataki kuheshimu sheria za nchi? Mamangu Samia be strong usicheze na watanzania.
 
Back
Top Bottom