Tetesi: Wamiliki wa Bar na Hotel Jijini Mwanza Kuanza mgomo kesho, Mei 22, 2023

Tetesi: Wamiliki wa Bar na Hotel Jijini Mwanza Kuanza mgomo kesho, Mei 22, 2023

Ile ya Kariakoo sawa haya mgomo mwengine wawapiga kelele Bar huu ni uduwanzi sasa wanadeka
 
wanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone, Hata hivyo waziri mkuu alionesha udhaifu mkubwa kusikiliza yale majambazi ya K/koo, wale ni wezi wa kodi za serikali, hawataki kulipa kodi wanajaribu serikali ya mama. Naomba mama awe strong hakuna mtanzania anataka kulipa kodi mpaka walazimishwe kwa sheria. Watu pekee nchi hii hawawezi kukwepa kodi ni wafanyakazi tu. Ndio maana nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi, wafanyabiashara wa nchi hii ni manyan'gau tu
Pole mkuu. Pressure imepungua kidogo?
 
Malaika watafurahi sana mbinguni kwa ushindi mkuu!
 
wanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone, Hata hivyo waziri mkuu alionesha udhaifu mkubwa kusikiliza yale majambazi ya K/koo, wale ni wezi wa kodi za serikali, hawataki kulipa kodi wanajaribu serikali ya mama. Naomba mama awe strong hakuna mtanzania anataka kulipa kodi mpaka walazimishwe kwa sheria. Watu pekee nchi hii hawawezi kukwepa kodi ni wafanyakazi tu. Ndio maana nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi, wafanyabiashara wa nchi hii ni manyan'gau tu
Ogopa sana mtu kama huyu ambae amezoea kula na kuishi kwa kutumwa, ili aende choo,ili alale ,ili avai nk nk.Hawezi kuwa na Akili hata kidogo ya kumsikiliza Mjasiliamali. Wewe unabiashara yoyote hata ya maandazi??
 
wanataka wamthibitishie Samia kuwa Makala ni kiongozi dhaifu
 
Hivi wanamkomesha nani wakigoma maana sheria zipo na lazima zifuatwe
Wakifungiwa kabisa leseni itakuwaje?

Yaani tunakoelekea mwisho mpaka mashoga wataandamana
Serikali acha ikenue meno tu kama haiwajui waafrika
Sheria za Tanzania zinatokana ana maoni ya upande mmoja wa taasisi bila kushirikisha wadau ndo maana zinasumbua katika utendaji wake..
Nadhani ulimsikia mdau flani pale juzi kwenye kikao na pm kariakoo, mwigulu kawaacha wadau kwenye kikao yeye kakimblila bungeni kuzifanya ziwe sheria ilhali hata wadau hawamaliza kuzijadili hoja .
 
Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.

Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Namkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.

View attachment 2630066
Sheria zipi hizo?
Kama ni kuhusu sauti kubwa za muziki, wananchi tumechokaaa!

Watu tunakosa usingizi kisa kelele za muziki. Matokeo yake ni kuongezeka na waathirika wa magonjwa ya akili.
Kwani huko bar hawawezi kunywa bila kelele au fujo za muziki?

Nawapongeza sana NEMC kwa hatua wanazochukua kuwasaidia watanzania na athari za magonjwa ya akili. Nb: Usingizi wa kutosha usio na usumbufu ni tiba.
 
Migomo imefunguka sasa!! Watu wana mengi vifuani mwao! Bado watumishi wa umma!
 
Hawa watu watamtoa roho Amos Makala...😜
Safari hii sijui mama atamuhamishia mkoa gani...😎
 
Back
Top Bottom