Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya Kimaskini kama haya alikuwa nayo Jiwe kila mwenye nacho kaibawanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone...
Makala anafuatwa na migomoduh aiseee awamu ya migomo
mkigoma sim mnafutiwa leseni nyie nyau tuone mnaenda kula wapi. Mnalipaga kodi gani nyie, daladala moja haiwezi kulipa kodi hata ya mwalimu wa shule ya msingi ya mwezi moja kwa mwaka mzima.Kwani kkoo uliona kuna muuza baa, kumbuka hata Daladala tuko mbioni au kkoo uliona mwakikishi wa daldala.
Mwishowe afukuzwe bure Makalla wa watu!!!Doooh Makala ana Gundu kama Msando 😀 😀 ,Msando ajali ,Makala Migomo.
Unafanya biashara gani?wanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone, Hata hivyo waziri mkuu alionesha udhaifu mkubwa kusikiliza yale majambazi ya K/koo, wale ni wezi wa kodi za serikali, hawataki kulipa kodi wanajaribu serikali ya mama...
Utakapotembea kwa mguu ndipo utatuheshimu, unadhani bila sisi hiyo biashara inaweza kufanyika kkoo.mkigoma sim mnafutiwa leseni nyie nyau tuone mnaenda kula wapi. Mnalipaga kodi gani nyie, daladala moja haiwezi kulipa kodi hata ya mwalimu wa shule ya msingi ya mwezi moja kwa mwaka mzima.
Hao walikuwa wa maduka.Masuala haya siyalimalizwa na Waziri Mkuu kule Kariakoo hivi majuzi? Maana kikao cha Kariakoo kilikuwa cha wafanyabiashara wote nchini.
Au mnamtafuta Mwakilishi wa Rais Mkoani?
Serikali ya mama IPO kaziniSema kimeumana.
Yupo wapi Lucas mwashambwa atuelezee hii kero itampaishaje mama.
ChoiceVariable huku nako vipi mkuu?🤣
Kusabahisha migomo au?Serikali ya mama IPO kazini
Kariakoo ilikuwa ni TRA na Mwanza ni NEMC, vitu viwili tofauti.Masuala haya siyalimalizwa na Waziri Mkuu kule Kariakoo hivi majuzi? Maana kikao cha Kariakoo kilikuwa cha wafanyabiashara wote nchini.
Au mnamtafuta Mwakilishi wa Rais Mkoani?
Msalimie shemeji maana naona uko sebureni hapo kwa dada yako unatoa boko zako jf[emoji41]wanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone...
Kuna kitu nitaishauri serikali ya mama juu ya Hilo kupitia jukwaa hiliKusabahisha migomo au?
Maana baada ya hili tegemeeni kuona kwingine kunatoboka
Hivi nyinyi wafanyabiashara wa bar mnataka mpige miziki kwa sauti kubwa ili wananchi wanaowazunguka washindwe kupumzika na familia zao? Nitashangaa kama serikali itakubaliana na ujinga huu!!Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali...